Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo eeh? Jana nilikuwa napitia page ya G Malisa nilimuona kuna picha wamepiga na walikuwa wapo kwenye semina sijui mkutanoHamna saa imeanza kuludi nyuma mda mrefu sana
Hivyo eeh? Jana nilikuwa napitia page ya G Malisa nilimuona kuna picha wamepiga na walikuwa wapo kwenye semina sijui mkutano
Hahaha kwamba Daktari wa meno aje apate somoDaktari wa Meno uje na notebook hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana Mteni Nalimi Kisandu.. Wamefuta ile ndoto ya urais na kukuachia nundu kichwani.. Inasikitisha sana
hakimu mjinga sana yule
Deo bado anaumwaUlitaka kuanzisha chama cha siasa, imekuaje tena umehamia kwenye mziki?
Alishakuwa mwanasiasa alishagombea ubunge kupitia CDM alihamia NCCR baadae afya yake ya akili haikuwa vizuri sana! Akafungwa gerezani miaka 3 kwa kosa la kimtandao ametoka tar 26 mwezi huuYes itakua, manake anapenda sana Siasa toka mda ila kulikuwa na post nyingi sana za ajabu ajabu anabandika humu ambazo utajua tu kua saa ilianza kupoteza majira. Tafuta nyuzi zake za zamani akiwa anajiita Deo Kisandu.
Anahitaji Mtaalam wala sio wa kufungwaDeo bado anaumwa
Kitu cha msingi sana hiki.Wangekupima akili kabla ya kukufunga naamini usingetumikia hicho kifungo,
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app