Don Nalimison kufanya kolabo na Mwanamziki Anne Marie katika wimbo uitwao "America for Africanizing"

Don Nalimison kufanya kolabo na Mwanamziki Anne Marie katika wimbo uitwao "America for Africanizing"

Haahhaa milembe kumbe kazi ipo hahah
 
Hahahahahahaha hahahahahah magereza njooni mumchukue mtu wenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alishakuwa mwanasiasa alishagombea ubunge kupitia CDM alihamia NCCR baadae afya yake ya akili haikuwa vizuri sana! Akafungwa gerezani miaka 3 kwa kosa la kimtandao ametoka tar 26 mwezi huu
Hivi kumbe alifungwa ..daahh alipost matusi hayo fb .. Sio ya nchi hii huyu Jamaa hayuko sawa ... Uchizi wake ni wa next level chizi hasau password wala email ...hahaha mamaeee uchizi mpya huu new model kabisa duniani
 
mtemi nalimison[emoji23][emoji23]
20200704_105240.jpg
 
Back
Top Bottom