Dogo Janja afunguka sababu ya kupangiwa ratiba ya kupewa unyumba na mkewe Irene Uwoya

Bill clinton alisema Africans are going crazy with technology.....mambo kama ayo ni ya familia hayapaswi kuwa disclosed kwnye mitandao...ts childish
 
Ndio Mastaa wetu hao....mungu awasaidie angalau wafikirie Na kuishi kama Happiness Magese,Mbwana samatta
Au waishi kama Basilla Mwanukuzi, Aina Maeda na Sylvia Bahame (wengi wamewasahau) kwa sababu hawaishi kwa kujionesha!
Maisha private kuweka instagram ni ushamba!
 
Kupqngiwa ratiba ina maana nani anam-contral wenziwe?

Janja dogo kaolewa sio na bado atapelekeshwa huyu dogo
 
Kitendo cha kujifanya kama mwanamke kwny video kimemshusha thamani...watu wa AR mpeni somo mwenzenu
 
Ndo raha ya kuoa mwanamke anayejua kulea hii.

Kwa kuzingatia tofauti ya umri na tofauti ya body strength kati kao, ratiba kama hiyo ni muhimu kwa Janjaro kumwezesha aendelee kukua bila matatizo!
 
Upumbavu mtupuuu.....

Wimbo mbovu...hata mtembee uchi.
 
Af hawa watu mbona ni wa kawaida sana!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…