Don Nalimison kufanya kolabo na Mwanamziki Anne Marie katika wimbo uitwao "America for Africanizing"

Don Nalimison kufanya kolabo na Mwanamziki Anne Marie katika wimbo uitwao "America for Africanizing"

Hivyo eeh? Jana nilikuwa napitia page ya G Malisa nilimuona kuna picha wamepiga na walikuwa wapo kwenye semina sijui mkutano

Yes itakua, manake anapenda sana Siasa toka mda ila kulikuwa na post nyingi sana za ajabu ajabu anabandika humu ambazo utajua tu kua saa ilianza kupoteza majira. Tafuta nyuzi zake za zamani akiwa anajiita Deo Kisandu.
 
Yes itakua, manake anapenda sana Siasa toka mda ila kulikuwa na post nyingi sana za ajabu ajabu anabandika humu ambazo utajua tu kua saa ilianza kupoteza majira. Tafuta nyuzi zake za zamani akiwa anajiita Deo Kisandu.
Alishakuwa mwanasiasa alishagombea ubunge kupitia CDM alihamia NCCR baadae afya yake ya akili haikuwa vizuri sana! Akafungwa gerezani miaka 3 kwa kosa la kimtandao ametoka tar 26 mwezi huu
 
Back
Top Bottom