Domo zege disease tukutane hapa

Domo zege disease tukutane hapa

Hahahahaha hahahahaha umenikumbusha mbali sana aisee shukrani miss natafuta
 
Dunia ya sa hv tunatongozana bado kwan?
 
Duh.... Hyo ndg zezeta kiwango cha lami ningkuwa mimi had papuchi ningeshakukula teh teh teh
 
Muhurumie bac mgagongane maana mpka saiv namhurumia jamaa
 
Ila kukataliwa c mchezo. Inauma ww acha tu, unamtongoza dem hlf anakukataa..anakutangazia kwa marafiki zake, na hapo ushampa credit za bure na bichwa juu Miss Natafuta
 
nimecheka sana aic mis natafuta...yaan nimecheka saaaaanaaa lol.mi mwenyewe hubby hakunitongoza dir..lol..wish nningekuwaa boy ahahahahhhha na ninavyojua kuongea sasa na kupangilia maneno uwiiiiii...mi mwenzenu kila sehem hua napeenya aic yaan hua natumia hasa haiba niliyonayo kufan8kisha biashara zangu ...mie ndukiiiiii...safi sn
 
Kuna wanaume kweli hawajui kutongoza

Kuna jamaa alikuwa ananionesha kabisa ananitaka ila ile kusema abc naona kama anakuwa muoga

Zikapita siku nyingi siku moja akaniambia wikend tutoke kuna jambo anataka kuniambia.Tukaenda mahali nikapiga msosi wa maana kama elf 70 hivi, ile bufee haikuwa ya nchi hii nilishinda pale masaa matatu nakula tu.

Baada ya kushiba nikamuuliaza ulikuwa unasemaje mkuu eti akaniambia alitaka kuniuliza nywele zangu nimesuka wapi na huo mtindo unaitwaje? hadi leo huwa namcheka sana. Nataka nimtongoze ndo namalizia kufanya upelelezi wangu wa mwisho kama anafaa kwa matumizi ya binadamu.

Wanaume mnachoogopa ni nini? Ningekuwa mwanaume mimi pasingetosha

Huyo ndio mwanaume safi wa kuwa mumeo maana akishakupata hatatongoza mwingine tena [emoji3]
 
nimecheka sana aic mis natafuta...yaan nimecheka saaaaanaaa lol.mi mwenyewe hubby hakunitongoza dir..lol..wish nningekuwaa boy ahahahahhhha na ninavyojua kuongea sasa na kupangilia maneno uwiiiiii...mi mwenzenu kila sehem hua napeenya aic yaan hua natumia hasa haiba niliyonayo kufan8kisha biashara zangu ...mie ndukiiiiii...safi sn
ahahaaa naomba mashairi jamani
 
kutongoza raha sana... starehe ya bure unaanzaje kuogopa kuitumia!!?
 
Alikuona wa kawaida sana,masaa 3 unakula tu,kama mmoja nilikutana naye soda ya kwanza akamaliza,akaomba na ya pili,mimi nikaingia mitini
 
hah
Alikuona wa kawaida sana,masaa 3 unakula tu,kama mmoja nilikutana naye soda ya kwanza akamaliza,akaomba na ya pili,mimi nikaingia mitini

ahahhhhahah katoka shamba huyo au msukuma kbs
 
Back
Top Bottom