Dollar yaanza kushuka kwa kasi

Dollar yaanza kushuka kwa kasi

Ubishi gani?? Tuna sheria mpya ya ugavi ya July 2024. Kwa tafsiri yako hii sheria mpya imefuta manunuzi yote ya serikali yaliyowahi kufanyika kabla ya mwaka huu July??
Haha Kuna sehem nimetaja sheria ya madini imefuta manunuz yoyote ya dhahabu ya nyuma au unajaribu kudiverty
 
Haha Kuna sehem nimetaja sheria ya madini imefuta manunuz yoyote ya dhahabu ya nyuma au unajaribu kudiverty
Sasa mbona nilipokua nazungumzia BOT kununua mwaka Jana, wewe ukawa kila muda unasema sijui sheria mpya imeanza mwaka huu? Kuanza kwa sheria mpya hakufuti manunuzi ya nyuma, hiyo ndio ilikua point yangu
 
Kama BOT walinunua dhahabu kwa bei ya chini then dhahabu imeshoot wameuza hapo sawaa...!! na hii ndo logic kidogo inaelezekaaa.
 
1733926228522.png
 
Mkuu tunashauri ukae kwenye fans yako ya procurement huku naona hakuna unachoelewa
Mm procurement sio fani yangu. Hakuna kitu kibaya kama mtu kuandika uongo na kukubaliana nao. Mm ni multipurpose huwa nasoma kila sekta eeday

Huyo ni layman. Mtu timamu hawezi kusema sasa hivi pesa za karatasi tumeachana nazo
 
Sasa mbona nilipokua nazungumzia BOT kununua mwaka Jana, wewe ukawa kila muda unasema sijui sheria mpya imeanza mwaka huu? Kuanza kwa sheria mpya hakufuti manunuzi ya nyuma, hiyo ndio ilikua point yangu
OK sawa lakini kama manunuzi yalianza mwaka jana ila hayakuwa na effect yoyote , ila walau mwaka huu Kuna effects imagine 800kg kwa mwez oktoba tu . November na December lazima manunuzi yamepanda hivyo kuleta reflection ya hali ilivyo sasa
 
Kama BOT walinunua dhahabu kwa bei ya chini then dhahabu imeshoot wameuza hapo sawaa...!! na hii ndo logic kidogo inaelezekaaa.
Bado hiyo haiwezi kuwa sababu. Uganda Kenya kote dollar imeporomoka sana wao wamenunua pia dhahabu?

Pia Kg 800 haziwezi kushusha thamani ya dollar hata siku moja.
 
Baada ya dollar ya Marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muda huu naandika nakala, hii imefikia 2375 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo.

Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi ya tsh ni kuimarika kwa uchumi?

Wataalam mtujuze!
Uchumi haupimwi kwa bei ya dola mkuu.

China ina uchumi mkubwa na hela yake Yuan haina thamani sana, na China inapigana kila siku ili Yuan isipande thamani ibakie kuwa cheap, kwa sababu wanapiga mahesabu ya kufanya exports nyingi sana zitakazozibia thamani ya Yuan kuwa chini.

Wanafanya makusudi hela yao iwe na thamani ndogo kimkakati.

Kwenye dola kushuka bei Tanzania, kwanza US Federal Reserve (Benki Kuu ya US) imepunguza interest rate. Benki Kuu ikipunguza interest rate, maana yake bei ya kukopa inapungua.Thamani ya dola inashuka.

Pia, kwenye msiba wa Mafuru, rais Samia alisema moja ya kazi kubwa alizofanya Mafuru hapa mwishoni wakati bei ya dola iko juu sana na dola haipatikani, Mafuru aliishauri serikali vitu vya kufanya ili dola ipatikane zaidi, na Samia alisema walifanikiwa. Hakutaja walifanya nini lakini inaonekana wameongeza dollar supply kwa mkupuo kiasi kwamba supply imekuwa kubwa sana kushinda demand na kiuchumi hilo linasababisha bei kushuka.
 
Kama BOT walinunua dhahabu kwa bei ya chini then dhahabu imeshoot wameuza hapo sawaa...!! na hii ndo logic kidogo inaelezekaaa.
Bot kwa mwezi oktoba tu walinunua Zaid ya kg 800 na July tu September 366 hivyo watakuwa washakusanya kama tan 2 mpaka December na hiyo itakuwa ndo sababu
 
Uchumi haupimwi kwa bei ya dola mkuu.

China ina uchumi mkubwa na hela yake Yuan haina thamani sana, na China inapigana kila siku ili Yuan isipande thamani ibakie kuwa cheap, kwa sababu wanapiga mahesabu ya kufanya exports nyingi sana zitakazozibia thamani ya Yuan kuwa chini.

Wanafanya makusudi hela yao iwe na thamani ndogo kimkakati.

0Kwenye dola kushuka bei Tanzania, kwanza US Federal Reserve (Benki Kuu ya US) imepunguza interest rate. Benki Kuu ikipunguza interest rate, maana yake bei ya kukopa inapungua.Thamani ya dola inashuka.

Pia, kwenye msiba wa Mafuru, rais Samia alisema moja ya kazi kubwa alizofanya Mafuru hapa mwishoni wakati bei ya dola iko juu sana na dola haipatikani, Mafuru aliishauri serikali vitu vya kufanya ili dola ipatikane zaidi, na Samia alisema walifanikiwa. Hakutaja walifanya nini lakini inaonekana wameongeza dollar supply kwa mkupuo kiasi kwamba supply imekuwa kubwa sana kushinda demand na kiuchumi hilo linasababisha bei kushuka.
Supply inaongezwaje bila kuwepo kwa usd ? Lazima Kuna vitu vimeuzwa ili kuweza kupatikana kwa usd
 
OK sawa lakini kama manunuzi yalianza mwaka jana ila hayakuwa na effect yoyote , ila walau mwaka huu Kuna effects imagine 800kg kwa mwez oktoba tu . November na December lazima manunuzi yamepanda hivyo kuleta reflection ya hali ilivyo sasa
Hii kununua na kuuza kg 800 kwa mwezi umetioa wapi?
 
Bado hiyo haiwezi kuwa sababu. Uganda Kenya kote dollar imeporomoka sana wao wamenunua pia dhahabu?

Pia Kg 800 haziwezi kushusha thamani ya dollar hata siku moja.
Hapo ukichanganya na mauzo ya nje kwa bidhaa kadha wa kadha
 
Supply inaongezwaje bila kuwepo kwa usd ? Lazima Kuna vitu vimeuzwa ili kuweza kupatikana kwa usd
S8jasema supply imeongezwa bila kuwepo USD.

Unaweza kuongeza dollar supply hata kwa mkopo si lazima kuuza kitu. Note that nasema supply inaweza kuongezeka hata kwa mkopo, sijasema wamekopa.
 
Hapo ukichanganya na mauzo ya nje kwa bidhaa kadha wa kadha
Hii ya dollar ni uongo achana nayo. Bado sana kuleta matokeo yake. Mauzonya $50mil+ hayawezi kuwa na matokeo ya haraka hivyo kuliko mauzo ya $3.3billiion ambayo tunayo miaka hii. Ni uongo huu
 
Hii ya dollar ni uongo achana nayo. Bado sana kuleta matokeo yake. Mauzonya $50mil+ hayawezi kuwa na matokeo ya haraka hivyo kuliko mauzo ya $3.3billiion ambayo tunayo miaka hii. Ni uongo huu
Hiyo ni moja ya sababu lakini ishu kubwa ya kuweza kustabilize currency ni kuuza sana nje, ndo maana tunasema labda ya mauzo ya bidhaa njee hasa kwa kuanzia oktoba mpaka sasa yamepelekea kupatikana kwa usd. Mauzo ya njee ni pamoja na hiyo dhahabu kumbuka kama walifanikiwa kununua 20 ya manunuzi ina maana Kuna dhahabu ya usd 370,000,000 na watu binafsi Sasa ukiweka na bidhaa nyinginezo bado unakuta Kuna mzigo wa dollar umeingia tu
 
Back
Top Bottom