Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
kwani kuna Diploma ya vaterinary medicine...??!!na vp kuhusu hyo veterinary medicine ili usome ngaz ya diplma unatakiwa uwe umepas kwa kias gan kwa o level
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kuna Diploma ya vaterinary medicine...??!!na vp kuhusu hyo veterinary medicine ili usome ngaz ya diplma unatakiwa uwe umepas kwa kias gan kwa o level
Miaka 7.... mhhhMie vile nimesoma sua BVM UNARUSIWA KUSOMA MIAKA SABA NA UKAWA UNAPATA MKOPO BVM NDO SAHII KAMA UNATAKA DR WA MIFUGO ASANTE
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaitwa animal health and productionkwani kuna Diploma ya vaterinary medicine...??!!
Ok.. hii naifahamu inatolewa vyuo vya LITA's
Na SUA kuna diploma ya veterinary medicineOk.. hii naifahamu inatolewa vyuo vya LITA's
eti wakuu unaweza kusoma cbg then ukaja kuaply md kwa k2mia phy ya o level
Sawa mkuu
Ok.. hii naifahamu inatolewa vyuo vya LITA's
Bvm anasoma afya na matibabu ya wanyama wa kufugwa na waporin BVM nisawa tu na MD tofaut mwingine kwa binadam na mwingine kwa wanyama. But Anima science ana soma management na production ya mifugo tu haruhusiwi kutibu.
Uciahirishe ndg n kutishiana tuWandugu hii data si ya kweli, ikiwa hivyo hiki chuo kingefungwa. Ni kweli BVM ina msuli kutokana na volume kubwa ya material na ufuatiliaji wa karibu wa curriculum hivyo inahitaji commitment kubwa kutoka kwa wanafunzi. Zaidi ya hapo wengi wanao ingia BVM humaliza tuseme zaidi ya 80% kwa miaka 5. Hivyo msikatishwe tamaa.
Mkuu vip kuhusu market ya animal science [emoji310] [emoji310] [emoji310]bvm sua, mtaanza 900 na kumaliza 19! kwa bongo hii coz inaongoza kula vichwa.