Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
State, Empire inategemea unalenga nini.Hili neno huwa nasikia linatamkwa tu ila sijawahi kuelewa maana yake kwa Kiswahili au Kingereza,
Dola ya Kirumi
Dola ya Kimarekani
Vyombo vya dola
Kushika dola
Kingereza cha "dola" ni nini?
View attachment 3092939
Huyo naye ni UVCCM?Umri wake?Hili neno huwa nasikia linatamkwa tu ila sijawahi kuelewa maana yake kwa Kiswahili au Kingereza,
Dola ya Kirumi
Dola ya Kimarekani
Vyombo vya dola
Kushika dola
Kingereza cha "dola" ni nini?
View attachment 3092939
Vipi wanaoitwa "vyombo vya dola"?Ina maanisha nini?Kushika dola - (Madaraka)
Maana yake ApparatusVipi wanaoitwa "vyombo vya dola"?Ina maanisha nini?
State apparatus (Polisi, JW, Magereza, Mahakama).Vipi wanaoitwa "vyombo vya dola"?Ina maanisha nini?
Kama spatula,test-tube na bansen burner?🤣🤣🤣🤣🙏Maana yake Apparatus
Kama spatula,test-tube na bansen burner?🤣🤣🤣🤣🙏
Ccm ni chama kilichoshika dolaUsahihi ni tuko chini ya dola ya CCM au dola ya Tanzania?
mbona iko wazi... Vyombo vinavyoilinda mamlaka! Mfano usicheze na dola, usiandamane utapigwa uchakae! Ndio msemo wanaotumia wale jamaa wenye dola yao kukutisha... Ila hawakutishi ndio ukweli wenyeweVipi wanaoitwa "vyombo vya dola"?Ina maanisha nini?
Kuna jamaa mbishi huyo.Ananiambia kuna dola:serikali tendaji,bunge na mahakama.Halafu akapiga funda la mbege na kuendelea;vyombo vya dola ni polisi,magereza,uhamiaji,teeth,makhirikhiri,dikakapa na the unknowns ...!Nikabaki natabasamu kispoti tu.🤔State apparatus (Polisi, JW, Magereza, Mahakama).
Yaani taasisi inayoweza kutumia nguvu zake kulinda masilahi ya Serikali