Domo zege disease tukutane hapa

Domo zege disease tukutane hapa

Udomo zege ni tatizo sana yani zaidi mikataba ya kusafirisha mchanga wa dhahabu.

Udomo zege huwa unanitesa sana sema naenda nao hivyo hivyo tu kibishi.
 
mimi nahisi sio domo zege, lakini nakuaga naona aibu kumuita mdada alafu akakataa au kunitolea maneno machafu/mabaya yaani hapo tu ndo pananishinda naweza nikamuona mdada kabisa mzuri nikamvutia pumzi lakini hilo wazo likija kichwani tu naishiwa pozi, sasa sijui huo ndo udomo zege!! Miss Natafuta
Huo ndo udomo zege sasa wee unafikiri nn
 
kwan bado dda una uschana wako kwel? Bas wte hko kwenu watakuwa akna nanii
 
Ulikuona unanjaa ndo maan akukulisha masaa m3 dadeq
 
Udomo zege ni tatizo sana yani zaidi mikataba ya kusafirisha mchanga wa dhahabu.

Udomo zege huwa unanitesa sana sema naenda nao hivyo hivyo tu kibishi.
Pole mkuu, maana wadada wenyewe aanatamba sana kama wangekua vidume mademu wangekoma
 
Kuna wanaume kweli hawajui kutongoza

Kuna jamaa alikuwa ananionesha kabisa ananitaka ila ile kusema abc naona kama anakuwa muoga

Zikapita siku nyingi siku moja akaniambia wikend tutoke kuna jambo anataka kuniambia.Tukaenda mahali nikapiga msosi wa maana kama elf 70 hivi, ile bufee haikuwa ya nchi hii nilishinda pale masaa matatu nakula tu.

Baada ya kushiba nikamuuliaza ulikuwa unasemaje mkuu eti akaniambia alitaka kuniuliza nywele zangu nimesuka wapi na huo mtindo unaitwaje? hadi leo huwa namcheka sana. Nataka nimtongoze ndo namalizia kufanya upelelezi wangu wa mwisho kama anafaa kwa matumizi ya binadamu.

Wanaume mnachoogopa ni nini? Ningekuwa mwanaume mimi pasingetosha
Kisa chako kinataka kufanana na changu ila mm nilimla na hatorudia

Yeye alikua rafiki wa manzi mmoja niliwah toka nae sasa tukawa na mazoea ya hapa na pale, siku kama mzaha tu tukakutana kiwanja walikua na party ya rafiki yao pale.

Nyomi ilivotoka akasogea tukaanza mbili tatu, nikamuagizia mhudum wa msosi amsikilize, kama utani tu mhudum alivoondoka akasema "Umejuaje, yaan nna njaa kweli" nikamwambia kiutani tu wewe shiba kabisa maana nnachoenda kukufanya usiku huu usiposhiba utanifia chumbani, akacheka akasema "habari zako ninazo ww mkaka" (kumbuka nlishatoka na rafiki yake).

Alikula kweli kweli na tukanywa, yan utani utani tushapanda gari yupo kwangu doggy. Nlimfumua hio siku hatorudia, baada ya hapo ikatokea nini sijui tukakorofishana na kutembezeana block.
 
Domozege ndio walle watu wakushinda na mademu either kitivo au wapiga story
 
But unajua nini , mostly mtu anahisi ela ndio kumtongoza mwanamke ila SIO ela the way you flow you date him and seems you love him siku mkalie juu yake ili ali reciporcate 70000 dah kweli fala
 
Back
Top Bottom