Dokta kikwete,dokta karume. what else?

Dokta kikwete,dokta karume. what else?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Sasa bado makamba nae kupewa udokta naona.....
 
may be... Dokta Kingunge Ngombalimwiru and Dokta Yusuf Makamba... i don't know really!
 
These degrees don't hold much meaning. After all there are people with actually degrees who do nothing with them. I think some of these "honorary' degrees are politicized.
 
may be... Dokta kingunge ngombalimwiru and dokta makamba... I don't know really!

kabisa kabisa...
Hasa ya makamba naiona itakuja soon....

Halafu kutakuja pia dokta salma kikwete ....i can see it coming....

Hii nchi bwana....
 
kabisa kabisa...
Hasa ya makamba naiona itakuja soon....

Halafu kutakuja pia dokta salma kikwete ....i can see it coming....

Hii nchi bwana....

Hehehe Doctor Edward Lowassa has a ring to it, don't you think? 🙂
 
dk khadijah kopa.

"Madakitari mmevamiwa nawashauri mtafute njia nyingine make kama udaktari unagawiwa bure kama njugu ni baraha hii bana,hata mimi nataka nifanye shotikati bila kusoma niombe.
 
nihabarisheni nani katoa u docta kwa JK na Karume?

Karume si hana hata first degree??

Mama Salma si alikuwa mwalimu wa Msingi au aliji upgrade?

Nauliza kwa nia nzuri tu kutaka kujua
 
yote aliyofanya julius nyerere aliwahi kutunukiwa hizi doctorate fake? sina kumbukumbu km aliwahi wadau nijuzeni.
 
nihabarisheni nani katoa u docta kwa JK na Karume?

Karume si hana hata first degree??

Mama Salma si alikuwa mwalimu wa Msingi au aliji upgrade?

Nauliza kwa nia nzuri tu kutaka kujua


Na kwa style hii kila kiongozi wa ccm atakua msomi tu!
 
These degrees don't hold much meaning. After all there are people with actually degrees who do nothing with them. I think some of these "honorary' degrees are politicized.

How politicized, while the very degrees are issued by Universities with due respect!

Labda tuchunguze na tukubali tu kwamba watu wanaokuwa honoured kama hivyo wanakuwa wamefanya uthubutu au abnormals ambazo zinakuwa appreciated na vyuo husika!

Tutofautishe usomi na heshima!
 
yote aliyofanya julius nyerere aliwahi kutunukiwa hizi doctorate fake? sina kumbukumbu km aliwahi wadau nijuzeni.


Ndugu,Nyerere alikua mtuwatu bwana alijua maaana ya ulaghai na alijua mambo mengi juu ya kutotafuta sifa
 
How politicized, while the very degrees are issued by Universities with due respect!

Labda tucgunguze na tukubali tu kwamba watu wanaokuwa honoured kama hivyo wanakuwa wamefanya uthubutu au abnormals ambazo zinakuwa appreciated na vyuo husika!

Tutofautishe usomi na heshima!

Yeah nakupata mkuu. JK kafanya uthubutu na abnormals nyingi ambazo chuo husika kime appreciate.
 
Jamaani leteeni mfano iliyohai ya hayo mambo JK aliyofanya as an extra mile tangua amekua rais wa nchi yetu!

Anybody can tell us about his proactiveness as an example of a good leader to be hounored and respected globally!

Tanzania wanzengu, nchi ishauzwa hii.
 
Back
Top Bottom