Dogo Young Lunya ni nani?

anajulikana kwa jina maarufu as a MBUZI 🐐 (GOAT)
 
Angejiita chid lunya ingependeza zaidi
 
"Mjini sijaja na treni wala bus"

[emoji23] If only Bongo raps were real, hio sentence inatosha kumaanisha kuwa jamaa ni born here here. Msanga iko wapi kwanza mkuu?
Msanga iko Kisarawe Mkuu,
 
"Mjini sijaja na treni wala bus"

😂 If only Bongo raps were real, hio sentence inatosha kumaanisha kuwa jamaa ni born here here. Msanga iko wapi kwanza mkuu?
Mzaliwa wa msanga yule jamaa, mzaramo pure! Kama una hata rafiki wapigie huko wakuelekeze ukoo wa lunyalile unakaa wapi exactly. Bange mtu mmoja tu
 
Mzaliwa wa msanga yule jamaa, mzaramo pure! Kama una hata rafiki wapigie huko wakuelekeze ukoo wa lunyalile unakaa wapi exactly. Bange mtu mmoja tu
Iwe Masaki,Kauzeni,Kibuta,Masanganya,......but we consider wa mjini. Safari ya saa moja sio sawa na mtu anayesafiri kutwa mzima toka mikoani
 
Iwe Masaki,Kauzeni,Kibuta,Masanganya,......but we consider wa mjini. Safari ya saa moja sio sawa na mtu anayesafiri kutwa mzima toka mikoani
Hahaha. Acha bhas... kwetu panzuo-mkamba dar tunakuja hata mara tatu na kurudi dar kwa siku bila shida. lakini ni shamba kuliko maeneo mengine, maji na umeme mpaka leo hayajafika ni ni mkuranga tu hapo nauli ni buku 5
 
Hahaha. Acha bhas... kwetu panzuo-mkamba dar tunakuja hata mara tatu na kurudi dar kwa siku bila shida. lakini ni shamba kuliko maeneo mengine, maji na umeme mpaka leo hayajafika ni ni mkuranga tu hapo nauli ni buku 5
Mkuranga bado Mjini mkulu....Dar ni center/mjini ya mkoa wa Pwani. Huwezi Kuta mtu anasema naenda Dar es salaam, wanasema tunapenda mjini alafu ni kitu cha kawaida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…