Dokta wa mifugo anasoma BVM (BSc in veterinary medicine) au BSc in animal science?

Dokta wa mifugo anasoma BVM (BSc in veterinary medicine) au BSc in animal science?

Wakuu naomba kuuliza
Dokta wa mifugo anachukua
BVM (BSc in veterinary medicine) Au BSc in animal science????!!! [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Zé unique named bwoy
Nakumbuka nikiwa chuo nilikua nakaa na wanafunzi wa bvm daaah kuna siku jamaa mmoja kaja room amenuna na machozi yanalenga lenga akaanza kusema naacha chuo niapply udsm laboratory science!!

Baada ya kumchunguza kiundan nikagundua jamaa alipata 6 ya mia (6%) kwenye test hahahaha wengine nao wakaja nashangaa wamenuna wote na wote wamechezea below!!

Tulichomwambia aache utoto ajikaze kiume maana hata sisi tunapata mpaka zero ila tunajikaza kiume hahahaa!!!

Jamaa alikomaa nadhan mwaka huu ndio anamaliza mwaka wa tano!!!

Kwa ushauri tu, kama unakichwa cha panzi usiguse bvm, ila kama unauhakika wa kutulia na kusoma kwa bidii BILA KUKATA TAMAA hutajuta kusoma BVM! infact kwa Tz bvm inatolewa SUA pekee na kwa EA inatolewa SUA, makerere na nairobi university kama sijakosea!!!
 
Wakuu naomba kuuliza
Dokta wa mifugo anachukua
BVM (BSc in veterinary medicine) Au BSc in animal science????!!! [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Zé unique named bwoy
BVM ni Bachelor of Veterinary Medicine na siyo BSc in Veterinary Medicine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wandugu hii data si ya kweli, ikiwa hivyo hiki chuo kingefungwa. Ni kweli BVM ina msuli kutokana na volume kubwa ya material na ufuatiliaji wa karibu wa curriculum hivyo inahitaji commitment kubwa kutoka kwa wanafunzi. Zaidi ya hapo wengi wanao ingia BVM humaliza tuseme zaidi ya 80% kwa miaka 5. Hivyo msikatishwe tamaa.
cii kweli hakuna coarse yeyote SUA wanaomaliza 80% itakuwa BVM.cha msingu hatukutishi tunakupa hali halisi ili ujue hakuna kurelax kama course kwanza pass mark yao ni tofauti na coarse zingine


Sent using Jamii Forums mobile app
 
cii kweli hakuna coarse yeyote SUA wanaomaliza 80% itakuwa BVM.cha msingu hatukutishi tunakupa hali halisi ili ujue hakuna kurelax kama course kwanza pass mark yao ni tofauti na coarse zingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unahakika na unachokisema au ni hisia tu. Nimeweka data bandiko #25. Msi ifanye BVM kuwa kitu cha ajabu sana-kwa mtu ambae yuko commited inapatikana. Nashangaa mtu anasema wanaanza 900 wanamaliza 19 anapewa like na anaesema wanamaliza sio chini ya 80% haeleweki. Lazima ieleweke kuwa kumaliza kiuhalisia unachukua wanaoingia pamoja na ni wangapi kati yao humaliza ndani ya miaka 7 (unatembea na entry cohort yako).
 
Mkuu unahakika na unachokisema au ni hisia tu. Nimeweka data bandiko #25. Msi ifanye BVM kuwa kitu cha ajabu sana-kwa mtu ambae yuko commited inapatikana. Nashangaa mtu anasema wanaanza 900 wanamaliza 19 anapewa like na anaesema wanamaliza sio chini ya 80% haeleweki. Lazima ieleweke kuwa kumaliza kiuhalisia unachukua wanaoingia pamoja na ni wangapi kati yao humaliza ndani ya miaka 7 (unatembea na entry cohort yako).
Don't take it serious mkuu, kabisa umekazana kujibu hoja ya mwana pale juu bila kujiongeza , ule ni utani tu na istoshe hakuna course ambayo inaweza kuchukua wanafunzi 900 so ulitakiwa ujue kuwa jamaa anawazingua tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unahakika na unachokisema au ni hisia tu. Nimeweka data bandiko #25. Msi ifanye BVM kuwa kitu cha ajabu sana-kwa mtu ambae yuko commited inapatikana. Nashangaa mtu anasema wanaanza 900 wanamaliza 19 anapewa like na anaesema wanamaliza sio chini ya 80% haeleweki. Lazima ieleweke kuwa kumaliza kiuhalisia unachukua wanaoingia pamoja na ni wangapi kati yao humaliza ndani ya miaka 7 (unatembea na entry cohort yako).
mkuu nimesoma SUA siwatishi ila hali halisi BVM inahitaji msuri kama ni mtu kujilusha ni kazi kuvuka, miaka yetu tumeshudia wengi wakihamia animal science na extension enzi za kina prof. wambura,kambarage,mbasa,mutayomba,mdegera
somo moja mnafundishwa na lectures watano na kwenye paper wote wanaleta maswali ya kutosha.bado hujapigwa oral test

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na vp kuhusu hyo veterinary medicine ili usome ngaz ya diplma unatakiwa uwe umepas kwa kias gan kwa o level
 
Back
Top Bottom