Dokta wa simu [maswali+ ushauri]

Tripp

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2018
Posts
898
Reaction score
1,545
Nikiwa nimebobea kwenye masuala ya simu hususani software ,nakaribisha maswali kuhusu simu hasa za smartphone karibuni......
 
Mm nina simu yangu imekufa ghafla tu...nimeiweka kwny chaji usiku kuamka asbh display haifanyikazi na baadae ikazima kbs haijawaka tena
 
Nahitajia theme nyeusi yan kila app iwe na background nyeusi coz nina matatzo ya macho nahitaji mwanga hafifu. Mfano JF nimewekaga "night mode". Nisaidie.

Samsung Galaxy, J7
 
Nataka nisevu file zangu hata sim ikiharibika zirudi maana inamtindo wa kujiflash. nifanyeje? Nielekeze hatua kwa hatua.
HUAWEI
 
Simu yangu haitak kufuta meseji za michepuko wangu zingine inafuta
 
how to block a single individual's number, yani akipiga akute sipatikani sio niko busy
 
Simu yangu nikipigiwa kwao inaita kidogo then inawaambia nipo busy,tatzo in nn
Nikiwa nimebobea kwenye masuala ya simu hususani software ,nakaribisha maswali kuhusu simu hasa za smartphone karibuni......
 
Mm nina simu yangu imekufa ghafla tu...nimeiweka kwny chaji usiku kuamka asbh display haifanyikazi na baadae ikazima kbs haijawaka tena
Aina gani ya simu
 
Nahitajia theme nyeusi yan kila app iwe na background nyeusi coz nina matatzo ya macho nahitaji mwanga hafifu. Mfano JF nimewekaga "night mode". Nisaidie.

Samsung Galaxy, J7
Sawa utanipa namba nikutumie themes
 
Nataka nisevu file zangu hata sim ikiharibika zirudi maana inamtindo wa kujiflash. nifanyeje? Nielekeze hatua kwa hatua.
HUAWEI
Download GOOGLE DRIVE NA DROPBOX
 
how to block a single individual's number, yani akipiga akute sipatikani sio niko busy
Kuna app ya kudownload na kuna uwezekano wa kui divert namba isiyokuw hewani
 
naomba nisaidie jina la hiyo app mkuu,
Mr.Number ukisha install utaifungua na utaanza kuona option nyingi we tafuta block then weka namba ya mtu wako tia ok ... Ukiweza nifahamishe ikishindikana niambie nikutumie video
 
Nina simu yangu imekataa kuwaka kabisa baada ya kutoa betri bila ya kuizima. ila ukichomeka kwenye chaji inatoa ka mlio ila haiwaki kabisa. tatizo nini?

HUAWEI
 
Nina simu yangu imekataa kuwaka kabisa baada ya kutoa betri bila ya kuizima. ila ukichomeka kwenye chaji inatoa ka mlio ila haiwaki kabisa. tatizo nini?

HUAWEI
Ni simu gani mkuu
 
Mkuu nina tumia I phone tatizo picha zote nili futa wakati na frash simu je naweza kuzipata hizo picha siku ziweka kwenye I cloud???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…