Dollar yaanza kupanda kwa kasi kurudi ilikotoka

Dollar yaanza kupanda kwa kasi kurudi ilikotoka

Kama vile hawapo, na hakuna hata anayeshadadia kusema kuwa Dollar imepanda 🤣 🤣

Kwa nchi kama Tanzania isiyouza inachozalisha,,,, halafu kuna bwege eti wanakwambia wameishusha Dollar..

Mkuu, wewe unauza chochote nje au unadhani ni wajibu wa nani?

Watu hawashadadii sababu hata wakati inashuka hakuna aliyetaka ku acknowledge juhudi za serikali kwahiyo ikipanda pia msiwape lawana.
 
Mkuu, wewe unauza chochote nje au unadhani ni wajibu wa nani?

Watu hawashadadii sababu hata wakati inashuka hakuna aliyetaka ku acknowledge juhudi za serikali kwahiyo ikipanda pia msiwape lawana.
Mimi siuzi chochote kwasababu wote hatuwezi kuwa wauzaji ila wale walio kwenye sehemu husika yawapasa kufanya linalostahili.
Shillingi yetu itapanda bila makandokando pale tu ambapo kila kinachovuka mipaka yetu kitajulikana kwenye mifumo yetu ya mapato.
 

1736587998479.png
 
Back
Top Bottom