Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dogo amekuwa anadharau vyuo vya wengine na kujisifia amechaguliwa udsm(muce) BAED, anashindwa kujua kuwa anatakapomaliza chuo ataajiriwa na serikali na watalipwa mishahara sawa na waliosoma teku,kiu,saut na vyuo vyote anavyodharau.
Chuo hakikufanyi kuwa bora zaidi ni mtu mwenyewe anasahau kuwa hata shule za kata zinafaulisha kuliko zile za zamani(kongwe) ana tabia za kihaya wakati yeye mchaga, angepata one sijui ingekuweje.
Huyu dogo amekuwa anadharau vyuo vya wengine na kujisifia amechaguliwa udsm(muce) BAED, anashindwa kujua kuwa anatakapomaliza chuo ataajiriwa na serikali na watalipwa mishahara sawa na waliosoma teku,kiu,saut na vyuo vyote anavyodharau.
Chuo hakikufanyi kuwa bora zaidi ni mtu mwenyewe anasahau kuwa hata shule za kata zinafaulisha kuliko zile za zamani(kongwe) ana tabia za kihaya wakati yeye mchaga, angepata one sijui ingekuweje.
Sianzishi ugomvi nasema ukweli... Wewe nae kwa kuponda vyuo hujambo...
Huyu dogo amekuwa anadharau vyuo vya wengine na kujisifia amechaguliwa udsm(muce) BAED, anashindwa kujua kuwa anatakapomaliza chuo ataajiriwa na serikali na watalipwa mishahara sawa na waliosoma teku,kiu,saut na vyuo vyote anavyodharau.
@oilsumu
Wapi ? Kaka
Anakopi miendo yangu hajui mimi nafanya hivyo ili nipate challenge jf,
Anakopi miendo yangu hajui mimi nafanya hivyo ili nipate challenge jf,