Dokezo Jipya: Baada ya Bunge kuvunjwa kuna mafuriko ya wana CHADEMA wanahamia NCCR Mageuzi

Dokezo Jipya: Baada ya Bunge kuvunjwa kuna mafuriko ya wana CHADEMA wanahamia NCCR Mageuzi

Chadema kimepoteza sifa zote za kuwa chama pinzani.

Chadema kumpindua Slaa na kumweka Lowassa #haikubaliki


Chadema kuwapokea mafisadi(mamluki) wa sisiem #haikubaliki

Mwenyekiti wa chadema mlafi wa madaraka,ni miaka 20 sasa #ni aibu

Ushauri
Mbowe ungepumzika sasa,ubaki kuwa mshauri wa chama.

Chama ili kiwe kisafi hakiwezi kupokea wachafu kutoka chama A kuleta chama B,tena wakapewa first priority ya kugombea(si sawa),kama wanaipenda chadema na wako teyari kuitumikia,wapeni miaka mitano ya uangalizi bila kugombea nyadhifa zozote uone kama wana uvumilivu ama wamekuja kimaslai.
 
Pia ninachojua mimi Mafuriko ya wabunge tutakayoyaona ni ya kutoka CCM kwenda vyama vingine ...... na hasa wanapojua hawana nafasi katika Chama ..... kuna mtu anahang anaitwa Membe watch out hana sifa zote za Lowasa...Lipumba ..... Mrema .....bomu la kutegeshwa .....dhidi ya upinzani ......wanamuona kama mkolofi fulani hivi ndani ya CCM lakini kwa nini kipindi hiki cha uchaguzi ndio afukuzwe ....kumbuka huyu ni usalama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.

Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.

Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.

Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.

Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.

Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.

Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.

Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.

Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.

Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Watafuata mpunga, hii nchi bwana
 
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.

Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.

Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.

Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.

Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.

Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.

Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.

Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.

Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.

Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Mbona watu wengi tu wenye akili na msimamo bado wanaikubali na kuiunga mkono Chadema
 
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.

Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.

Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.

Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.

Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.

Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.

Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.

Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.

Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.

Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
CDM hifi ng'oo mnajisumbua subiri uone mambo yatakavyokuwa mwaka huu mwishoni.
 
Chadema kimepoteza sifa zote za kuwa chama pinzani.

Chadema kumpindua Slaa na kumweka Lowassa #haikubaliki


Chadema kuwapokea mafisadi(mamluki) wa sisiem #haikubaliki

Mwenyekiti wa chadema mlafi wa madaraka,ni miaka 20 sasa #ni aibu

Ushauri
Mbowe ungepumzika sasa,ubaki kuwa mshauri wa chama.

Chama ili kiwe kisafi hakiwezi kupokea wachafu kutoka chama A kuleta chama B,tena wakapewa first priority ya kugombea(si sawa),kama wanaipenda chadema na wako teyari kuitumikia,wapeni miaka mitano ya uangalizi bila kugombea nyadhifa zozote uone kama wana uvumilivu ama wamekuja kimaslai.
Ongezea na Tundu Lissu kuwapokea mabwana wake wa ACCASIA uwanja wa KIA na kukaa nao hotel kujadili namna ya kuishitaki Serikali #haikubaliki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.

Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.

Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.

Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.

Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.

Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.

Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.

Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.

Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.

Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Wahame tu
Chadema itaendelea kuwepo
Kila mmoja aombe corona isimmalize
mbatia aombe sana
 
Ndio siasa,kuhama Ni kawaida,hata Trump alikuwa Democrat akahamia Republican,,sioni tatizo,cdm haiwezi kukosa wagombea
 
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.

Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.

Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.

Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.

Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.

Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.

Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.

Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.

Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.

Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Alisikika mlevi mmoja akipayuka kwa sauti ya juu akiwa ndotoni!!
 
Hata kama watasepa wote,CHADEMA isije thubutu fanya usajili kama wa 2015.Ule ndo umeharibu CHADEMA.Watumie wanachama waliopo CHADEMA sasa.Bora jimbo likose mgombea kuliko kuweka oil chafu toka CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom