Dokezo Jipya: Baada ya Bunge kuvunjwa kuna mafuriko ya wana CHADEMA wanahamia NCCR Mageuzi

Dokezo Jipya: Baada ya Bunge kuvunjwa kuna mafuriko ya wana CHADEMA wanahamia NCCR Mageuzi

Je kama watahamia Nccr watakua wa nafuata nini. Je ni kwasabb ya njaa zao?je ni kwasabb ya uzalendo wao?je agenda zao ktk majimbo yao znabadlka?je wananchi waliokua wanawawakilisha awali watabadilika au watakua ni wale wale? Wanasiasa wa kiafrica hawajawahi kuwa wazalendo hata siku moja ispokua kutafuta vitambi vya matumbo yao...Mwlm JK pekee hakufuata vitambi kwenye siasa Bali dhamira ya kukomboa wananchi kwa dhat pasi na shaka..!!
Enyi wabunge hatuna shida nanyi mana tunajua hamupendi maisha ya wananchi wenu mliowaminisha awali kuwa mnawapenda kwl kw Bali muliingia kunenepesha vitambi...nendeni tena nasema nendeni!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo ujinga wa nchi yetu...
Kila baada ya miaka mitano watu wanarudia ujinga ule ule...
Si upinzani... Si ccm...
 
CCM ndio wamesha cheze dili Mbatia waiuwe CHADEMA
Kwa saa NCCR MAGEUZI ni tawi la CCM tu
Kawadanganye wajinga
MBATIA alienda ikulu kuona na Rais watu tukausoma mchezo haraka haraka
HATA ACT WAZALENDO bado kunaulakini walivyoenda kuonana na Rais ikulu isipokuwa CHADEMA
NCCR MAGEUZI nitawi la CCM mwaka 2020 nakuendelea watakuwa na wabunge huko bungeni ili kuonesha kuwa Tanzania kunadekorasi na baadhi ya wabunge wa upinzani wameshinda
Nakupata uhalali kimataifa kuwa uchaguzi ulikuwa fresh
HUU MCHEZO UMESHAJULIKANA TANGIA KITAMBO SANA
Watanzania sio wajinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku tabora Uyui hakuna bara bara wala maji hebu wapatieni wananchi haki yao ndio mje na siasa za kijinga kama hizo!!
 
Sasa si mfurahi basis hao wanao ludi maana naona chedema inaenda kufa sasa
Na ikiwezekkana pelekeni mswada bungeni ibaki ccm peke ake ili mfurahi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ndio wamesha cheze dili Mbatia waiuwe CHADEMA
Kwa saa NCCR MAGEUZI ni tawi la CCM tu
Kawadanganye wajinga
MBATIA alienda ikulu kuona na Rais watu tukausoma mchezo haraka haraka
HATA ACT WAZALENDO bado kunaulakini walivyoenda kuonana na Rais ikulu isipokuwa CHADEMA
NCCR MAGEUZI nitawi la CCM mwaka 2020 nakuendelea watakuwa na wabunge huko bungeni ili kuonesha kuwa Tanzania kunadekorasi na baadhi ya wabunge wa upinzani wameshinda
Nakupata uhalali kimataifa kuwa uchaguzi ulikuwa fresh
HUU MCHEZO UMESHAJULIKANA TANGIA KITAMBO SANA
Watanzania sio wajinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni hisia zako!
 
Hizi propaganda Hadi lini my friend hakuna atakayehama toka Chadema kwenda NCCR. Kila uchaguzi na upepo wske, Chadema bado wana upepo wa kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.

Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.

Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.

Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.

Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.

Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.

Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.

Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.

Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.

Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Hii CHADEMA kweli inawanyima usingizi hasa.

CHADEMA ya mtu mmoja, tena bila polisi na mabomu na bunduki, haina mahakama wala bunge inawasumbua kiasi hiki - huyu mtu mmoja nguvu zote hizi anazitoa wapi?

Uliyoyaeleza hapa yanaihusu sana CCM ya mtu mmoja.

Ukiondoa polisi, mabomu, mabunduki na hizi pesa za wananchi mnazotumia kuwakandamiza na kujaza matumbo yenu, hakika CCM itapotea isijue kumetokea nini.

Kama huamini - waache wananchi wachague viongozi wao kwa uhuru na haki. Utayaona matokeo halisi.

Mmebaki kuwa watu wa kupiga kelele mitandaoni kila siku, hii hofu yenu sio bure. Mnajua wananchi hawawataki tena.
Mnalazimisha kuendelea kuwepo kwenye madaraka bila ridhaa ya wananchi.

Sasa angalia huu ujuha wa kuweka matumaini kwa chama ambacho kilijifia siku nyingi. NCCR mnaitumia iiue CHADEMA huku nyinyi ilishawashinda kuiua?
Haya sio matumaini ya ujinga? Mnadhani waTanzania ni wajinga, kumbe nyinyi ndio wajinga wakubwa.
 
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.
Mtu wa ndani ndani kumshinda Mashinji ni nani huyo, Mbowe mwenyewe?

Kama Mashinji alishawapa habari za ndani ndani kabisa na bado hamkuridhika nazo na kuzitumia kuisambaratisha CHADEMA, hizi habari mpya zitatoka wapi?

Kila mnavyozidi kuhangaika, ndivyo mnavyozidi kujionyesha udhaifu wenu mkubwa wa kufikiri.
 
Siasa za Tanzania wala sio za kushangazwa nazo hasa upande upinzani.

Personal nikisikiliza hoja za wanasiasa labda Bashe ndio ana qualify kuitwa mwanasiasa kwa mitazamo yake ya mapinduzi ya kifikra (be it I don’t see eye to eye on many of his views).

Mtu mwingine unfortunately sijui aliishia wapi kwakuwa CCM aipendi werevu ni Mpoki Mwambulukutu (Mchambuzi) this guy was a politician kwa hoja zake na mitazamo yake ya kiuchumi with Tanzania context.

Kwa mbali ambao wanafanania uana siasa ni January Makamba na Zitto; but they lack original ideas wanachojua ni kuangalia ulaya wanafanya mambo vipi without evaluating how those measures are applicable in Tanzania.

Waliobaki asilimia chache ni kama wanaharakati the likes of Peoffesor Jay, Mwigulu, Nape and a few others.

Wasio qualify kuitwa wanaharakati ambao ndio kundi kubwa ni waganjaa wote kutoka CCM na upinzani.

Tofauti ni kwamba CCM can control them to stay inline; wakati upinzani mbowe is beginning to lose the grip ata CDM nzima ikiamia NCCR mageuzi personal it wont shock me most of their politians don’t even know what they stand for anyway zaidi ya kuwa wao ni mbadala wa CCM.
 
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.

Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.

Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.

Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.

Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.

Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.

Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.

Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.

Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.

Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Ok tumekuelewa! Sasa unashaurije ili hiki chama kiendelee kuwa active kwenye siasa za ushindani. Naomba pia NIKUULIZE swali Mnyeti akiwa mkuu wa wilaya arumeru alikuwa anatoa wapi pesa ya kuwahonga madiwani wa chadema? Je alikuwa anatumia mshahara wake?
 
Mtu wa ndani ndani kumshinda Mashinji ni nani huyo, Mbowe mwenyewe?

Kama Mashinji alishawapa habari za ndani ndani kabisa na bado hamkuridhika nazo na kuzitumia kuisambaratisha CHADEMA, hizi habari mpya zitatoka wapi?

Kila mnavyozidi kuhangaika, ndivyo mnavyozidi kujionyesha udhaifu wenu mkubwa wa kufikiri.
Yaliyotolea Tarime hukuyaona? Kwa nini Chadema wamepiga gari la Nccr Mageuzi mawe?
 
Ok tumekuelewa! Sasa unashaurije ili hiki chama kiendelee kuwa active kwenye siasa za ushindani. Naomba pia NIKUULIZE swali Mnyeti akiwa mkuu wa wilaya arumeru alikuwa anatoa wapi pesa ya kuwahonga madiwani wa chadema? Je alikuwa anatumia mshahara wake?
Subiri bunge livunjwe.
 
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.

Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.

Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.

Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.

Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.

Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.

Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.

Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.

Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.

Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Ngoja tukubaliane na hoja yako. Swali ni je, hilo likitokea wewe binafsi utakuwa umepata nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujuwe sisi ambao tulikuwa na akili zetu toka Nyerere analazimika kuanzisha mfumo wa vyama vingi bila kupenda
Tunafahamu NCCR ilivyokufa ....baada ya watu kugombea ruzuku (Marando na Mrema )
CUF ikagain power Lipumba akaaminika lakini kumbuka huyu alikuwa Mshauri wa kiuchum wa serikali ya awamu ya 2.....Kila mtu anajua kinachoendelea CUF
Chadema inashangaza kwa yafuatayo
- Mamluki wanaingia na kutoka Chama kipo pale pale.....mamluki kama Slaa...Lowasa........Sumaye
- Kutoa upinzani wa kiwango cha juu kwa serikali kwa kipindi kirefu mpaka sasa kukisambaratisha hazitumiki tena njia za mamluki zilizozoeleka ...zinatumika njia nyingine
*Ninachojua*
NCCR ya Mbatia (Characterically equal to Mrema) kutumika ni more preffarable kuliko ACT kwa sababu Zitto hatabiliki katika ishu ya kugain popularity..
-


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mtoa maada unachekesha, mtu Mwenye akili atoke chama chenye akidi zaidi ya milioni kumi ahamie kwa Mrema?

Zitakuwa hazimtoshi, Pili kuwa CHADEMA ni chama cha familia ni habari ukawaambie watu zisizowatosha! Na ni propaganda mfu na ya kizamani, maana tulisikia ni chama cha wachaga imepita, cha wakristo imepita sasa imekuja ni cha familia! Amini usiamini CHADEMA laazima kunasiku kitaongoza taifa hili maana ni chama sio kundi la wahuni na walaghai kama chama kubwa CCM, Cha ujamaa kisicho na mjamaa!
Mkaidi afaidi hadi siku ya Idd
 
Back
Top Bottom