Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mzaliwa wa Msanga.• Rashid Lunyalile
• Mzaliwa na mwenyeji wa Dar
• Hood yake ni Kiwalani Bombom
• Umri wake ni miaka 28
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzaliwa wa Msanga.• Rashid Lunyalile
• Mzaliwa na mwenyeji wa Dar
• Hood yake ni Kiwalani Bombom
• Umri wake ni miaka 28
Angejiita chid lunya ingependeza zaidiAnaitwa Rashid Lunyalile
Lunya ni kifupi cha surname.
Katokea mkubwa na wanawe, mkubwa fella ndio aligundua kipaji chake.
Ni dogo ana respect kwa kaka zake sana na hana maishu ya ajabu.
Ni mkali sana na namkubali sana
Details zingine hazihusu na sizijui
Hakuna rapper hapoSijui nikwamba nimezeeka ila ni kwamba sikio langu ni kali sana kama la yule famous dr nyie mnamuita dr dre kwenye kusikia vitu vizuri..lakin kila nikimskiliza lunya nasikia makelele tu sijui kwa nini
Nitamchek naona lunya lunya Ila sijapata kumsikiliza.Kacheki kazi zake YouTube utamwelewa life lake
Mzaliwa wa Msanga.
Msanga iko Kisarawe Mkuu,"Mjini sijaja na treni wala bus"
[emoji23] If only Bongo raps were real, hio sentence inatosha kumaanisha kuwa jamaa ni born here here. Msanga iko wapi kwanza mkuu?
Anhaaa! sawa mkuu, shukrani.Msanga iko Kisarawe Mkuu,
Mzaliwa wa msanga yule jamaa, mzaramo pure! Kama una hata rafiki wapigie huko wakuelekeze ukoo wa lunyalile unakaa wapi exactly. Bange mtu mmoja tu"Mjini sijaja na treni wala bus"
😂 If only Bongo raps were real, hio sentence inatosha kumaanisha kuwa jamaa ni born here here. Msanga iko wapi kwanza mkuu?
Anhaa! sawa mkuu, nimekuelewa.Mzaliwa wa msanga yule jamaa, mzaramo pure! Kama una hata rafiki wapigie huko wakuelekeze ukoo wa lunyalile unakaa wapi exactly. Bange mtu mmoja tu
NdiyoKwao ni kiwalani
Iwe Masaki,Kauzeni,Kibuta,Masanganya,......but we consider wa mjini. Safari ya saa moja sio sawa na mtu anayesafiri kutwa mzima toka mikoaniMzaliwa wa msanga yule jamaa, mzaramo pure! Kama una hata rafiki wapigie huko wakuelekeze ukoo wa lunyalile unakaa wapi exactly. Bange mtu mmoja tu
Hahaha. Acha bhas... kwetu panzuo-mkamba dar tunakuja hata mara tatu na kurudi dar kwa siku bila shida. lakini ni shamba kuliko maeneo mengine, maji na umeme mpaka leo hayajafika ni ni mkuranga tu hapo nauli ni buku 5Iwe Masaki,Kauzeni,Kibuta,Masanganya,......but we consider wa mjini. Safari ya saa moja sio sawa na mtu anayesafiri kutwa mzima toka mikoani
Mkuranga bado Mjini mkulu....Dar ni center/mjini ya mkoa wa Pwani. Huwezi Kuta mtu anasema naenda Dar es salaam, wanasema tunapenda mjini alafu ni kitu cha kawaida sana.Hahaha. Acha bhas... kwetu panzuo-mkamba dar tunakuja hata mara tatu na kurudi dar kwa siku bila shida. lakini ni shamba kuliko maeneo mengine, maji na umeme mpaka leo hayajafika ni ni mkuranga tu hapo nauli ni buku 5