Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Tatizo lako na watanzania wengi hamfuatili habari za masoko ya fedha tokea mwezi wa tisa u.s federal reserve walianza kushusha interest rate ilijulikana ni swala la mda tu dollar itaanza kushuka na wala sio rocket scienceHii ni hasara kwangu maana ela niliyokuwa napokea kipindi imepanda saaa inashuka kwa kasi.
Kitu nikile kile mkuu. Kwasababu kushuka kwa dolllar inamaana mfumuko wabei utakuwa chini na vitu vitashukaHii ni hasara kwangu maana ela niliyokuwa napokea kipindi imepanda saaa inashuka kwa kasi.
Tueleweshe hapa inasaidia nini au umuhimu wake ni upi katika masuala ya kiuchumiNa ndio sababu pia kila Rais mpya Marekani akitaka kuapishwa hii Hali utokea miaka mingi Sana toka 2012 kwa Obama
Jidanganye, US federal kushusha interest rate unafikir africa kwa uroho wenu mulionaga hilo.Acha uongo
U.s federal reseve alishusha interest rate ambayo iko 4.5
Bot hananguvu ya kucontrol soko la dollar acha uongo
Ni kuimalika kwa BRICSbaada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
BOT ana uwezo wa kucontrol mkuu njia zilizopo.Acha uongo
U.s federal reseve alishusha interest rate ambayo iko 4.5
Bot hananguvu ya kucontrol soko la dollar acha uongo
Makala na si nakalabaada ya dollar ya marekani kupanda mfululizo mwaka huu hadi kufika 2750 kutoka 2250 hatimaye wiki hii imeanza kushuka kwa kasi nakufikia muds huu naandika nakala.hii imefikia 2490 huku ikitarajiwa kushuka zaidi siku zijazo. Kulikoni nini kimetokea? Hii ina maana kwa mtu aliyenunua dollar wiki zilizopita kwa sasa ana hasara ya karibu 300 kwa kila dollar. Je Dollar kushuka dhidi y tsh nikuimarika kwa uchumi? Wataalam mtujuze
Ukonyaa😭😭😭😭 napeleka wapi huu mzigo
Mkuu fundi ujenzi kama anapiga tiles 5000 kwa square meter hata dollar ipande ishuke yeye ni buku tano. Kama una mlinzia unamlipa laki hata dollar ipamde ishuke anaendelea kula laki. Kwa hiyo utaona kama umawalipa watu in tshs dollar ikipanda ni faida kwako. Same to karo za shule tunazolipa in tzsKitu nikile kile mkuu. Kwasababu kushuka kwa dolllar inamaana mfumuko wabei utakuwa chini na vitu vitashuka
Nlisikia na nafuatilia usidhani nashikilia dola ila nalipwa kwa dola so kwangu ni hasara.Tatizo lako na watanzania wengi hamfuatili habari za masoko ya fedha tokea mwezi wa tisa u.s federal reserve walianza kushusha interest rate ilijulikana ni swala la mda tu dollar itaanza kushuka na wala sio rocket science
Kwa sisi tunaolipwa kwa dollar kazi tunayo...Mkuu fundi ujenzi kama anapiga tiles 5000 kwa square meter hata dollar ipande ishuke yeye ni buku tano. Kama una mlinzia unamlipa laki hata dollar ipamde ishuke anaendelea kula laki. Kwa hiyo utaona kama umawalipa watu in tshs dollar ikipanda ni faida kwako. Same to karo za shule tunazolipa in tzs
Pia exports ya korosho na mazao mengine yanaweza pelekea kukawepo na surplus ya dollarMkuu fundi ujenzi kama anapiga tiles 5000 kwa square meter hata dollar ipande ishuke yeye ni buku tano. Kama una mlinzia unamlipa laki hata dollar ipamde ishuke anaendelea kula laki. Kwa hiyo utaona kama umawalipa watu in tshs dollar ikipanda ni faida kwako. Same to karo za shule tunazolipa in tzs
Watu wa fx ,Acha uongo
U.s federal reserve walishusha interest rate
Ila ni hasara kwa wanaokuja nunua mizigo toka nje.Kitu nikile kile mkuu. Kwasababu kushuka kwa dolllar inamaana mfumuko wabei utakuwa chini na vitu vitashuka
Tanzania Haina uwezo wa kuipeleka Dola,Ni kweli Dollar imeanza kushuka na shilingi ya kitanzania imeanza kuimarika hi kwa sababu kuu mbili
1. BOT ilikua na mnada wa hadhara wa dola na ilinunua dola za kutosha ili kukidhi manunuzi mbalimbali
2. Mapema mwezi 11 serikali ilianza kununua dhahabu ambayo itaiwezesha serikali kuuza na kupata pesa za kigeni moja kwa moja. Serikali kununua dhahabu ilitakiwa kuanza hili muda mrefu sana ili kupambana na upungufu wa pesa za kigeni, ila tunashukuru kwa kuchukua hatua
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app