Dollar yaanza kupanda kwa kasi kurudi ilikotoka

Dollar yaanza kupanda kwa kasi kurudi ilikotoka

Labda kama uliamini kweli marehemu Mafuru alitoa suluhisho la kudumu kwa ‘bi-tozo’.

Vinginevyo kushuka kwake ilikuwa temporary measures za WB kuisamehe nchi kutolipa madeni yake kwa miezi mitatu.

Baada ya hapo mziki ulikuwa unarudi pale pale.
Kuna washabiki niliwaambia hiki kitu wakabisha, now wako kimya kama vile hawaoni
 
Baada ya wiki 4 za kushuka kwa dollar kwa kasi ya ajabu ambapo dollar ilifika 2290 hatimaye leo dollar imefikia 2420 ikitarajiwa kupanda zaidi siku za usoni . Hii ina maana gani mdau? Kwa mtu aliyenunua dollar wiki iliyopita leo ana faida ya karibu 200 kwa kila dollar moja
Tumepunguza exports ukionahivyo....😂😂
 
Baada ya wiki 4 za kushuka kwa dollar kwa kasi ya ajabu ambapo dollar ilifika 2290 hatimaye leo dollar imefikia 2420 ikitarajiwa kupanda zaidi siku za usoni . Hii ina maana gani mdau? Kwa mtu aliyenunua dollar wiki iliyopita leo ana faida ya karibu 200 kwa kila dollar moja
Kwa mfano nilinunua dola za bilioni moja walati dola inauzwa 2290.
Nikaja kiziuza dola hizohizo kwa bei ya 2400 nitakuwa nimetengeneza faida kiasi gani hapo mtaalamu
 
Baada ya wiki 4 za kushuka kwa dollar kwa kasi ya ajabu ambapo dollar ilifika 2290 hatimaye leo dollar imefikia 2420 ikitarajiwa kupanda zaidi siku za usoni . Hii ina maana gani mdau? Kwa mtu aliyenunua dollar wiki iliyopita leo ana faida ya karibu 200 kwa kila dollar moja
Inarudi kule kule tu come mid january itafika 2800 tena
 
Labda kama uliamini kweli marehemu Mafuru alitoa suluhisho la kudumu kwa ‘bi-tozo’.

Vinginevyo kushuka kwake ilikuwa temporary measures za WB kuisamehe nchi kutolipa madeni yake kwa miezi mitatu.

Baada ya hapo mziki ulikuwa unarudi pale pale.
Huwa wanakurupuka sana, halafu wakiambiwa wanakaza mishipa ya shingo kwa ubishi. Ngoja sasa, safari imeanza. Ikija kufika April waaenda kuiokotea huko kwenye shilingi 3000 kwa $1
 
Baada ya wiki 4 za kushuka kwa dollar kwa kasi ya ajabu ambapo dollar ilifika 2290 hatimaye leo dollar imefikia 2420 ikitarajiwa kupanda zaidi siku za usoni . Hii ina maana gani mdau? Kwa mtu aliyenunua dollar wiki iliyopita leo ana faida ya karibu 200 kwa kila dollar moja
Hata kama imeshuka ulikuwa ukienda bank hawakuuzii kamwe. Mpaka maelezo unaenda kuzifanyia nini ? Alafu pia usingeweza kupata dolar kwa 2290 hata siku moja mzeee.
 
Vyawa kwenye msiba walidai Mafuru alishusha dola. Mmatumbi kisa amejenga sijui Goba eti alimshauri Samia afanye mbinu ashushe dola.

Kina Jerome Power kule states wafanye yao, atokee mtu banana republic eti kashusha dola. Nilicheka😂
Bongo ina watu wa hovyo sana. Huu ujinga wa kutafuta namna ya kusifia kila udhia au kupamba visivyopambika, kimzahamzaha sana nchi inapelekwa kwenye korongo
 
Back
Top Bottom