Mboni hata kuthikilidha redio kunapungudha nguvu dha kiume!Dokta Greyson Babishomba akiwa anafanya mahojiano na Kituo cha Redio Times Fm, amesema kuwa tabia ya kuchat usiku inapelekea figo kuharibika.
View attachment 2918386
Hii ndio point [emoji23]si kuchati ni kuchelewa kulala na kulala kwa muda mfupi ndugu
Nyau weweNa bado mpk mtanyooka...
Sukari imeshaingia kwenye mfumo
Yoyote utakayoona wewe Mkuu."B" for B as we know? ,😁
unyama kiongozYoyote utakayoona wewe Mkuu.
Hujawahi kuniqoute ila umeamua kuniqoute kwa kunitukana ww mtu mweusi...Nyau wewe
daktari wa mchongo!!Dokta Greyson Babishomba akiwa anafanya mahojiano na Kituo cha Redio Times Fm, amesema kuwa tabia ya kuchat usiku inapelekea figo kuharibika.
View attachment 2918386
Wajua kwenye vijiji vingi watu hula milo miwili tu, asubuhi huwa inapita tu wima. Huwa wanakula mchana na usiku. Hata wakati wa saumu ni milo miwili tu.Naona kila mmoja anakuja la lake, thou milo miwili naona imekaa poa sana b…
Mwanzoni wakati naanza safari ya kukata kgs nilifanya hivyo, iko effective sana.
B... Sisi waroho tukitoka Taraweh tunashtua kidogo kabla ya daku.Wajua kwenye vijiji vingi watu hula milo miwili tu, asubuhi huwa inapita tu wima. Huwa wanakula mchana na usiku. Hata wakati wa saumu ni milo miwili tu.
Ova
Duh! B... kuna watu wamejaaliwa matumbo jamani!B... Sisi waroho tukitoka Taraweh tunashtua kidogo kabla ya daku.
Nakwambia mapemaaaaa. Lols
No b…, sikia.Duh! B... kuna watu wamejaaliwa matumbo jamani!
Ova
Ramadhani kadhaa nimekuwa sio mlaji wa daku ya nguvu,memu yangu ni ftari na maji mengi ndio daku yangu.B... Sisi waroho tukitoka Taraweh tunashtua kidogo kabla ya daku.
Nakwambia mapemaaaaa. Lols
Dokta ametishaaa doh .. Nimekuja love anything for youuu💕
Figo inajuaje ni usikuDokta Greyson Babishomba akiwa anafanya mahojiano na Kituo cha Redio Times Fm, amesema kuwa tabia ya kuchat usiku inapelekea figo kuharibika.
View attachment 2918386