Dogo Janja abwagwa rasmi,Jamii iwe karibu naye asije akafa

Uwoya kuna kipindi alikuwa mjamzito,mbona ujauzito hauonekani tena?
 
no sex no love
 
hivi yule dogo ana mashine ya kujaza papa la yule muigizaji kweli, au ndio kazi ilikuwa kuzamishwa chumvini
 
...lol!nani hapendi kupelekwa dubei?
 
Ana umbo baya tu kiufupi miguu fito tumbo kiuno zero amebakiza sura na rangi nayo inasaidiwa na mekiap bila hivyo hashtui
mhhhh kapeace irene ana fito?hapana bwana !mwenye fito wema!na ana ushape zmuri kweli kweli!hv tako zuri na baya ni lipi!mie najua wema ndo ana kalio baya !refu hv!hyu uwoa limeshuka!lipo km kitunguu...hebu nidadavlie shost angu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…