Dola zimeadimika kwasababu wageni wanavuna fedha za miradi kuliko wazawa

Dola zimeadimika kwasababu wageni wanavuna fedha za miradi kuliko wazawa

Msoma umbeya utamjua tu. Jifunze kutengeneza pesa online kuliko kuhangaika na kusoma umbeya kwenye mitandao ya kijamii na kubishana na watu ovyo.
Hujui hata nini maana ya Paypal wala mifumo ya kupokea pesa kutoka nje ilivyo
Mimi nakwambia hivi, umbeya siachi, ila acha uwongo, bora uwe mbea, sio Muongo, Ukiwa Muongo unakua unaonekana much know, we don't deal with fukn liars bro, mbea ni cool, siio Muongo. Ww. Hela gani una make online useme dollar imepotea what do you do?
 
Mimi nakwambia hivi, umbeya siachi, ila acha uwongo, bora uwe mbea, sio Muongo, Ukiwa Muongo unakua unaonekana much know, we don't deal with fukn liars bro, mbea ni cool, siio Muongo. Ww. Hela gani una make online useme dollar imepotea what do you do?
Endelea kusoma umbeya na kujibu umbeya mitandaoni. Unakitu gani cha kulipia au kuuza mtandaoni ulipwe kwa dollars? Unashindwa hata na Mange kimambi, mbeya mwenzako anayepiga pesa online😁😁😁😁😁😁😁
Wambeya wanakawaida ya kujibu bila kuelewa comment ya mtu na yeye aonekane.Hongera!
Mtu mwenyewe hajui nini maana ya paypal na yeye anavimba mtandaoni😁😁😁😁😁
 
Endelea kusoma umbeya na kujibu umbeya mitandaoni.
Wambeya wanakawaida ya kujibu bila kuelewa comment ya mtu na yeye aonekane.Hongera!
Mtu mwenyewe hajui nini maana ya paypal na yeye anavimba mtandaoni😁😁😁😁😁
😂😂😂😂Nkitaka kujua PayPal si nagoogle tu. Acha uwongo
 
Kila siku tunalia kuhusu kuadikika Kwa Dola licha ya juhudi za kukuza Uchumi lakini hakuna ambae anajadili jambo Hilo Kwa kuangalia sababu za msingi.

Mojawapo ya vitu vinavyosababisha kuadikika Kwa Dola Nchini no hizo hapa 👇

1. Kuwapa kazi za Ujenzi wakandarasi wa kigeni badala ya wazawa Kwa visingizio vya hawana uwezo na uzoefu(wageni hulipwa Kwa Dola)

2. Kuagiza bidhaa nyingi ambazo tunaweza Kuzalisha wenyewe ndani ya mwaka eg maziwa,ngano,Mafuta ya kula, sabuni, vyakula vya mifugo, mbegu nk

3. Kukwamisha uwekezaji kutoka Nje kutokana na mitizamo ya siasa za ujamaa(kusema Nchi imeuzwa Kwa Waarabu,kuwa na sera ambazo hazitabiriki,Urasimu wa Kiserikali na Rushwa) eg miradi ya Lindi LNG na Liganga imekwama kutokana na siasa uchwara.

---
WAGENI WAVUNA FEDHA ZA MIRADI KULIKO WAZAWA

SERIKALI imesema asilimia kubwa ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inawanufaisha wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema bungeni Dodoma kuwa sababu kubwa inayochangia hali hiyo ni uwezo mdogo wa makandarasi wa ndani wa kifedha, mitambo na wataalamu hivyo inakuwa vigumu kwao kushindana kwenye zabuni za kazi na makandarasi kutoka nje hasa kampuni za Kichina.

Bashungwa amesema hayo akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25 bungeni Dodoma jana. Alisema kwa mujibu wa takwimu za Bodi ya Usajili wa Makandarasi, kati ya miradi 36,839, wazawa walitekeleza miradi 35,351 sawa na asilimia 95.9 ya miradi hiyo.

Hata hivyo, Bashungwa amesema miradi iliyotekelezwa na wazawa ni midogomidogo yenye thamani ya Sh trilioni 23.749, sawa na asilimia 38.5 ya thamani ya miradi yote iliyosajiliwa na kutekelezwa katika kipindi hicho ambayo ni Sh trilioni 61.638.

“Hivyo, makandarasi wa nje ambao ni takribani asilimia 4.1 walitekeleza miradi michache yenye thamani kubwa (asilimia 61.5 ya thamani ya miradi yote),” amesema Bashungwa.

Kwa mujibu wake, kuna kampuni 14,800 za ndani za makandarasi, za ushauri wa wahandisi ni 252 na kampuni za wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi ni 461.

Chanzo: Habari Leo

My Take
Naunga mkono wazo la Bashungwa kuanza kuwaamini Wakandarasi Wazawa.Sheria hii isiishie Wizara ya Ujenzi pekee Bali Taasisi zote.Tanzania sio Mali ya Wachina pekee.
Dogo ni Kuna ukweli lakini binajichanga kwenye hoja zako

Tunaposema uwekezaji mbovu ni pamoja na dp word je kazi inayoweza kufanya na wazawa (tics) kwa Nini umlete mgeni achote mihela apeleleke kwao

.Dogo tatizo bado ni lile lile labda kama na u na wewe umeridhika kwa kuwa tunajengewa misikiti

Nilimsikia mh mbowe anasema secta ya ujenzi Toka mwaka2014 serikali imelipwa foreign companies tril.4 na local companies bil 600 tu

Ccm wenzio wanasema wazawa hawatoi 10% lakini utataratibu huu unaua uchumi
 
😁😁😁😁😁😁
Nilifikiri unatumia paypal kumbe mpk u-google.
Mimi nafanya making money online, najua ugumu wake.
Wewe muongo, mimi nafanya making money online nddio nini, hata paypal hujui wewe. Muongo. Hujawahi tumia, ukiitumia sana uliregistet utake kutumia ila hujawahi. Urrroooongo huo. Usitupange hapa.
 
Mwenyeji Kushindwa ndio mdudu gani? Huo ujinga Serikali ya mama inaenda kuukomesha
mdudu gani vipi? Niliwahi kuwa kwenye mradi tukatangaza tenda ya consultancy moja (siyo mambo ya ujenzi), basi walijaza watz fulani na wazungu Canadians. Tulitaka kuwapa favour ya dhahiri wale watz wenzetu lakini ilishindikana kabisa maana walijaza ovyo ovyo hizo forms na ilibidi tuwaachie hao wazungu. Kwa kweli roho iliuma lakini forms zikishaingia kwenye system ndiyo basi tena.

Hakuna cha ujinga most of them hawako careful, au hawana fedha za kutosha kusupport ile bid.
 
Hapo Sumbawanga ujenzi wa Mradi wa Tactic km 12 kapewa Mchina wakati Sumry anaweza.

Mbeya Jiji km 15 kapewa Mchina wakati Wazawa wapo .

Huu upumbavu ukome mara Moja.
Magufuli alikuwa anawaamini sana wazawa!

Wachina walikuwa wanapewa mamiradi makubwa pekee!
.huyu bibi hamna kitu.
 
Magufuli alikuwa anawaamini sana wazawa!

Wachina walikuwa wanapewa mamiradi makubwa pekee!
.huyu bibi hamna kitu.
Hao wazawa aliowaamini Magufuli walikuwa wanapewa kazi zipi?

Umekurupuka.Kawaulize Wakandarasi kati ya huyo unaita Bibi na Magufuli nani amewasaidia watakupa majibu.
 
mdudu gani vipi? Niliwahi kuwa kwenye mradi tukatangaza tenda ya consultancy moja (siyo mambo ya ujenzi), basi walijaza watz fulani na wazungu Canadians. Tulitaka kuwapa favour ya dhahiri wale watz wenzetu lakini ilishindikana kabisa maana walijaza ovyo ovyo hizo forms na ilibidi tuwaachie hao wazungu. Kwa kweli roho iliuma lakini forms zikishaingia kwenye system ndiyo basi tena.

Hakuna cha ujinga most of them hawako careful, au hawana fedha za kutosha kusupport ile bid.
Kwa Sasa imewekwa kwenye sheria ya manunuzi so ni lazima sio option tena 👇👇

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1809105269336473793?t=V-Zo2_7Ye2EB2ZQVpd19PA&s=19
 
Kila siku tunalia kuhusu kuadikika Kwa Dola licha ya juhudi za kukuza Uchumi lakini hakuna ambae anajadili jambo Hilo Kwa kuangalia sababu za msingi.

Mojawapo ya vitu vinavyosababisha kuadikika Kwa Dola Nchini no hizo hapa 👇

1. Kuwapa kazi za Ujenzi wakandarasi wa kigeni badala ya wazawa Kwa visingizio vya hawana uwezo na uzoefu(wageni hulipwa Kwa Dola)

2. Kuagiza bidhaa nyingi ambazo tunaweza Kuzalisha wenyewe ndani ya mwaka eg maziwa,ngano,Mafuta ya kula, sabuni, vyakula vya mifugo, mbegu nk

3. Kukwamisha uwekezaji kutoka Nje kutokana na mitizamo ya siasa za ujamaa(kusema Nchi imeuzwa Kwa Waarabu,kuwa na sera ambazo hazitabiriki,Urasimu wa Kiserikali na Rushwa) eg miradi ya Lindi LNG na Liganga imekwama kutokana na siasa uchwara.

---
WAGENI WAVUNA FEDHA ZA MIRADI KULIKO WAZAWA

SERIKALI imesema asilimia kubwa ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inawanufaisha wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema bungeni Dodoma kuwa sababu kubwa inayochangia hali hiyo ni uwezo mdogo wa makandarasi wa ndani wa kifedha, mitambo na wataalamu hivyo inakuwa vigumu kwao kushindana kwenye zabuni za kazi na makandarasi kutoka nje hasa kampuni za Kichina.

Bashungwa amesema hayo akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25 bungeni Dodoma jana. Alisema kwa mujibu wa takwimu za Bodi ya Usajili wa Makandarasi, kati ya miradi 36,839, wazawa walitekeleza miradi 35,351 sawa na asilimia 95.9 ya miradi hiyo.

Hata hivyo, Bashungwa amesema miradi iliyotekelezwa na wazawa ni midogomidogo yenye thamani ya Sh trilioni 23.749, sawa na asilimia 38.5 ya thamani ya miradi yote iliyosajiliwa na kutekelezwa katika kipindi hicho ambayo ni Sh trilioni 61.638.

“Hivyo, makandarasi wa nje ambao ni takribani asilimia 4.1 walitekeleza miradi michache yenye thamani kubwa (asilimia 61.5 ya thamani ya miradi yote),” amesema Bashungwa.

Kwa mujibu wake, kuna kampuni 14,800 za ndani za makandarasi, za ushauri wa wahandisi ni 252 na kampuni za wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi ni 461.

Chanzo: Habari Leo

My Take
Naunga mkono wazo la Bashungwa kuanza kuwaamini Wakandarasi Wazawa.Sheria hii isiishie Wizara ya Ujenzi pekee Bali Taasisi zote.Tanzania sio Mali ya Wachina pekee.

Safi sana,utekelezwaji umeanza.

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1809105269336473793?t=V-Zo2_7Ye2EB2ZQVpd19PA&s=19

Hata hao wawekezaji wakiruhusiwa kwa wingi huoni itakua yale yale wanufaika ni wao!?
Maana katika miradi watayoanzisha wao watachukua asilimia kubwa kuliko taifa.
Uliona wapi taifa linaendelea kupitia wawekezaji wa nje kwa wingi!??
Nitajie hata taifa moja.

We ongea tu kumsifia huyo mama,ila sera zake mbovu ndio zimefikisha nchi hapa.
 
Hao wazawa aliowaamini Magufuli walikuwa wanapewa kazi zipi?

Umekurupuka.Kawaulize Wakandarasi kati ya huyo unaita Bibi na Magufuli nani amewasaidia watakupa majibu.
Magufuli ali balance acha ubishi.
Katika miradi mikubwa alihakikisha wazawa wengi wanajumuishwa katika huo mradi mgeni anakua msimamizi tu.
Refer uboreshaji wa MGR ya TRC kutoka jointed kuwa joint welded,asilimia 90 ya wafanyakazi walikua wazawa wachina walikua wanne tu kama wasimamizi.
Tofauti na miaka ya nyuma ilikua Mchina akija anakuja na wafanyakazi wake,hiyo MAGUFULI ALIKATAA.
 
Elewa mada yangu, balance of trade utaipata Kwa kuagiza bidhaa amabzo uanaeza uzalishaji mwenyewe? Hujaona orodha ya bidhaa nilizotaja hapo Juu?

Tanzania Hatuwezi uzalishaji Mafuta ya kula au maziwa fresh?
Sasa yeye kaongea nini na wewe unaongea nini mkuu!?
Si yale yale?
 
Nipo na mchina mmoja apa (mkandarasi)ni chapombe na sigara ni kwanzia morning!.

Tafuta hoja mr.
Hao jamaa hata wakiwa walevi vipi ila ni watu wa kukumbuka majukumu yao.
Hao jamaa wawajibikaji sana.
 
Hata hao wawekezaji wakiruhusiwa kwa wingi huoni itakua yale yale wanufaika ni wao!?
Maana katika miradi watayoanzisha wao watachukua asilimia kubwa kuliko taifa.
Uliona wapi taifa linaendelea kupitia wawekezaji wa nje kwa wingi!??
Nitajie hata taifa moja.

We ongea tu kumsifia huyo mama,ila sera zake mbovu ndio zimefikisha nchi hapa.
Hapo ndio umeandika nini?
 
Back
Top Bottom