Dollar yaanza kushuka kwa kasi

Dollar yaanza kushuka kwa kasi

Hii ni hasara kwangu maana ela niliyokuwa napokea kipindi imepanda saaa inashuka kwa kasi.
Tatizo lako na watanzania wengi hamfuatili habari za masoko ya fedha tokea mwezi wa tisa u.s federal reserve walianza kushusha interest rate ilijulikana ni swala la mda tu dollar itaanza kushuka na wala sio rocket science
 
baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Ni kuimalika kwa BRICS
 
Acha uongo
U.s federal reseve alishusha interest rate ambayo iko 4.5
Bot hananguvu ya kucontrol soko la dollar acha uongo
BOT ana uwezo wa kucontrol mkuu njia zilizopo.
Kuzuia malipo yoyote ndani ya nchi kufanyika kwa dollar hii itapelekea kila mtu anayetaka huduma tanzania kununua shillings na kuifanya dollar ipatikane kwa wingi hivyo kushuka dhaman
Manunuzi ya dhahabu ambayo bot imelazimisha karibia kwa kila mauzo yanayofanyika bot inunue 10% ya mzigo wote na baadae kuuza na kuifanya kuwa wingi wa dollar hivyo kuendeleq kushuka
 
baada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Makala na si nakala
 
Kitu nikile kile mkuu. Kwasababu kushuka kwa dolllar inamaana mfumuko wabei utakuwa chini na vitu vitashuka
Mkuu fundi ujenzi kama anapiga tiles 5000 kwa square meter hata dollar ipande ishuke yeye ni buku tano. Kama una mlinzia unamlipa laki hata dollar ipamde ishuke anaendelea kula laki. Kwa hiyo utaona kama umawalipa watu in tshs dollar ikipanda ni faida kwako. Same to karo za shule tunazolipa in tzs
 
Tatizo lako na watanzania wengi hamfuatili habari za masoko ya fedha tokea mwezi wa tisa u.s federal reserve walianza kushusha interest rate ilijulikana ni swala la mda tu dollar itaanza kushuka na wala sio rocket science
Nlisikia na nafuatilia usidhani nashikilia dola ila nalipwa kwa dola so kwangu ni hasara.
 
Mkuu fundi ujenzi kama anapiga tiles 5000 kwa square meter hata dollar ipande ishuke yeye ni buku tano. Kama una mlinzia unamlipa laki hata dollar ipamde ishuke anaendelea kula laki. Kwa hiyo utaona kama umawalipa watu in tshs dollar ikipanda ni faida kwako. Same to karo za shule tunazolipa in tzs
Kwa sisi tunaolipwa kwa dollar kazi tunayo...
 
Mkuu fundi ujenzi kama anapiga tiles 5000 kwa square meter hata dollar ipande ishuke yeye ni buku tano. Kama una mlinzia unamlipa laki hata dollar ipamde ishuke anaendelea kula laki. Kwa hiyo utaona kama umawalipa watu in tshs dollar ikipanda ni faida kwako. Same to karo za shule tunazolipa in tzs
Pia exports ya korosho na mazao mengine yanaweza pelekea kukawepo na surplus ya dollar
 
I
Kitu nikile kile mkuu. Kwasababu kushuka kwa dolllar inamaana mfumuko wabei utakuwa chini na vitu vitashuka
Ila ni hasara kwa wanaokuja nunua mizigo toka nje.
Mfano letsay natoka na dollar zangu mozambique 1000 ambayo kwa makadirio ningepata 2.6mil naja Pata 2.4 hivyo sitanunua vitu Virginia maana ntakuwa na hasara ya laki mbili hivyo gharama inakuwa kubwa kwa exporter na itadiscourage exportation huku importation ikiongezeka
 
Ni kweli Dollar imeanza kushuka na shilingi ya kitanzania imeanza kuimarika hi kwa sababu kuu mbili
1. BOT ilikua na mnada wa hadhara wa dola na ilinunua dola za kutosha ili kukidhi manunuzi mbalimbali
2. Mapema mwezi 11 serikali ilianza kununua dhahabu ambayo itaiwezesha serikali kuuza na kupata pesa za kigeni moja kwa moja. Serikali kununua dhahabu ilitakiwa kuanza hili muda mrefu sana ili kupambana na upungufu wa pesa za kigeni, ila tunashukuru kwa kuchukua hatua

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Tanzania Haina uwezo wa kuipeleka Dola,
Saivi BRICS wame adapt malipo kwa local currency,
Pia karibia malipo kwa Dola yameshuka almost 50% kidunia.
Pia gold inapanda mno Bei ivyo lazima investors wanauza Dola wananunua gold so lazima Dola ishuke thamani.
Huwa nawacheki watu wanachonga mara serikali imepunguza mafuta Bei unakuta hata soko.la dunia yameshuka
 
Back
Top Bottom