Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe hutongozi?Dunia ya sa hv tunatongozana bado kwan?
wewe hutongozi?
Kuna wanaume kweli hawajui kutongoza
Kuna jamaa alikuwa ananionesha kabisa ananitaka ila ile kusema abc naona kama anakuwa muoga
Zikapita siku nyingi siku moja akaniambia wikend tutoke kuna jambo anataka kuniambia.Tukaenda mahali nikapiga msosi wa maana kama elf 70 hivi, ile bufee haikuwa ya nchi hii nilishinda pale masaa matatu nakula tu.
Baada ya kushiba nikamuuliaza ulikuwa unasemaje mkuu eti akaniambia alitaka kuniuliza nywele zangu nimesuka wapi na huo mtindo unaitwaje? hadi leo huwa namcheka sana. Nataka nimtongoze ndo namalizia kufanya upelelezi wangu wa mwisho kama anafaa kwa matumizi ya binadamu.
Wanaume mnachoogopa ni nini? Ningekuwa mwanaume mimi pasingetosha
ahahaaa naomba mashairi jamaninimecheka sana aic mis natafuta...yaan nimecheka saaaaanaaa lol.mi mwenyewe hubby hakunitongoza dir..lol..wish nningekuwaa boy ahahahahhhha na ninavyojua kuongea sasa na kupangilia maneno uwiiiiii...mi mwenzenu kila sehem hua napeenya aic yaan hua natumia hasa haiba niliyonayo kufan8kisha biashara zangu ...mie ndukiiiiii...safi sn
ahahaaa naomba mashairi jamani
Exactly brother!Rejection ndo inayowaogopesha watu
Alikuona wa kawaida sana,masaa 3 unakula tu,kama mmoja nilikutana naye soda ya kwanza akamaliza,akaomba na ya pili,mimi nikaingia mitini