Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Watafuata mpunga, hii nchi bwanaHizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.
Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.
Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.
Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.
Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.
Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.
Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.
Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.
Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.
Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Kwa sababu ni vibaraka wa CCM.Yaliyotolea Tarime hukuyaona? Kwa nini Chadema wamepiga gari la Nccr Mageuzi mawe?
Mbona watu wengi tu wenye akili na msimamo bado wanaikubali na kuiunga mkono ChademaHizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.
Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.
Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.
Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.
Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.
Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.
Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.
Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.
Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.
Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
CDM hifi ng'oo mnajisumbua subiri uone mambo yatakavyokuwa mwaka huu mwishoni.Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.
Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.
Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.
Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.
Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.
Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.
Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.
Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.
Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.
Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Ongezea na Tundu Lissu kuwapokea mabwana wake wa ACCASIA uwanja wa KIA na kukaa nao hotel kujadili namna ya kuishitaki Serikali #haikubaliki kabisa.Chadema kimepoteza sifa zote za kuwa chama pinzani.
Chadema kumpindua Slaa na kumweka Lowassa #haikubaliki
Chadema kuwapokea mafisadi(mamluki) wa sisiem #haikubaliki
Mwenyekiti wa chadema mlafi wa madaraka,ni miaka 20 sasa #ni aibu
Ushauri
Mbowe ungepumzika sasa,ubaki kuwa mshauri wa chama.
Chama ili kiwe kisafi hakiwezi kupokea wachafu kutoka chama A kuleta chama B,tena wakapewa first priority ya kugombea(si sawa),kama wanaipenda chadema na wako teyari kuitumikia,wapeni miaka mitano ya uangalizi bila kugombea nyadhifa zozote uone kama wana uvumilivu ama wamekuja kimaslai.
October sio mbali, CHADEMA haitopata mbunge hata mmoja.CDM hifi ng'oo mnajisumbua subiri uone mambo yatakavyokuwa mwaka huu mwishoni.
Wahame tuHizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.
Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.
Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.
Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.
Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.
Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.
Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.
Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.
Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.
Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Mh...Wahame tu
Chadema itaendelea kuwepo
Kila mmoja aombe corona isimmalize
mbatia aombe sana
Kwa taarifa yako CCM asili wote wapo na CHADEMA wewe subiri uone kura za MaharuniMbona watu wengi tu wenye akili na msimamo bado wanaikubali na kuiunga mkono Chadema
Alisikika mlevi mmoja akipayuka kwa sauti ya juu akiwa ndotoni!!Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.
Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.
Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.
Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.
Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.
Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.
Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.
Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.
Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.
Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
CHADEMA na CCM ni Yanga na Simba hao wengine ni Pan Afrika,Nyota nyekundu hivyo msipatetabu ngoma mbichi kabisa hiyoAlisikika mlevi mmoja akipayuka kwa sauti ya juu akiwa ndotoni!!