Dogo janja Ana kwa ana na Dr. Chris Mauki

Dogo janja Ana kwa ana na Dr. Chris Mauki

sir venance

Senior Member
Joined
Oct 26, 2017
Posts
151
Reaction score
223
Huku ikisemekana kuwa msanii huyo wa bongo fleva hana hali nzuri kisaikolojia,kufuatia taarifa za kuwa amemwagwa rasmi na mke wake Irene uwoya,janjaro Leo ameonekana katika picha ya pamoja na Dr Chris mauki ambaye ni mtaalamu wa saikolojia na mahusiano,huku picha hiyo ikienda sambamba na caption inayosomeka "tunahitajiana",Nini maoni yako?
FB_IMG_1538565641227.jpg
 
Nimeona vitabu vingi na mezani. Swali ni kwamba huwa anavisoma vyote kwa wakati mmoja??🎯
Hapo ni mapokezi, unakuwa unajisomea kijarida ukiwa katika foleni wakati mwenzio anahudumiwa ofisini. Ni sawa na AMREF walivyokuwa wanatuwekea mikanda ya video ya Rutaaya wakati tuko foleni ya kupima au kusubiri majibu ya HIV
 
Back
Top Bottom