Dollar yaanza kushuka kwa kasi

Dollar yaanza kushuka kwa kasi

Kwanza ulisema kununua tumeanza mwaka huu, hapo nadhani umejirekebisha mwenyewe maana ulianza kubisha.

Pili kuhusu kiasi kila taarifa Ina yake. Taarifa yangu ni kg 400+ , hiyo 360+

But haya yanaweza yasiwe mjadala. Mjadala wetu ni BOT ilianza kununua lini dollar. Tumeona ilianza mwaka jana tofauti na ulivyosema. So why mwaka Jana hakukua na poromoko la dollar dhidi ya TShs?

Kuhusu sheria mpya hiyo haihusiani kwenye huu mjadala sababu. Hata mwakani tunaweza Kuna na sheria nyingine lakini, hayo ni mabadiliko ya sheria ambayo hutokea mara kwa Mara. Ni sawa na sheria za ugavi kila Mara zinakuja lakini manunuzi hayajawahi kusimama
Umeelekezwa kuwa sheria ya manunuzi imepitishwa mwaka na kabla ya sheria mwaka mzima wa 2023 ilinunuliwa kg 418 wewe ulisema kuwa dhahabu ilinunuliwa sana 2023 wakati records zinaonesha tu kwa oktoba 2024 Bot imenunua kg Zaid 800 na kuanzia July mpaka September ilikuwa is hakukua 366 jumla Zaid tan moja
 
Unanieleza kitu ambacho nakijua. Hiyo link ya BOT umeweka sijaelewa. Nenda kwenye sehemu husika screenshot weka. Unaweka link ya jumla ambayo hata wewe huwezi kupitia kila kitu
Fungua link utapata export kwa mwaka husika screen shot nishakuwekea hakuna taarifa tu ya mwaka 2024 kwa records zao ziko yearly basis
 
Umeelekezwa kuwa sheria ya manunuzi imepitishwa mwaka na kabla ya sheria mwaka mzima wa 2023 ilinunuliwa kg 418 wewe ulisema kuwa dhahabu ilinunuliwa sana 2023 wakati records zinaonesha tu kwa oktoba 2024 Bot imenunua kg Zaid 800 na kuanzia July mpaka September ilikuwa is hakukua 366 jumla Zaid tan moja
Mkuu mbona sielewi hiki umeandika?

Ngoja twende taratibu. BOT wameanza lini kununua dhahabu na walinunua kiasi gani?
 
Fungua link utapata export kwa mwaka husika screen shot nishakuwekea hakuna taarifa tu ya mwaka 2024 kwa records zao ziko yearly basis
Taarifa hizo mm huzisoma kila Mara ndio maana nilikuchallenge uliposema manunuzi yameanza mwaka huu

Turudi kwenye hoja. Nini kimefanya Dollar kushuka kwa kasi? Hii sio Tanzania tu hata Kenya dollar inashuka kwa kasi, so sababu zako zisiwe based on Tanzania tu
 
Mkuu mbona sielewi hiki umeandika?

Ngoja twende taratibu. BOT wameanza lini kununua dhahabu na walinunua kiasi gani?
Bot miaka yote huwa wananunua dhahabu ila Kuna kipindi ilistop mwaka jana walianza kununua tena ila hawakupata kiwango ambacho kingeleta badiriko, ikabidi itungwe sheria ya madini ya mwaka 2024 inayomlazimisha kila muuzaji anayeenda kuuza kwenye masoko ya madini kulazimika kuizuia Bot 20% ya madini yake. Baada ya sheria kuanza kutumika oktoba 1 kwa mwezi mmoja Bot ikafanikiwa kununua kg 800+ kiwango mara mbili ya kiwango kilichonunuliwa mwaka jana kwa hiyo itauza nje kiwango cha tan na kupata hiyo foreign currency .
 
Waulize Bot waliopitisha sheria ya manunuzi sio mimi ila nachojua ukitaka kuuza dhahabu saa hii lazima Bot uwauzie 20% ya dhahabu yako
Niwaulize vipi BOT ikiwa wewe ulipnyesha kufahamu kwa undani haya mambo? Labda nikuulize hadi Sasa kwa wewe unavyofahamu BOT imenunua gold kiasi gani jumla?
 
Taarifa hizo mm huzisoma kila Mara ndio maana nilikuchallenge uliposema manunuzi yameanza mwaka huu

Turudi kwenye hoja. Nini kimefanya Dollar kushuka kwa kasi? Hii sio Tanzania tu hata Kenya dollar inashuka kwa kasi, so sababu zako zisiwe based on Tanzania tu
Kabla sijakujibu nijibu je usd imepanda kwa tzs tu au hata fedha za nchi hizi zinazotunguka.
Maana hata kwa kuangalia utagundua tzs imependa dhidi ksh, ugx, Zambian kwacha je ilahaijapanda Zaid kwa euro na pound ipi sababu
 
Dollar itashuka na itashuka sana kwa kuwa zamani pesa ni dhahabu,Raisi Nixon wa Marekani ndie alileta pesa ya karatasi.
Sasa dunia imeelevuka.
Kuna ulimwengu wa madini adimu.
Tanzania ni ya sita duniani.
Hakuna Russia wala Marekani ni wachumba siku zijazo.
Stay put like a grease.
 
Dollar itashuka na itashuka sana kwa kuwa zamani pesa ni dhahabu,Raisi Nixon wa Marekani ndie alileta pesa ya karatasi.
Sasa dunia imeelevuka.
Kuna ulimwengu wa madini adimu.
Tanzania ni ya sita duniani.
Hakuna Russia wala Marekani ni wachumba siku zijazo.
Stay put like a grease.
Atleast umenena
 
Bot miaka yote huwa wananunua dhahabu ila Kuna kipindi ilistop mwaka jana walianza kununua tena ila hawakupata kiwango ambacho kingeleta badiriko, ikabidi itungwe sheria ya madini ya mwaka 2024 inayomlazimisha kila muuzaji anayeenda kuuza kwenye masoko ya madini kulazimika kuizuia Bot 20% ya madini yake. Baada ya sheria kuanza kutumika oktoba 1 kwa mwezi mmoja Bot ikafanikiwa kununua kg 800+ kiwango mara mbili ya kiwango kilichonunuliwa mwaka jana kwa hiyo itauza nje kiwango cha tan na kupata hiyo foreign currency .
Hapa umeandika vizuri na mtu ukisoma unaelewa. Sasa twende kwenye hoja

Kwanza kabisa nadhani tubakubaliana ulikosea kusema BOT imeanza kununua gold mwaka huu 2024. Hili tuachane nalo

Pili, hadi sasa BOT wamenunue kg ngapi jumla?
 
Hapa umeandika vizuri na mtu ukisoma unaelewa. Sasa twende kwenye hoja

Kwanza kabisa nadhani tubakubaliana ulikosea kusema BOT imeanza kununua gold mwaka huu 2024. Hili tuachane nalo

Pili, hadi sasa BOT wamenunue kg ngapi jumla?
Una ubishi ambao hauna maana hivi kuanza kununua na kupitisha sheria ya manunuz ni vitu vinanvyofanana
 
Kabla sijakujibu nijibu je usd imepanda kwa tzs tu au hata fedha za nchi hizi zinazotunguka.
Maana hata kwa kuangalia utagundua tzs imependa dhidi ksh, ugx, Zambian kwacha je ilahaijapanda Zaid kwa euro na pound ipi sababu
Unauliza "...je USD imepanda kwa tzs tu au hats fedha za nchi zinazotunguka..." mkuu ni wapi kwenye mjadala wetu nimesema USd imepanda kwa tzs?? Hapa si muda wote tunazungumzia kushuka kwa USd. Mbona unachanganya mambo?

Kuhusu shillingi yaa Tanzania na shillingi ya Kenya, wewe ni Nani kakuambia shillingi ya Tanzania imepanda dhidi ya kenya? Mwaka Jana December shillingi moja ya Kenya ilikua Sawa na sh 15 ya Tanzania. Sasa hivi ni ngapi? Ukipata jibu utajua imepanda au imeshuka
 
Una ubishi ambao hauna maana hivi kuanza kununua na kupitisha sheria ya manunuz ni vitu vinanvyofanana
Ubishi gani?? Tuna sheria mpya ya ugavi ya July 2024. Kwa tafsiri yako hii sheria mpya imefuta manunuzi yote ya serikali yaliyowahi kufanyika kabla ya mwaka huu July??
 
Dollar itashuka na itashuka sana kwa kuwa zamani pesa ni dhahabu,Raisi Nixon wa Marekani ndie alileta pesa ya karatasi.
Sasa dunia imeelevuka.
Kuna ulimwengu wa madini adimu.
Tanzania ni ya sita duniani.
Hakuna Russia wala Marekani ni wachumba siku zijazo.
Stay put like a grease.
Uongo huu
Kama hiyo ndio sababu basi Uganda pesa yao isingepanda dhidi ya dollar
 
Atleast umenena
Mkuu kwa akili isiyochachuliwa unaweza ukabadirisha gunia mmoja ya maharage kwa karatasi mmoja ETI kwa kuwa imeandikwa legal tender,in God we trust?
Huyo Mungu wa nani? Anedhurumu Mwafrika kila kukicha?
Fucking nonsense. Ndio pale tunasema elimu hizi za kumtumbukiza mtu kwenye utumwa mamboleo mwisho wake umewadia.
 
Back
Top Bottom