Dola zimeadimika kwasababu wageni wanavuna fedha za miradi kuliko wazawa


Zimeanza kuapatikana?
 
Hapo Sumbawanga ujenzi wa Mradi wa Tactic km 12 kapewa Mchina wakati Sumry anaweza.

Mbeya Jiji km 15 kapewa Mchina wakati Wazawa wapo .

Huu upumbavu ukome mara Moja.
Mkuu umeandika sahii kabisa. Tusipoji empower wenyewe hakuna wa kutunyanyua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…