Dogo Janja: Nammezea mate sana Irene Uwoya tangia nikiwa mdogo, naomba siku moja nitimize ndoto

Dogo utapotea fanya kaz acha kutafuta kiki . Kujihusisha na mapenzi sio sifa ukizingatia bado hata maisha hujayamudu
 
Duuh hii ni Janga....kweli biashara matangazo na bei ni maelewano[emoji125] [emoji125]
 
Hawa madogo wa siku hizi acha tu kuna mmoja alimgegeda bibi wa miaka 70 live mbele ya macho yangu.
Ukamshuhudia dogo anavyopiga manyama ndani.., manyama nje dah. Mara ukamshuhudia tena dogo anavyozama na kuibuka.

Haki ya nani hawa madogo hawafai
 
Akili za namna hii, shule itakushinda tu
 
Hii ni kama fasheni tuu, mtu akipata jina tuu anataka atembee na wasanii maarufu !! Umeshajiuliza huyu unayemtamani keshatamaniwa na kujirusha na wangapi kabla yako ??! OK kwa kuwa hainaga makombo endelea na shetani akubariki. Nyambafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…