Doing Business in Mozambique

Mkuu Trachomatis. Noti ya 200 ni hiyohiyo 200 na utanunua vitu vyenye thamani ya 200 na wala haisomeki kama ulivyoeleza hapo juu. Mfano nauli ya daladala(Town Trip) ni 5mt basi utalipa 5mt na sarafu yake imeandikwa hivyohivyo 5mt
 

kaka lugha ni Tatizo lakin wengi tunatafuta wafanyakaz wanaojua kiswahili ndo unafanya nao kazi, kuhusu pesa sio kazi kujifunza na mara nyingi hatuconvent mt kwa tsh hapo hasara utaingia, mt 200 n almost
10000
 
Wakuu, Mozambique sikuwa nawazo nayo kabisaa; kwa walioko huko naomba tufahamishane please; Hivi biashara kama ya Hoteli Ndogo (Guest House) imekaaje, namaanisha mgeni kujenga huko; viwanja katika maeneo mazuri vinatembea bei gani, na siasa zao zimekaaje kwa mgeni kuwekeza namna hiyo? Pia naomba kufahamu biashara ya Mawasilino imekaaje (Cyber Cafe, Hotspots, na ICT solutions?), Bidhaa zao za electronics wanatoa wapi? Pia niliwahi kusikia upatikanaji wa magari na vipuri ni rahisi zaidi na bei nzuri kulinganisha na bongo, vp kama nataka kununua na kuleta magari bongo, au ni ya wizi zaidi? Tupeane uzoefu zaidi kwa mlioko huko. Processza kuanzisha biashara huko zikoje kwa ujumla?
Napatikana kwa: amoebazone@gmail.com
Thanx Wakkuu!
 

Mkuu vipi hali ya barabara toka boda kwenda Pemba na pia kutoka Pemba hadi Maputo? Ni lami au baabara ya vumbi
 

Asante sana kwa mwongozo. Be blessed
 
Mkuu vipi hali ya barabara toka boda kwenda Pemba na pia kutoka Pemba hadi Maputo? Ni lami au baabara ya vumbi
kutoka boda mpaka hiyo wilaya ya mocimbou usafir n wa landcruiser tena mnajazakana kama nyuki barabara ni vumbi tu. Toka mocimbou mpaka Pemba n lami ingawa kuna sehem barabara inatengenezwa n mbovu. Na pia basi ni moja 2 tena n kimin bas na n asubuh 2 ukikosa mpaka yake na inategemeana unaweza usipate kabisa jiandae na kuPanda malor. Ila kama unaenda Maputo n mara via ukapandie nampula. Ila kama unatoka tz kama Huna Kuna kinjia Acha kupitia newala. Mkifika newala unapanda pikipiki mpaka boda kwa muda wa nusu saa hivi. Ukivuka mto unapata gari za kwenda wilaya inaitwa Mueda, kutoka Hapa magari yapoyapo kidogo ya kwenda nampula na Pemba tofaut na mocimbou
 
Mkuu Edgartz, nimeangalia kwenye google earth inaonekana Tete ni mbali sana toka Mtwara usafiri wa kuja huko ukoje? mnapitia wapi?

Sio mbali sana mkuu njia fupi pitia malawi ukipitia mtwara utazunguka sana
 
Mwisho wa mwezi nitakuja huko Watanzania nitawajuza baada ya kusoma alama za nyakati Mozambique
 
Ila kwa hotel unaweza kutengeneza pesa huku misosi bei sana na hata gest na nazani ni popote msumbiji wanamatatizo hayo gest na hotel
 
umeme upo bei cheee?inamaana ukiwa na kinu na kupaki unga kama Azam biashara iko vizuri sana.if that is the case,mji Gani unafaa kufanya hii biashara.
 

Mkuu mimi nia yangu ni kufika miji ya Pemba na Nampula kwa usafiri binafsi ni njia ipi bora na inayopitika kirahisi {newala - boda - Mueda - Pemba to Nampula} au {Mtwara - boda - Mocimbou - Pemba to Nampula}?
 
kaka vipi biashara ya unga wa mahindi sembe, soko lake likoje? bei zinazotembea kwa kilo?
 
kaka lugha ni Tatizo lakin wengi tunatafuta wafanyakaz wanaojua kiswahili ndo unafanya nao kazi, kuhusu pesa sio kazi kujifunza na mara nyingi hatuconvent mt kwa tsh hapo hasara utaingia, mt 200 n almost
10000

Mkuu unaweza kutupa updates kuhusu biashara huko Msumbiji ukizingatia ni zaidi ya mwaka sasa?
 

DAH ATLEAST WEWE UMEONGEA UKWELI,NIMEFANYA KAZI VODACOM MOZAMBIQUE MWAKA WOTE WA 2012 NIMEZUNGUKA KILA WILAYA NA MKOA WA MSUMBIJI KUFANYA INSTALLATION KTK MINARA YA VODACOM JAMAA WAPO NYUMA SANA KIMAENDELEO WANAPENDA NGONO NA POMBE ALAFU WAMELALA SANA KAZI HAWATAKI KUFANYA,SO UKIENDA MBONGO KAMA UPO SERIOUS SEHEM ZA KUWEKEZA NI KTK SECTA ZA USAFIRI,CHAKULA NA GUEST HOUSE HIVYO VITU WAPO NYUMA KUPITA MAELEZO WANAISHI KWA KULA SCONZI (PAU) SO UKIWAPELEKEA UNGA,VITUNGUU VYA BONGO,MIHOGO,NYANYA AU MCHELE USHAWIN,UPANDE WA GESTI NIKWAMBA JAMAA WANAPENDA SANA NGONO SO SHORTTIME KWAO NDIO DILI NA INALIPA JUST IMAGINE KA GEST BUBU KANATOZA 250 hadi 500 karibia elfu 25 ya bongo kule wamelaa wewe wapelekee hata madela watanunua wale washamba rais wao chisano alisema mwenyewe kuwa rai wake pengine hadi 2020 ndio wataanza kuamka mreno alisha waaribu akili wale WANADHANI UKIJUA KIRENO NDIO UMEJUA LUGHA ZOOTE DUNIANI KUWA MAKINI NA ASKARI WA KULE WAO WANAAMINI MGENI=DINHERO (PESA),MWINTU OBRIGADO AMIGO
.
 

Mkuu MAKOSHNELI asante kwa maelezo murua. Ni namna gani nzuri ya kuepuka usumbufu wa polisi huko? Vipi kwa habari ya raia wenyewe, wanawachukuliaje wageni (wabongo)? Asante sana mkuu.
 
Last edited by a moderator:
mkuu makoshneli asante kwa maelezo murua. Ni namna gani nzuri ya kuepuka usumbufu wa polisi huko? Vipi kwa habari ya raia wenyewe, wanawachukuliaje wageni (wabongo)? Asante sana mkuu.

kuepuka usumbufu wa polisi hakikisha kila unapokwenda unapasport hasa ile kubwa ya kitabu, kijitabu kinachoonyesha umechoma kinga ya yellow fever,kitambulisho cha kura muhimu sana na meticais kama mia hivi (cem meticais) mfukoni,raia wa kule wanawachukia wageni sana coz wanawaona wamekuja kuwachukulia kazi zao so huwa na kale jatabia ka kukuchongea kwa polisi ili akukague vibali vyako kama upo kule kihalali,sehem nzuri kufanyia biashara ni nampula,beira,tete na cabo delgado ila mikoa mingine kama zambezia,inhambane,gaza na maputo hovyo kabisa na kunausumbufu mkubwa wa raia wa kigeni na kunaushindani mkubwa kibiashara na wanigeria,wazimbabwe na wasouth
 
Last edited by a moderator:

Vp Kuhusu Lugha? Wanaelewa kidhungu? au ni kireno tu? Vp kuhusu Usalama ? Hamna Vitu vyenye ncha Kali?
 
mademu wale machotara wa kireno na msumbiji ni wazuri sana halafu wanawashobokea sana wabongo.

ivi ni kweli...mtu akitoka sauzi africa eti madem wanashobokea wabongo, kenya ivoivo. uganda ivoivo, ulaya ivo ivo sasa hadi mozambique huyu nae anasema ivoivo , ivi ni kweli kila kona wabongo wanashobokewa au tunapenda sifa au tuna nin kwanin asimshobokee muamerika au mrusi, au mkongo.
 
vp kuhusu lugha? Wanaelewa kidhungu? Au ni kireno tu? Vp kuhusu usalama ? Hamna vitu vyenye ncha kali?

wale jamaa washamba hawajui lugha nyingine zaidi ya kireno wao wanaamini kireno ndio lugha kubwa duniani,ila kama ukijua kimakua au kimakonde kwa mikoa ya nampula,niassa na cabo delgado unaweza ishi vizuri tu,kuhusu usalama upo ila kama ukiwa mtulivu hasa kwa mademu wa watu otherwise utaishiwa kukatwa mapanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…