Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujui kawia lakini ufike? hays tueleze tulichokichelewa ni kipiMmechelewa
Miyeyusho huyu ngoja tùone ukipata mrejesho uniites alitubiatu connect sjui na tonkipa leo mbona anatupeleka kwengine yan naona mauza uza
Nielekeze mkuuNi nazo kwenye account yangu ya bank tayari nimeziuza dogz zangu kupitia binance
kwa hiyo ni lazima niwe na account ya benki mbona mnanichanganya au n mm nimecanganyikiwa??Ni nazo kwenye account yangu ya bank tayari nimeziuza dogz zangu kupitia binance
wenzetu mzigo umeingia benki wewe unaelewa haya mambo yanavyoenda? yan mm sina mojaMiyeyusho huyu ngoja tùone ukipata mrejesho uniite
Mkuu Tafadhar nielekeze ulivyofanyaNi nazo kwenye account yangu ya bank tayari nimeziuza dogz zangu kupitia binance
Ungemfata dm mwanzisha uziHiv huu Uzi mbona jamaa hawaelekez jina ya kuwithdraw cash
Naomba kujua jinsi ya kufanya daily mining km Dogs ktk hii BLUM....aisee Dogs sikuamini aisee maokoto yame mwagika live aiseeAya, nguvu tuelekeze kwenye Blum. Hii muda si mrefu tutakula hela pia...huhitaji kuweka hela yoyote, kazi yako ni kumine tu!
![]()
Tupe maujanja hapo kdgChukueni hizi mbili za uhakika baada ya dogs
Jitihada yako itakupa matokeo huko mbele
![]()
![]()
Tupe maujanja hapo kdgChukueni hizi mbili za uhakika baada ya dogs
Jitihada yako itakupa matokeo huko mbele
![]()
![]()
p2p wanazingua nini hasa?Wakuu binance walisema wameanzisha binance pay kwa Tanzania pia! Kwamba hadi kwa mobile money lakini nikiangalia naona mobile money hakuna au bado bado?
Pia nauliza hizo njia za benki crdb na nmb ni akaunti za dola au hizi hizi za kawaida za tsh? Maelekezo tafadhali maana jamaa wa p2p wanaringa sana