sir venance
Senior Member
- Oct 26, 2017
- 151
- 223
Hapo ni mapokezi, unakuwa unajisomea kijarida ukiwa katika foleni wakati mwenzio anahudumiwa ofisini. Ni sawa na AMREF walivyokuwa wanatuwekea mikanda ya video ya Rutaaya wakati tuko foleni ya kupima au kusubiri majibu ya HIVNimeona vitabu vingi na mezani. Swali ni kwamba huwa anavisoma vyote kwa wakati mmoja??🎯
Mbona vdg hivoNimeona vitabu vingi na mezani. Swali ni kwamba huwa anavisoma vyote kwa wakati mmoja??[emoji457]
Anakuaminisha kuwa huwa anapitia sources mbalimbali ujione uko mikono salama,kwa mtu mwenye muono wa mbali tayar anajenga nae doubtNimeona vitabu vingi na mezani. Swali ni kwamba huwa anavisoma vyote kwa wakati mmoja??🎯
jirani, uzima upo?Labda Airini ndie kamtoa bikira kaka wa watu ndio maana amechanganyikiwa kuachwa!!!
Nipo kabisa kabisa. habari za siku tele?jirani, uzima upo?
nikupe namba yake?Mm nampenda dogo janja sijui nifanyeje nimpate
Kama wewe ulivyoweka kwa babu Asprin!Aliweka moyo, maini na figo kwenye penzi lile.