#COVID19 Dogo Janja ahojiwa Polisi, adaiwa kushawishi abiria wasipime COVID-19

Sasa hiyo inaleta tafsiri gani kwa huko alikopima na kuweza kupanda ndege ikiwa vipimo vilionesha hana ugonjwa halafu kumbe anao ugonjwa na ndege kapanda?
Unauliza tafasiri kwa jambo ambalo liko wazi!? kama kipimo hakijagundua kama unaumwa maana yake hutapewa matibabu stahiki haraka ikiwa daktari atazingatia majibu ya vipimo pekee, au kwa case ya covid-19 unaweza kuambukiza watu wengine......huwezi kuwaza jambo jepesi hivi halafu unataka ukashindane na wakenya kwenye soko la ajira? hao wakenya bora waje tu angalau watu waamke usingizini......
 
Nilichokuuliza na ulichojibu ni tofauti kabisa.

Ulisema kuwa unaweza kupima na kipimo kinaweza kisioneshe kama una ugonjwa na hali kiuhalisia unao ugonjwa na hiyo ndio sababu ya kupimwa tena, sasa ndio nikauliza kama Dogo janja alipima huko SA na kipimo kikaonesha hana corona lakini kiuhalisia anayo corona na akapanda ndege huku akiwa na corona ndio nikauliza nini tafsiri yake hapo?
 
juzi tu kasema ajivunii kuwa mtanzania
 
Sasa mbona wengine mnasema corona ya SA iliingia nchini na ndio mkawa mnahusisha na vifo vya watu na corona hiyo ya SA?

Jiwe na wapiga pambio ndio walikuwa wanasema hakuna korona ila background ilikuwa inatafuna watu.
 
Halafu ikaishia wapi?

Inaenda kwa wimbi wewe,wimbi la kwanza lilimuondoa rwakatale ,wimbi la pili limemuondoa kubwa la maadui,wimbi la tatu litaanza tena mwishoni mwa november 2021 kama hatutapata chanjo mapema.
 
Inaenda kwa wimbi wewe,wimbi la kwanza lilimuondoa rwakatale ,wimbi la pili limemuondoa kubwa la maadui,wimbi la tatu litaanza tena mwishoni mwa november 2021 kama hatutapata chanjo mapema.
Kwahiyo hivi tulivyojiachia hakuna athari hadi lije wimbi?
 
Dogo vijihela vya endorsement vinampa kiburi huyu 🤣🤣🤣 nimeona kanasafiri safiri kanaenda Dubai na South mara kadhaa inaonekana shimo limetema.
Miaka 26 alimuoaje Mana Muoga maziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…