Dola (Dollars)yaadimika tena mtaani, Ukienda Benki hata Mia hupati

Dola (Dollars)yaadimika tena mtaani, Ukienda Benki hata Mia hupati

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
Habari wanaJf,

Kumekuwa na upungufu wa Dola ya Kimarekani baada ya kutengamaa kwa kipindi kisichozidi miezi minne, kwasasa inapanda kwa kasi na imekuwa adimu ghafla na bila kuwa na Akaunti ya Dollar, baadhi ya Benki huwezi kupata.

Wafanyabiashara wanaoagiza mizigo toka nje ya nchi wanahaha kutafuta Dollars kwenye Black market,huku wakitegemea wageni kama WaCongo, Malawi na wazambia pamoja na watu walio kwenye industry ya utalii.

Serikali kupitia wizara ya Fedha toeni tamko ni nini kimetokea kwasababu wale wanaotegemea kuagiza mizigo nje ya nchi wanapata changamoto kubwa wakati huu.

Soma: Dollar inaanza kupanda thamani dhidi ya Shilingi
 
Njia za panya huku dola 1 kiwango cha chini ni 2,727
Screenshot_20250123-183839_Binance.jpg
 
Habari wanaJf,

Kumekuwa na upungufu wa Dola ya Kimarekani baada ya kutengamaa kwa kipindi kisichozidi miezi minne, kwasasa inapanda kwa kasi na imekuwa adimu ghafla na bila kuwa na Akaunti ya Dollar, baadhi ya Benki huwezi kupata.

Wafanyabiashara wanaoagiza mizigo toka nje ya nchi wanahaha kutafuta Dollars kwenye Black market,huku wakitegemea wageni kama WaCongo, Malawi na wazambia pamoja na watu walio kwenye industry ya utalii.

Serikali kupitia wizara ya Fedha toeni tamko ni nini kimetokea kwasababu wale wanaotegemea kuagiza mizigo nje ya nchi wanapata changamoto kubwa wakati huu.
Ngoja nipite tu
 
Habari wanaJf,

Kumekuwa na upungufu wa Dola ya Kimarekani baada ya kutengamaa kwa kipindi kisichozidi miezi minne, kwasasa inapanda kwa kasi na imekuwa adimu ghafla na bila kuwa na Akaunti ya Dollar, baadhi ya Benki huwezi kupata.

Wafanyabiashara wanaoagiza mizigo toka nje ya nchi wanahaha kutafuta Dollars kwenye Black market,huku wakitegemea wageni kama WaCongo, Malawi na wazambia pamoja na watu walio kwenye industry ya utalii.

Serikali kupitia wizara ya Fedha toeni tamko ni nini kimetokea kwasababu wale wanaotegemea kuagiza mizigo nje ya nchi wanapata changamoto kubwa wakati huu.

Soma: Dollar inaanza kupanda thamani dhidi ya Shilingi
 

Attachments

  • 5937980-bcb9919fca12dd1585f2d0437c369488.mov
    8.5 MB
  • 5937980-bcb9919fca12dd1585f2d0437c369488.mov
    8.5 MB
Niliwaambia humu kuwa hali itajirudia tena
Sasa wa nje tunacheka tu tukituma wakichenji wanaondoka na rundo la Sh
 
Yupo wapi mchumi first klass aliyesign noti majuzi na kwenye mawe nchi nzima? Aturudishe tulipopanda ghafla
 
Habari wanaJf,

Kumekuwa na upungufu wa Dola ya Kimarekani baada ya kutengamaa kwa kipindi kisichozidi miezi minne, kwasasa inapanda kwa kasi na imekuwa adimu ghafla na bila kuwa na Akaunti ya Dollar, baadhi ya Benki huwezi kupata.

Wafanyabiashara wanaoagiza mizigo toka nje ya nchi wanahaha kutafuta Dollars kwenye Black market,huku wakitegemea wageni kama WaCongo, Malawi na wazambia pamoja na watu walio kwenye industry ya utalii.

Serikali kupitia wizara ya Fedha toeni tamko ni nini kimetokea kwasababu wale wanaotegemea kuagiza mizigo nje ya nchi wanapata changamoto kubwa wakati huu.

Soma: Dollar inaanza kupanda thamani dhidi ya Shilingi
Mkuu hapo Dar kwenye maduka ya kubadlisha Rate inasomekaje
 
Back
Top Bottom