Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa normal wapi huyu ni expert wa milembe kitambo tuHivi ni nini kilimpata huyu mwamba? Si alikuwa normal tu?
HahaaNa huyu anatumiaje simu kama hali yake sio nzuri jamani tumsaidie hali isije ikawa mbaya zaidi
HahaaJamaa huyu yuko safi tu nyie ndio vichaa saivi kaamua kuimba kwani kosa??
Au mnataka arudi kule kwa mwanzo?
HahahaaHakimu mpumbavu sana, huyu jamaa nichizi by nature. Ilikuwa nikumpeleka Hospital kwanza.
Hivi kumbe alifungwa ..daahh alipost matusi hayo fb .. Sio ya nchi hii huyu Jamaa hayuko sawa ... Uchizi wake ni wa next level chizi hasau password wala email ...hahaha mamaeee uchizi mpya huu new model kabisa dunianiAlishakuwa mwanasiasa alishagombea ubunge kupitia CDM alihamia NCCR baadae afya yake ya akili haikuwa vizuri sana! Akafungwa gerezani miaka 3 kwa kosa la kimtandao ametoka tar 26 mwezi huu
Hahaa hhahahaDoooh Nalimison uko vizuri.... Sema gari ndio limewaka, likichanganyia Brake ni Kamprimposhi
Toka nimfahamu huyu bwana humu ndani sijawahi kuona siku akiwa normal kabisa 😂😂Hivi ni nini kilimpata huyu mwamba? Si alikuwa normal tu?
Alikuwa normal wapi huyu ni expert wa milembe kitambo tu
KumbeToka nimfahamu huyu bwana humu ndani sijawahi kuona siku akiwa normal kabisa [emoji23][emoji23]
Kuna kipindi zinakuja alafu zinapotea mazima, huyu ndio Bw. Deo kisandu almaarufu kama Don Nalimison.Kumbe