Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Chadema kimepoteza sifa zote za kuwa chama pinzani.
Chadema kumpindua Slaa na kumweka Lowassa #haikubaliki
Chadema kuwapokea mafisadi(mamluki) wa sisiem #haikubaliki
Mwenyekiti wa chadema mlafi wa madaraka,ni miaka 20 sasa #ni aibu
Ushauri
Mbowe ungepumzika sasa,ubaki kuwa mshauri wa chama.
Chama ili kiwe kisafi hakiwezi kupokea wachafu kutoka chama A kuleta chama B,tena wakapewa first priority ya kugombea(si sawa),kama wanaipenda chadema na wako teyari kuitumikia,wapeni miaka mitano ya uangalizi bila kugombea nyadhifa zozote uone kama wana uvumilivu ama wamekuja kimaslai.
Chadema kumpindua Slaa na kumweka Lowassa #haikubaliki
Chadema kuwapokea mafisadi(mamluki) wa sisiem #haikubaliki
Mwenyekiti wa chadema mlafi wa madaraka,ni miaka 20 sasa #ni aibu
Ushauri
Mbowe ungepumzika sasa,ubaki kuwa mshauri wa chama.
Chama ili kiwe kisafi hakiwezi kupokea wachafu kutoka chama A kuleta chama B,tena wakapewa first priority ya kugombea(si sawa),kama wanaipenda chadema na wako teyari kuitumikia,wapeni miaka mitano ya uangalizi bila kugombea nyadhifa zozote uone kama wana uvumilivu ama wamekuja kimaslai.