gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Elezea zaidi,upo juu juu sanaCha msingi ni msamaha wa miezi mitatu ya kutolipa madeni yao.
Hakukuwa na miujiza mingine.
Nisamehe leo siwezi andika sana, Iła huko nyuma nishaelezea kwa kina ni measures za muda mfupi.Elezea zaidi,upo juu juu sana
Kuna washabiki niliwaambia hiki kitu wakabisha, now wako kimya kama vile hawaoniLabda kama uliamini kweli marehemu Mafuru alitoa suluhisho la kudumu kwa ‘bi-tozo’.
Vinginevyo kushuka kwake ilikuwa temporary measures za WB kuisamehe nchi kutolipa madeni yake kwa miezi mitatu.
Baada ya hapo mziki ulikuwa unarudi pale pale.
Tumepunguza exports ukionahivyo....😂😂Baada ya wiki 4 za kushuka kwa dollar kwa kasi ya ajabu ambapo dollar ilifika 2290 hatimaye leo dollar imefikia 2420 ikitarajiwa kupanda zaidi siku za usoni . Hii ina maana gani mdau? Kwa mtu aliyenunua dollar wiki iliyopita leo ana faida ya karibu 200 kwa kila dollar moja
Kwa mfano nilinunua dola za bilioni moja walati dola inauzwa 2290.Baada ya wiki 4 za kushuka kwa dollar kwa kasi ya ajabu ambapo dollar ilifika 2290 hatimaye leo dollar imefikia 2420 ikitarajiwa kupanda zaidi siku za usoni . Hii ina maana gani mdau? Kwa mtu aliyenunua dollar wiki iliyopita leo ana faida ya karibu 200 kwa kila dollar moja
Piga hesabu tenaOngezeko la mia mbili, kama mtu alinunua dola elf 50, now akiuza anafaida ya million 10, 50,000*200
🙌🙌🙌
Inarudi kule kule tu come mid january itafika 2800 tenaBaada ya wiki 4 za kushuka kwa dollar kwa kasi ya ajabu ambapo dollar ilifika 2290 hatimaye leo dollar imefikia 2420 ikitarajiwa kupanda zaidi siku za usoni . Hii ina maana gani mdau? Kwa mtu aliyenunua dollar wiki iliyopita leo ana faida ya karibu 200 kwa kila dollar moja
Kuna ule uzi unamponda Sa100 nipe linkLabda kama uliamini kweli marehemu Mafuru alitoa suluhisho la kudumu kwa ‘bi-tozo’.
Vinginevyo kushuka kwake ilikuwa temporary measures za WB kuisamehe nchi kutolipa madeni yake kwa miezi mitatu.
Baada ya hapo mziki ulikuwa unarudi pale pale.
Meya kuna ule uzi umemnyea sana Sa100 naomba linkLabda kama uliamini kweli marehemu Mafuru alitoa suluhisho la kudumu kwa ‘bi-tozo’.
Vinginevyo kushuka kwake ilikuwa temporary measures za WB kuisamehe nchi kutolipa madeni yake kwa miezi mitatu.
Baada ya hapo mziki ulikuwa unarudi pale pale.
Asushe kodi na tozo biashara ifanyike kwa wingi, hiyo dollar itajishusha yenyewe tu!Nampongeza samia kwa kupandisha dollar mama anaupiga mwingi sana
Tuliwaambia humu, vyawa wakajifanya wajuvi, waje sasa hivi watoe sifaHawasikiagi, hakuna mtu Tanzania aliyesababisha dollar kushuka, ni issue za Marekani wenyewe
Huwa wanakurupuka sana, halafu wakiambiwa wanakaza mishipa ya shingo kwa ubishi. Ngoja sasa, safari imeanza. Ikija kufika April waaenda kuiokotea huko kwenye shilingi 3000 kwa $1Labda kama uliamini kweli marehemu Mafuru alitoa suluhisho la kudumu kwa ‘bi-tozo’.
Vinginevyo kushuka kwake ilikuwa temporary measures za WB kuisamehe nchi kutolipa madeni yake kwa miezi mitatu.
Baada ya hapo mziki ulikuwa unarudi pale pale.
Hata kama imeshuka ulikuwa ukienda bank hawakuuzii kamwe. Mpaka maelezo unaenda kuzifanyia nini ? Alafu pia usingeweza kupata dolar kwa 2290 hata siku moja mzeee.Baada ya wiki 4 za kushuka kwa dollar kwa kasi ya ajabu ambapo dollar ilifika 2290 hatimaye leo dollar imefikia 2420 ikitarajiwa kupanda zaidi siku za usoni . Hii ina maana gani mdau? Kwa mtu aliyenunua dollar wiki iliyopita leo ana faida ya karibu 200 kwa kila dollar moja
Kwahiyo bank ndio wanauza dollar pekee? Usingeweza kununua 2290? Watu mna akili finyu sanaHata kama imeshuka ulikuwa ukienda bank hawakuuzii kamwe. Mpaka maelezo unaenda kuzifanyia nini ? Alafu pia usingeweza kupata dolar kwa 2290 hata siku moja mzeee.
Vyawa kwenye msiba walidai Mafuru alishusha dola. Mmatumbi kisa amejenga sijui Goba eti alimshauri Samia afanye mbinu ashushe dola.Tuliwaambia humu, vyawa wakajifanya wajuvi, waje sasa hivi wayoe sifa
Bongo ina watu wa hovyo sana. Huu ujinga wa kutafuta namna ya kusifia kila udhia au kupamba visivyopambika, kimzahamzaha sana nchi inapelekwa kwenye korongoVyawa kwenye msiba walidai Mafuru alishusha dola. Mmatumbi kisa amejenga sijui Goba eti alimshauri Samia afanye mbinu ashushe dola.
Kina Jerome Power kule states wafanye yao, atokee mtu banana republic eti kashusha dola. Nilicheka😂