Jamesdominic
JF-Expert Member
- Nov 26, 2022
- 549
- 732
Shida vikazi vya miamia ndo mnawapa wazawa kazi za mabilion mnawapa wachina unawaza nini wewe mwaga pesa.kama ulikua hujui nikwambie tu kuwa hao wakandarasi wa bongo ni tia maji sana, wengi wao ni wezi na hawako punctual kwenye kazi zao, uvivu [kazi ya mwezi itakamilika ndani ya mwaka kwa visingizio vingi sana] - talking from experience.
ukiwaweka Chapombe wa kibongo vs Wakichina pamoja nani atakua na uafadhali? Nmefanya nao kazi nawajua af wabongo wengi hatujanyooka iyo ipo waziNipo na mchina mmoja apa (mkandarasi)ni chapombe na sigara ni kwanzia morning!.
Tafuta hoja mr.
Mpaka utoe ten percent..ujinga mtupuNjia 8 amejenga Mchina? Kwanza hamuwalipi mnawakopa unadhani watakua vipi? Zipo kampuni kibao za ndani Zenye uwezo ila hazipewi kazi.
Ile njia 8 ina muda gani mpaka leo haijakamilika?Njia 8 amejenga Mchina? Kwanza hamuwalipi mnawakopa unadhani watakua vipi? Zipo kampuni kibao za ndani Zenye uwezo ila hazipewi kazi.
Kuna ma IT wengi Tanzania ambao wanaweza kutengeneza software na kuuza duniani kote ila shida ni upokeaji wa fedha.Sababu kubwa ni kwamba there's 'No Balance of Trade.'
Bidhaa nyingi sana kama siyo bidhaa karibia zote tunaagiza kutoka nje ya nchi hii, wakati huo huo sisi hatuna bidhaa yoyote ile ya maana ambayo tunauza nje ya nchi hii.
Makandarasi wa kibongo hawana exposure, dili nyingi wanapewa na mzee kaishia darasa la saba unategemea nini apo au na ilo pia hujui?Shida vikazi vya miamia ndo mnawapa wazawa kazi za mabilion mnawapa wachina unawaza nini wewe mwaga pesa.
MuongoKuna ma IT wengi Tanzania ambao wanaweza kutengeneza software na kuuza duniani kote ila shida ni upokeaji wa fedha.
Tanzania ni jehanamu, unanunua software kwa paypal ila huwezi kupokea pesa kutoka paypalππππ. Ukiangalia viongozi wanakula rushwa, wanafanya ufisadi wa kila namna ila wanaogopa paypal.
Tuhamie BRICSKila siku tunalia kuhusu kuadikika Kwa Dola licha ya juhudi za kukuza Uchumi lakini hakuna ambae anajadili jambo Hilo Kwa kuangalia sababu za msingi.
Mojawapo ya vitu vinavyosababisha kuadikika Kwa Dola Nchini no hizo hapa π
1. Kuwapa kazi za Ujenzi wakandarasi wa kigeni badala ya wazawa Kwa visingizio vya hawana uwezo na uzoefu(wageni hulipwa Kwa Dola)
2. Kuagiza bidhaa nyingi ambazo tunaweza Kuzalisha wenyewe ndani ya mwaka eg maziwa,ngano,Mafuta ya kula,sabuni,vyakula vya mifugo,mbegu nk
3. Kukwamisha uwekezaji kutoka Nje kutokana na mitizamo ya siasa za ujamaa(kusema Nchi imeuzwa Kwa Waarabu,kuwa na sera ambazo hazitabiriki,Urasimu wa Kiserikali na Rushwa) eg miradi ya Lindi LNG na Liganga imekwama kutokana na siasa uchwara.
---
WAGENI WAVUNA FEDHA ZA MIRADI KULIKO WAZAWA
SERIKALI imesema asilimia kubwa ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inawanufaisha wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema bungeni Dodoma kuwa sababu kubwa inayochangia hali hiyo ni uwezo mdogo wa makandarasi wa ndani wa kifedha, mitambo na wataalamu hivyo inakuwa vigumu kwao kushindana kwenye zabuni za kazi na makandarasi kutoka nje hasa kampuni za Kichina.
Bashungwa amesema hayo akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25 bungeni Dodoma jana. Alisema kwa mujibu wa takwimu za Bodi ya Usajili wa Makandarasi, kati ya miradi 36,839, wazawa walitekeleza miradi 35,351 sawa na asilimia 95.9 ya miradi hiyo.
Hata hivyo, Bashungwa amesema miradi iliyotekelezwa na wazawa ni midogomidogo yenye thamani ya Sh trilioni 23.749, sawa na asilimia 38.5 ya thamani ya miradi yote iliyosajiliwa na kutekelezwa katika kipindi hicho ambayo ni Sh trilioni 61.638.
βHivyo, makandarasi wa nje ambao ni takribani asilimia 4.1 walitekeleza miradi michache yenye thamani kubwa (asilimia 61.5 ya thamani ya miradi yote),β amesema Bashungwa.
Kwa mujibu wake, kuna kampuni 14,800 za ndani za makandarasi, za ushauri wa wahandisi ni 252 na kampuni za wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi ni 461.
Chanzo: Habari Leo
My Take
Naunga mkono wazo la Bashungwa kuanza kuwaamini Wakandarasi Wazawa.Sheria hii isiishie Wizara ya Ujenzi pekee Bali Taasisi zote.Tanzania sio Mali ya Wachina pekee.
Sababu namba 2 Ndiyo ya msingi kunasababisha tusiwe wabunifuKila siku tunalia kuhusu kuadikika Kwa Dola licha ya juhudi za kukuza Uchumi lakini hakuna ambae anajadili jambo Hilo Kwa kuangalia sababu za msingi.
Mojawapo ya vitu vinavyosababisha kuadikika Kwa Dola Nchini no hizo hapa π
1. Kuwapa kazi za Ujenzi wakandarasi wa kigeni badala ya wazawa Kwa visingizio vya hawana uwezo na uzoefu(wageni hulipwa Kwa Dola)
2. Kuagiza bidhaa nyingi ambazo tunaweza Kuzalisha wenyewe ndani ya mwaka eg maziwa,ngano,Mafuta ya kula,sabuni,vyakula vya mifugo,mbegu nk
3. Kukwamisha uwekezaji kutoka Nje kutokana na mitizamo ya siasa za ujamaa(kusema Nchi imeuzwa Kwa Waarabu,kuwa na sera ambazo hazitabiriki,Urasimu wa Kiserikali na Rushwa) eg miradi ya Lindi LNG na Liganga imekwama kutokana na siasa uchwara.
---
WAGENI WAVUNA FEDHA ZA MIRADI KULIKO WAZAWA
SERIKALI imesema asilimia kubwa ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inawanufaisha wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema bungeni Dodoma kuwa sababu kubwa inayochangia hali hiyo ni uwezo mdogo wa makandarasi wa ndani wa kifedha, mitambo na wataalamu hivyo inakuwa vigumu kwao kushindana kwenye zabuni za kazi na makandarasi kutoka nje hasa kampuni za Kichina.
Bashungwa amesema hayo akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25 bungeni Dodoma jana. Alisema kwa mujibu wa takwimu za Bodi ya Usajili wa Makandarasi, kati ya miradi 36,839, wazawa walitekeleza miradi 35,351 sawa na asilimia 95.9 ya miradi hiyo.
Hata hivyo, Bashungwa amesema miradi iliyotekelezwa na wazawa ni midogomidogo yenye thamani ya Sh trilioni 23.749, sawa na asilimia 38.5 ya thamani ya miradi yote iliyosajiliwa na kutekelezwa katika kipindi hicho ambayo ni Sh trilioni 61.638.
βHivyo, makandarasi wa nje ambao ni takribani asilimia 4.1 walitekeleza miradi michache yenye thamani kubwa (asilimia 61.5 ya thamani ya miradi yote),β amesema Bashungwa.
Kwa mujibu wake, kuna kampuni 14,800 za ndani za makandarasi, za ushauri wa wahandisi ni 252 na kampuni za wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi ni 461.
Chanzo: Habari Leo
My Take
Naunga mkono wazo la Bashungwa kuanza kuwaamini Wakandarasi Wazawa.Sheria hii isiishie Wizara ya Ujenzi pekee Bali Taasisi zote.Tanzania sio Mali ya Wachina pekee.
Kwani kukopa ni nini? Unakopa harafu unampa Mchina hapo unaingiliwa mara 2Kuna kitu kinafichwa ....
Ni kwamba mradi wa ujenzi wa bwawa kufua umeme la Julius Nyerere zilikopwa hela kutoka nje kwa mfumo wa kibiashara ..
Yaani kulipa inakuwa na riba kubwa sana na kwa muda mfupi ..
Serikali inabidi kulipa deni hilo kwa haraka na ni kwa dollar..
Pia kuna miradi mikubwa sana inaendelea inayohitaji dollar nyingi sana kulipa nje ya nchi ..hasa ya ujenzi iliyoanzishwa miaka michache nyuma
Kwani mapartener wa wachina sinimacheap labour wakitz?,ukiwaweka Chapombe wa kibongo vs Wakichina pamoja nani atakua na uafadhali? Nmefanya nao kazi nawajua af wabongo wengi hatujanyooka iyo ipo wazi
Sawa kwa vile unashinda Jamii forum kusoma umbeya, ukitoka unaingia whatsApp kuangalia status, ukitoka hapo unaingia Youtube kuangalia video za Mwakatobe, ukitoka hapo unaingia tiktok na unamalizia facebook huwezi kuelewa ndiyo maana umeishia na jibu moja tu la muongo.Muongo
Makandarasi wa kibongo hawana exposure, dili nyingi wanapewa na mzee kaishia darasa la saba unategemea nini apo au na ilo pia hujui?
πππππKwani mapartener wa wachina sinimacheap labour wakitz?,
Wapeni kazi wazawa tukomeshe umasikini!.π
Kilaza huyuπΈπβ.Nasikia karibuni tunaanza export mitumba ya nguo na viatu kutoka Tanzania kwenda sehemu zote za dunia...ππ