Doing Business Report 2020

Doing Business Report 2020

Hehehe!! Pale mnaibukia sisi tulipita kitambo, leo hii tuko kwenye $100B wakati nyie mumeganda kwenye $63B, yaani nusra tuwapige double double na bado pengo linaongezeka. Pambaneni huko chini na wale mlio nao kwenye level yenu bado hamjafikia kwenye kikundi cha sisi big boys wa Afrika.
GDP kwa sasa hainiumizi kichwa tena...hata nigeria wanayokubwa lakini hawana lolote kwa mauritius ama Botswana...
 
Kevoo unachanganya mambo hapa ujue. Hiyo si taarifa ya WB? Wanasemaje kuhusu Tz kuwa real middle income country in E.A?
Wewe ndiye unayejichanganya. Nini kwa hii ripoti ni ya kutoeleweka ama ni lugha ndiyo changamoto? World Bank hutoa ripoti tofauti. Hii report inahusu urahisi wa kuanzisha biashara ya kibinafsi katika nchi za dunia.
Ukitaka ripoti ya GDP, iko ya 2019 bado hawaja toa ya 2020. Hiyo ya 2019 inasema Tanzania ni LOW MIDDLE INCOME kwa sababu GNI imefika $1,150. Lakini bado inasema Tanzania ni kati ya nchi zinazoitwa Least Developed Countries kwa sababu Human Development Index ya Tanzania iko bado chini sana.
Kama lugha ni ngumu unaeza itisha usaidizi usijichanganye.
 
Wewe ndiye unayejichanganya. Nini kwa hii ripoti ni ya kutoeleweka ama ni lugha ndiyo changamoto? World Bank hutoa ripoti tofauti. Hii report inahusu urahisi wa kuanzisha biashara ya kibinafsi katika nchi za dunia.
Ukitaka ripoti ya GDP, iko ya 2019 bado hawaja toa ya 2020. Hiyo ya 2019 inasema Tanzania ni LOW MIDDLE INCOME kwa sababu GNI imefika $1,150. Lakini bado inasema Tanzania ni kati ya nchi zinazoitwa Least Developed Countries kwa sababu Human Development Index ya Tanzania iko bado chini sana.
Kama lugha ni ngumu unaeza itisha usaidizi usijichanganye.

Hivi mada umeielewa kweli mkuu? Yani Tanzania ipo kundi lipi na Kenya ipo kundi lipi kwenye hiyo middle income? na Rwanda ipo?
 
Wewe tangu jana ujifunze neno jipya "middle income" sasa leo hatuwezi kupumua?

Eh yafaa upimweee tena upimwee upimwee kabisaa.. hiyo ni dalili ya corona kama huwezi kupumua maana kenya ndio wuhan ya corona hapa Afrika.
 
Kevoo unachanganya mambo hapa ujue. Hiyo si taarifa ya WB? Wanasemaje kuhusu Tz kuwa real middle income country in E.A?
hata baada ya hii World Bank "upgrade", bado TZ inashika nafasi ya 158 kwa income kati ya nchi 186 duniani zilizofanyiwa tathimini.
maana yake ni kwamba Tanzania bado imo katika top 30 poorest countries in the world.

sisi ni dona kantri buana!!
 
GDP kwa sasa hainiumizi kichwa tena...hata nigeria wanayokubwa lakini hawana lolote kwa mauritius ama Botswana...
Wachana na Nigeria kabisa. Hamko ligi yao. Nigeria wamewafunika kwenye Gdp (zaidi ya $400 bn) na pia kwenye Gdp per capita (zaidi ya $ 2,000). Yaani wao ni wengi kuwashinda ila pia ni matajiri kuwashinda. Kenya pia imefunikwa na Nigeria kwenye Gdp na Gdp per capita lakini kwenye Gdp per capita tumewakaribia.
 
hata baada ya hii World Bank "upgrade", bado TZ inashika nafasi ya 158 kwa income kati ya nchi 186 duniani zilizofanyiwa tathimini.
maana yake ni kwamba Tanzania bado imo katika top 30 poorest countries in the world.

sisi ni dona kantri buana!!

Duh sikujua hili..sasa hawa WB waliipandishaje Tanzania ili hali wakijua hayo? Hizo data zako ingebidi uwapelekee ili waiondoe.

Hapa Afrika Tanzania ni ya ngapi kiuchumi? Ipo kwenye kumi bora? Na je kwa Afrika zipo nchi ngapi?
 
Wachana na Nigeria kabisa. Hamko ligi yao. Nigeria wamewafunika kwenye Gdp (zaidi ya $400 bn) na pia kwenye Gdp per capita (zaidi ya $ 2,000). Yaani wao ni wengi kuwashinda ila pia ni matajiri kuwashinda. Kenya pia imefunikwa na Nigeria kwenye Gdp na Gdp per capita lakini kwenye Gdp per capita tumewakaribia.
Ukweli ni kwamba kuna walalahoi wengi Nigeria kuliko matajiri
 
Ukweli ni kwamba kuna walalahoi wengi Nigeria kuliko matajiri
Hio ni kweli kwa sababu wana population karibia 200 million. Lazima watakuwa na masikini wengi. Mmoja kati ya kila watu watano weusi duniani ni Mnigeria. Hata tukisema kwa mfano 50% yao ni masikini wa kutupwa, hao tayari ni watu millioni mia moja. Kwa upande mwingine Nigeria ina matajiri wengi, hata tukisema 5% yao ni matajiri wakubwa, hio unaweza dhani ni idadi ndogo lakini 5% * 200 million = 10 million. Hao tayari ni matajiri 10 million. Ninachojaribu kusema ni kuwa nchi kubwa kama Nigeria kuwa na Gdp per capita kubwa kushinda Kenya au Tanzania ni aibu kwetu.
 
Duh sikujua hili..sasa hawa WB waliipandishaje Tanzania ili hali wakijua hayo? Hizo data zako ingebidi uwapelekee ili waiondoe.

Hapa Afrika Tanzania ni ya ngapi kiuchumi? Ipo kwenye kumi bora? Na je kwa Afrika zipo nchi ngapi?
kwenye mtihani kuna vi-la-za wa "E" na vi-la-za wa "F".

ndicho walichofanya WB...... kuna "E" zimekuwa upgraded kuwa "F" but there's a very thin line between the 2.
 
Tukiendelea kupambana yanawezekana, Tz tunajitahidi kufanya miradi ambayo baadae Ndio utakua mwanzo wa kuchuana na wakubwa...Rasilimali zetu bado hatujazitumia ipasavyo...
Tukija kwenye Quality ya huduma karibuni tutawazidi kila kitu, kwenye Afya,usafirishaji, mawasiliano,upatikanaji wa maji safi,umeme nk. ..kwa speed tunayoenda nayo hadi 2025 Wao wenyewe watanyoosha mikono!!
Hio ni kweli kwa sababu wana population karibia 200 million. Lazima watakuwa na masikini wengi. Mmoja kati ya kila watu watano weusi duniani ni Mnigeria. Hata tukisema kwa mfano 50% yao ni masikini wa kutupwa, hao tayari ni watu millioni mia moja. Kwa upande mwingine Nigeria ina matajiri wengi, hata tukisema 5% yao ni matajiri wakubwa, hio unaweza dhani ni idadi ndogo lakini 5% * 200 million = 10 million. Hao tayari ni matajiri 10 million. Ninachojaribu kusema ni kuwa nchi kubwa kama Nigeria kuwa na Gdp per capita kubwa kushinda Kenya au Tanzania ni aibu kwetu.
Tukiendelea kupambana yanawezekana, Tz tunajitahidi kufanya miradi ambayo baadae Ndio utakua mwanzo wa kuchuana na wakubwa...Rasilimali zetu bado hatujazitumia ipasavyo...
Tukija kwenye Quality ya huduma karibuni tutawazidi kila kitu, kwenye Afya,usafirishaji, mawasiliano,upatikanaji wa maji safi,umeme nk. ..kwa speed tunayoenda nayo hadi 2025 Wao wenyewe watanyoosha mikono!
Alafu kumbuka mafisadi wameshughulikiwa sana yani rushwa imepungua sana Tz unlike kwao...
 
kwenye mtihani kuna vi-la-za wa "E" na vi-la-za wa "F".

ndicho walichofanya WB...... kuna "E" zimekuwa upgraded kuwa "F" but there's a very thin line between the 2.

Na wewe pia ni kilaza? Mbona hujajibu swali?
 
mimi ni Mtz. tupo kwenye nafasi ya 158 ya vilaza, so....

Afrika kuna nchi ngapi? na Tanzania ni nchi ya ngapi kiuchumi Afrika?

Acha kuwa kilaza sasa, tafuta majibu kwanza hapo.
 
Afrika kuna nchi ngapi? na Tanzania ni nchi ya ngapi kiuchumi Afrika?

Acha kuwa kilaza sasa, tafuta majibu kwanza hapo.
zipo 54. Tz ni ya 30 kwa kigezo cha per capita income!!
 
Back
Top Bottom