Utamuweza aliimba...ananipaga mpaka mambo yao uaniMm nampenda dogo janja sijui nifanyeje nimpate
Hahah, watu mnafkria mbaliKwani haujasikiliza wimbo wake ule kwamba kasema 'Ananipaga mpaka mambo ya uwani'
Alishawahi kukutibu??Aisee bora kafika mikono salama huyu Dr ni smart sana
Ndiyoo..ni mkali wa saikolojiaVipi Dr yuko vizuri sana eeenh
Hapana...but huwa namfuatilia Redioni na you tubeNa wewe ulishawahi kwenda kuomba ushauri ?
nimekumisimoAmechagua fungu lililojema kuliko angejitumbukiza kwenye ulevi
Mi zaidi kipenzi!nimekumisimo
Hahahaaaa...swala anamkimbiza simba ili amfanye kitoweo... really!Bora na yeye ameonjamo keki ya Taifa
Hi beautiful!Dogo Janja alijitafutia makubwa tu. Mwanamke mzuri Kama Irene angemuweza wapi sasa....
Niringeila wewe ni mzuri kuliko Irene rafiki!
Aliekuficha mwambie namsalimia. Sio kwa kupotea hivyo jamaniHi beautiful!
Irene ana chura ya kichina ila ya kwako ni original!Niringe
Bora na yeye ameonjamo keki ya Taifa
Ndo inamdhuru saivBora na yeye ameonjamo keki ya Taifa