Kwanza ulisema kununua tumeanza mwaka huu, hapo nadhani umejirekebisha mwenyewe maana ulianza kubisha.
Pili kuhusu kiasi kila taarifa Ina yake. Taarifa yangu ni kg 400+ , hiyo 360+
But haya yanaweza yasiwe mjadala. Mjadala wetu ni BOT ilianza kununua lini dollar. Tumeona ilianza mwaka jana tofauti na ulivyosema. So why mwaka Jana hakukua na poromoko la dollar dhidi ya TShs?
Kuhusu sheria mpya hiyo haihusiani kwenye huu mjadala sababu. Hata mwakani tunaweza Kuna na sheria nyingine lakini, hayo ni mabadiliko ya sheria ambayo hutokea mara kwa Mara. Ni sawa na sheria za ugavi kila Mara zinakuja lakini manunuzi hayajawahi kusimama