ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Msimu upi kenya hawana chai?Mkuu kenya msimu huu ana chai Uganda ana kahawa leta ya sehem.kama Zambia, Kongo na mozambique maana hawa kwa msimu huu ni kama hawakuwa na mazao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimu upi kenya hawana chai?Mkuu kenya msimu huu ana chai Uganda ana kahawa leta ya sehem.kama Zambia, Kongo na mozambique maana hawa kwa msimu huu ni kama hawakuwa na mazao
Effects is felt globally not against Tanzania shillingssema
sasa kama us federal walishusha interest rate, mbona baadhi ya sarafu za nchi kadhaa zina experience unprecedented depreciation of their currency nchi kama Zambia dhidi ya US dollar ?
Hahaha CCM wamesha beba mwenge, utadhani kuna cha maana wanafanya. Dollar inashuka thamani dunia nzima.E
Effects is felt globally not against Tanzania shillings
Wajinga wajingqHahaha CCM wamesha beba mwenge, utadhani kuna cha maana wanafanya. Dollar inashuka thamani dunia nzima.
Hahaha wakikusikia wanakuteka, wanakupoteza hawana mswalia mtume wale. wanasema mchumi number moja anaupiga mwingi.Wajinga wajingq
Nasimama na wewe mkuuSababu za uongo hizo kamanda. Dollar imeshuka hadi uganda na Kenya. Jibu sahihi ni wap US kashusha rate zao kuvutia FI
Angalia chini hapa uone dola ilivyoshuka Kenya na uganda
View attachment 3174067View attachment 3174068
HahaHahaha CCM wamesha beba mwenge, utadhani kuna cha maana wanafanya. Dollar inashuka thamani dunia nzima.
Tena itakuwa mbaya zaidihali imerudi kuwa mbaya