Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #61
Alikuona wa kawaida sana,masaa 3 unakula tu,kama mmoja nilikutana naye soda ya kwanza akamaliza,akaomba na ya pili,mimi nikaingia mitini
jamaa ananijua siku nyingi na huwa tunatoka mara kibaohah
ahahhhhahah katoka shamba huyo au msukuma kbs