Dola zimeadimika kwasababu wageni wanavuna fedha za miradi kuliko wazawa

Dola zimeadimika kwasababu wageni wanavuna fedha za miradi kuliko wazawa

Magufuli ali balance acha ubishi.
Katika miradi mikubwa alihakikisha wazawa wengi wanajumuishwa katika huo mradi mgeni anakua msimamizi tu.
Refer uboreshaji wa MGR ya TRC kutoka jointed kuwa joint welded,asilimia 90 ya wafanyakazi walikua wazawa wachina walikua wanne tu kama wasimamizi.
Tofauti na miaka ya nyuma ilikua Mchina akija anakuja na wafanyakazi wake,hiyo MAGUFULI ALIKATAA.
Acha ujinga,hoja ni tenda kushikwa na wazawa na hao wageni kuwa subcontractor.

Kwa sheria Mpya ya manunuzi hakuna consulting firm itakuwa leading buli consultancy zote watashika wazawa na hao ndio wataajiri wageni.
 
Acha ujinga,hoja ni tenda kushikwa na wazawa na hao wageni kuwa subcontractor.

Kwa sheria Mpya ya manunuzi hakuna consulting firm itakuwa leading buli consultancy zote watashika wazawa na hao ndio wataajiri wageni.
Hilo hata mimi sishauri.
Alichofanya Magufuli ndicho ninachoshauri kwasababu,asilimia80 ya wazawa ni incompetent.
Kazi zao wanafanya kwa ufanisi wa chini sana,tunahitaji watu wa kuwaingiza kitu kichwani wawe competent.
Kama lile suala la reli wale wachina waliajiriwa kama walimu hawakuwepo mpaka mwisho wa mradi.
Wiki ya kwanza ya pili waliondoka kazi ikifanywa na wazawa mpaka kukamilika.
Una competence ipi wewe mbongo uwe ni mkuu wa mradi halafu mgeni awe mkandarasi chini yako!?
Embu kubwa serious.
Vigae tu barabarani mnaweka hovyo.
Ramani tu kuchora mtihani.
 
Kuna mambo unajiuliza hata jibu hupati hivi kama mwendo kasi imetushinda na kuna chuo cha usafirishaji kina kazi gani sasa si wakifunge tu.Tuna mainjinia kibao.. eti boti la kingamboni inapelekwa kenya kurekebishwa sisi hao mainjinia walisoma kwa ajiri ya nn.Tuna wasomi kibao lakini tatizo ni nn kilimo chali chuo cha SUA kipo.Tunaagiza mpaka uzi wa kushonea nguo na sindano🥵Juzi urafiki imeuzwa wanajenga makazi wakati huku tunatumia billions of money kuagiza vitenge?!!!.

Wakati mwingine unaona elim yetu bado haijatusaidia.Maana nikiangalia vitu vingi navyo tumia ndani kwangu ni impoted goods aslilimia 90.Kuna haja ya kufanya mdahalo wa kitaifa tuone ni wapi tunakwama haiwezekani miradi mikubwa yote ifanywe na wageni harafu na sisi tuna vyuo🥲 Na maswali mengi naweza jaza page ef tatu😎.
 
Hilo hata mimi sishauri.
Alichofanya Magufuli ndicho ninachoshauri kwasababu,asilimia80 ya wazawa ni incompetent.
Kazi zao wanafanya kwa ufanisi wa chini sana,tunahitaji watu wa kuwaingiza kitu kichwani wawe competent.
Kama lile suala la reli wale wachina waliajiriwa kama walimu hawakuwepo mpaka mwisho wa mradi.
Wiki ya kwanza ya pili waliondoka kazi ikifanywa na wazawa mpaka kukamilika.
Una competence ipi wewe mbongo uwe ni mkuu wa mradi halafu mgeni awe mkandarasi chini yako!?
Embu kubwa serious.
Vigae tu barabarani mnaweka hovyo.
Ramani tu kuchora mtihani.
Sio incompetent,hawana mtaji na ndio maana Serikali imeamua sio tuu kuongeza margin ya kazi Bali imepunguza au kufuta masharti mengi ikiwemo kuweka bonds kubwa kwao na on top of that Serikali is working on Samia infrastructure Bond Kwa Ajili ya kuwawezesha wakandarasi wa ndani kupata pesa.
 
Sio incompetent,hawana mtaji na ndio maana Serikali imeamua sio tuu kuongeza margin ya kazi Bali imepunguza au kufuta masharti mengi ikiwemo kuweka bonds kubwa kwao na on top of that Serikali is working on Samia infrastructure Bond Kwa Ajili ya kuwawezesha wakandarasi wa ndani kupata pesa.
Incompetent mazeeh.
Uliona road waliojenga kwa Azizi Ally Temeke kwenda sokota!?
Kiasi ilitandikwa mkeka upya.
Wakandarasi wetu wamejaa theory practical sifuri.
Wanafaa kuongezwa ujuzi practically kabla hawajapewa kandarasi yeyote.
Huko Kigamboni aibu hizo barabara wanazotengeneza,road inaundwa Leo wiki mbili zijazo inamumunyuka.
 
Incompetent mazeeh.
Uliona road waliojenga kwa Azizi Ally Temeke kwenda sokota!?
Kiasi ilitandikwa mkeka upya.
Wakandarasi wetu wamejaa theory practical sifuri.
Wanafaa kuongezwa ujuzi practically kabla hawajapewa kandarasi yeyote.
Huko Kigamboni aibu hizo barabara wanazotengeneza,road inaundwa Leo wiki mbili zijazo inamumunyuka.
Incompetent ya mmja inakuaje ya wote? Mbona Mimi naziona nyingi na tunafanya nao kazi?

Harafu incompetence sio lazima ikawa ya Mkandarasi hata wasimamii au employer,hulipi unategemea nini?

Sasa ni hivi , Serikali imeamua kuwaaminisha na kuwapa kazi.

Wewe mambo ya Uhandisi hao Wachina sijui nani wote hutumia wataalamu Wetu Kwa kuwaajiri Sasa tunataka kinyume chake, kampuni zetu ndio ziajiri wageni pale tuu inapobidi.

Hutokaa uone tena mradi wa Bilioni 50 kushuka chini akipewa Mchina hapa Tanznaia kuanzia mwaka wa Fedha huu wa 2024/25 na mazuri mengi yanakuja.
 
Incompetent ya mmja inakuaje ya wote? Mbona Mimi naziona nyingi na tunafanya nao kazi?

Harafu incompetence sio lazima ikawa ya Mkandarasi hata wasimamii au employer,hulipi unategemea nini?

Sasa ni hivi , Serikali imeamua kuwaaminisha na kuwapa kazi.

Wewe mambo ya Uhandisi hao Wachina sijui nani wote hutumia wataalamu Wetu Kwa kuwaajiri Sasa tunataka kinyume chake, kampuni zetu ndio ziajiri wageni pale tuu inapobidi.

Hutokaa uone tena mradi wa Bilioni 50 kushuka chini akipewa Mchina hapa Tanznaia kuanzia mwaka wa Fedha huu wa 2024/25 na mazuri mengi yanakuja.
Unapanick nini chama wa mama!?
Mie nimetoa wazo,kheiri wajazwe ujuzi hao wakandarasi kabla ya kupewa kandarasi.
That's all.
Ndio maana bwana MAGUFULI is MAGUFULI.
Kupata kichwa kama kile sijui lini tena.
Aya wapeni moja kwa moja watujengee vituko barabara wiki mbili zinapukutika.
 
Kuna mambo unajiuliza hata jibu hupati hivi kama mwendo kasi imetushinda na kuna chuo cha usafirishaji kina kazi gani sasa si wakifunge tu.Tuna mainjinia kibao.. eti boti la kingamboni inapelekwa kenya kurekebishwa sisi hao mainjinia walisoma kwa ajiri ya nn.Tuna wasomi kibao lakini tatizo ni nn kilimo chali chuo cha SUA kipo.Tunaagiza mpaka uzi wa kushonea nguo na sindano🥵Juzi urafiki imeuzwa wanajenga makazi wakati huku tunatumia billions of money kuagiza vitenge?!!!.

Wakati mwingine unaona elim yetu bado haijatusaidia.Maana nikiangalia vitu vingi navyo tumia ndani kwangu ni impoted goods aslilimia 90.Kuna haja ya kufanya mdahalo wa kitaifa tuone ni wapi tunakwama haiwezekani miradi mikubwa yote ifanywe na wageni harafu na sisi tuna vyuo🥲 Na maswali mengi naweza jaza page ef tatu😎.
Mama anaupiga mwingi.
 
Unapanick nini chama wa mama!?
Mie nimetoa wazo,kheiri wajazwe ujuzi hao wakandarasi kabla ya kupewa kandarasi.
That's all.
Ndio maana bwana MAGUFULI is MAGUFULI.
Kupata kichwa kama kile sijui lini tena.
Aya wapeni moja kwa moja watujengee vituko barabara wiki mbili zinapukutika.
Mambo ya Uhandisi huyajui,subiria kuona matokeo site
 
Mambo ya Uhandisi huyajui,subiria kuona matokeo site
Bwana wewe Mie sio mtoto.
Kipande cha barabara cha Kigamboni Kisiwani kuelekea Kibada daily kinapukuchuka na kujengwa,utaniambia hapo kuna wahandisi/wakandarasi!?
Am not a child Buddah.
 
Sio incompetent,hawana mtaji na ndio maana Serikali imeamua sio tuu kuongeza margin ya kazi Bali imepunguza au kufuta masharti mengi ikiwemo kuweka bonds kubwa kwao na on top of that Serikali is working on Samia infrastructure Bond Kwa Ajili ya kuwawezesha wakandarasi wa ndani kupata pesa.

Ndugu ulitaka wakandarasi wazawa wapewe kazi ya kujenga bwawa la umeme la trilioni 7 ?

kuna kazi zingine tukubali tu wazawa hatuziwezi
 
Ndugu ulitaka wakandarasi wazawa wapewe kazi ya kujenga bwawa la umeme la trilioni 7 ?

kuna kazi zingine tukubali tu wazawa hatuziwezi
Ndio ,unawapa na wanaajiri contractor mkubwa ,pesa inapitia Kwa wa kwetu na ndio wanawalipa hao wengine.

Kwani Arab contractor ndio anajenga? Si kaajiri Mchina hapo au?

Mwisho elewa mada kabla ya kukurupuka.
 
Ndio ,unawapa na wanaajiri contractor mkubwa ,pesa inapitia Kwa wa kwetu na ndio wanawalipa hao wengine.

Kwani Arab contractor ndio anajenga? Si kaajiri Mchina hapo au?

Mwisho elewa mada kabla ya kukurupuka.

unaleta udalali, kwenye mambo serious ?

hao wazawa wamewai kujenga wapi ili tuone uwezo wao . ama ndio unawapa wafanye udalali

yaani umpe mtu kazi kwa ajiri ya kuajiri mjengaji mwingine, why wewe mwenyewe usiajiri huyo mjengaji mwingine ?
 
unaleta udalali, kwenye mambo serious ?

hao wazawa wamewai kujenga wapi ili tuone uwezo wao . ama ndio unawapa wafanye udalali
Kwani Arab contractor ni Mjenzi au Dalali? Udalali sio haramu.
 
Kwani Arab contractor ni Mjenzi au Dalali? Udalali sio haramu.
yeye ni mjenzi. na amepewa kazi kwa kushinda tenda sababu ana portofolio kubwa na balance sheet kubwa. projects kubwa nyingi sana duniani kampuni ya Arab contractor imezifanya na ku deliver kwa ubora wa juu. Magufuli na serikali sio wajinga kuwapa tenda

kwenye bwawa la umeme rufiji sub contractor wapo kutoka dunia nzima. sio wachina tu, kuna wa brazil, wajapan, wa Australia kila mtu kapewa jukumu lake dogo.

ila mjenzi mkuu ni arab contractor
 
MPAKA LEO ANATAJWA JPM.kweli alitutumikia wananchi.
 
Back
Top Bottom