toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Wapambanishe, huyo πππ π‘πππ£ππ΄ππΈπΎπΈππΈ anachezea wapi...Aje manyanya awekewe hata milioni..unatutajia watu wako wa vichakani huko..Nimesoma uzi huu UCHWARA nikaishia kusonya.
Huyo sisko wenu uchwara siku ajichanganye akutane na πππ π‘πππ£ππ΄ππΈπΎπΈππΈ maji asipoyaita maa
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Uyo ni Rama Arusha, baada ya dogo janjaView attachment 2085073
Huyo wa kwanza alonyoa pank ndio mtaalamu mwenyewe, alafu dogo janja anaefuata jina simkumbuki alafu Noeli..Hapo wa kwanza kulia na wakwanza kushoto ni hatari sana mkuu
Shukran mkuu.,.Nenda manyanya hata saiz au saa kuminambili
Mkuu mbona Mimi hiyo level ya 100 jamaa hua analitafuta sare kwa tabu san, kwenye michezo 5 anaweza akatoa sare 2 au 1 hua namsulubu San hahahah...dalmax 100 Kuna mtu aliyeweza kulifunga Hilo draft.
Yaani nikijitahidi natoa sare na hapo nishapigwa sana
Ni kwel mkuu kule dalmax no kwa ajili ya kujifua tuh Ila uchezaj wao ni wakawaida San...Kawaida sana, dalmax anafungwa..
NB:Watu hawapo kwa ajili ya kucheza na dalmax, wapo kukagua miguu na kufundishana kwa kutumia dalmax
Mkuu mbona Mimi hiyo level ya 100 jamaa hua analitafuta sare kwa tabu san, kwenye michezo 5 anaweza akatoa sare 2 au 1 hua namsulubu San hahahah...
Mkuu nitaitafuta maana nlishaifuta ktambo San,. Cku hiz natembelea kwenye vijiwe tuh ili nipate copy mpya..Ebu weka mchezo mmoja uliomfunga.
Piga screen shot
Mkuu nitaitafuta maana nlishaifuta ktambo San,. Cku hiz natembelea kwenye vijiwe tuh ili nipate copy mpya..
Ok mkuu ngoja niingie play store niitafute then nitakupa mrejesho....Poa .lakini si una download tu .
Shida IPO wapi.nataka nione ukali wako.
Download cheza nae gemu moja .
Mimi nachezea vichapo Hadi supa kanifunga Mara mbili roho inauma sana
Mkuu hiz hapa michezo mitatu golo mbili sare mojaView attachment 2086414Poa .lakini si una download tu .
Shida IPO wapi.nataka nione ukali wako.
Download cheza nae gemu moja .
Mimi nachezea vichapo Hadi supa kanifunga Mara mbili roho inauma sana
Na huu hapaMkuu hiz hapa michezo mitatu golo mbili sare mojaView attachment 2086414View attachment 2086415
Mkuu hii dalmax hua wanafanya makosa madogo madogo ambayo ukiwa Makin inakua no rahisi kuwafunga...Na huu hapa View attachment 2086419
nashindaga sana!dalmax 100 Kuna mtu aliyeweza kulifunga Hilo draft.
Yaani nikijitahidi natoa sare na hapo nishapigwa sana
nashindaga sana!
safi sana,, Mkuu kuna draft zuri kwa PC?Leo nimembahatisha goli 2. Kuna kopi haiwezi