Don Williams V/S Kenny Rogers

Don Williams V/S Kenny Rogers

I Luv Country Music!

Last time nilikuona Kenny Rogers kwa live concert yako 2010 ulikuwa umeanza kuugua but your music that Night siwezi kusahau.

Pumzika kwa Amani! Mungu na Malaika wakulinde huko uliko

So sad!
 
So true hata mimi nimekwama hapa

Don Williams-I believe in you,Listen to the radio,your my best friend,Some broken hearts never mend,senorita....and the list goes on

Kenny Rogers-The Coward of the County,Day time Friends,Gambler,Lucile and the list goes on
Miamba yote hatunayo kwa Sasa, Don and Kenny muziki wao ulikuwa mkubwa sana
 
I Luv Country Music!

Last time nilikuona Kenny Rogers kwa live concert yako 2010 ulikuwa umeanza kuugua but your music that Night siwezi kusahau.

Pumzika kwa Amani! Mungu na Malaika wakulinde huko uliko

So sad!
Bila Shaka ulikuwa na wakati mzuri sana.... Hongera sana
 
So true hata mimi nimekwama hapa

Don Williams-I believe in you,Listen to the radio,your my best friend,Some broken hearts never mend,senorita....and the list goes on

Kenny Rogers-The Coward of the County,Day time Friends,Gambler,Lucile and the list goes on
Rip kenny.... Ila Don daah playlist yake haichoshi... Your my best friend, amanda, some broken heart never mend.. Heshima kwake
 
R.I.P all legends...u made me love country music....ur music will live forever....and ur names wont be forgoten.....

Kingereza kigumu...nimejikaza kuandika mpaka tumbo linauma....
 
Nadhani hujaingia deep kwenye nyimbo za Kenny G, ana nyimbo za hatari sana.

Love or something like that, wimbo konyo sana huu.
Loving arms sijui kama unajua.
Island of the stream
She believes in me
Unaufahamu wimbo unitwa Ruby?? Mi nawapa 50 kwa 50, Kenny G hajawahi niangusha wala Don Wi. Wote walijua wafanyacho

Sijataja zile popular hapa
kenny g ni mtu mwingune kbsa tofauti na kenny rogers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 825894View attachment 825896
Napenda muziki. Kuanzia reggae, blues, kwaito, hip hop, zouk hadi rhumba kote huko nimepita ila ladha ninayoipata nisikilizapo muziki wa country sijawahi kuipata kwenye muziki mwingine wowote ule. Akili, ubunifu, juhudi, maarifa na utulivu unaotumika katika kuandaa nyimbo za country huzifanya ziwe na upekee wenye kusuuza nafsi na roho lakini pia kuipa akili fursa ya kutafakari na kuchanganua mambo katika upeo wa juu zaidi.

Leo nimemkumbuka gwiji wa muziki huo, hayati Don William. Ile sauti, lile gitaa, yale mashairi huwezi kuvipata popote pale zaidi ya kwenye muziki wa Don William. Nimepitia rekodi zake kuanzia Desperately, I am in love, We got love halafu nikamalizia na I believe in you, hakika sijajutia kuwa shabiki wa huyu jamaa. Kabla sijamvisha taji la ufalme wa muziki wa country masikio yangu yakasikia mdundo murua ikabidi nisubiri kidogo, ulikuwa ni wimbo uliopangiliwa vyema, kila chombo kikisikika kwa uzuri kutoka kwake Kenny Roggers ngoma ikiitwa gambler. halafu ukafuata mfululizo wa nyimbo kutoka kwa fundi huyo kutoka Texas, nikaisikiliza coward of the county kisha Luccile halafu we have got tonight, nikamalizia na lady. Kila kitu kilikuwa sawa sawa yaani very perfect.

Hawa jamaa wawili wana mchango mkubwa katika muziki wa country ila nimeshindwa kujua nani nimpe taji la ufalme wa muziki huu maridadi. Haya wakongwa niambieni nani funsi zaidi ya mwenzake baina ya hawa manguli wawili.

Kama ulikuwa hujui; Wimbo maarufu wa I will always love you kwa mara ya kwanza ulitungwa na kuimbwa na mwanamama Dolly Parton ukiwa katika mahadhi ya country mwaka 1974 ndipo ukaja kurudiwa na mwanamama Witney Houston mwaka 1992. najua Witney aliweka nguvu kubwa sana katika matumizi ya sauti ila ukitaka kuona hisia zinazopaswa kuwekwa kwenye huo wimbo msikilize Dolly Parton.

CC
Copenhagen DN Heci Consigliere mng'ato elmagnifico Mr Miller Nahirat
MBITIYAZA ArD67 Inanambo kilambimkwidu kiumbe kipya bombei_safaya Shepherd kidadari Kyalow
My dear Fan mwenzangu wa Country Music, Kilio tena Kenny naye katutoka. Nimeumia Sana kwakuwa nilimpenda na Music zake hasa Lucille, na Lady. Hakika Music zao zinaburudisha. Leo Nimepitia mashairi ya Lucille nikamhurumia mumewe Lucy alivyokuwa anamwambia You picked fine time to leave me Lucille. Kenny akayakumbuka hayo maneno akaacha kumfukuzia Lucille. Anyway walale Kwa Amani Wazee wetu.
 
View attachment 825894View attachment 825896
Napenda muziki. Kuanzia reggae, blues, kwaito, hip hop, zouk hadi rhumba kote huko nimepita ila ladha ninayoipata nisikilizapo muziki wa country sijawahi kuipata kwenye muziki mwingine wowote ule. Akili, ubunifu, juhudi, maarifa na utulivu unaotumika katika kuandaa nyimbo za country huzifanya ziwe na upekee wenye kusuuza nafsi na roho lakini pia kuipa akili fursa ya kutafakari na kuchanganua mambo katika upeo wa juu zaidi.

Leo nimemkumbuka gwiji wa muziki huo, hayati Don William. Ile sauti, lile gitaa, yale mashairi huwezi kuvipata popote pale zaidi ya kwenye muziki wa Don William. Nimepitia rekodi zake kuanzia Desperately, I am in love, We got love halafu nikamalizia na I believe in you, hakika sijajutia kuwa shabiki wa huyu jamaa. Kabla sijamvisha taji la ufalme wa muziki wa country masikio yangu yakasikia mdundo murua ikabidi nisubiri kidogo, ulikuwa ni wimbo uliopangiliwa vyema, kila chombo kikisikika kwa uzuri kutoka kwake Kenny Roggers ngoma ikiitwa gambler. halafu ukafuata mfululizo wa nyimbo kutoka kwa fundi huyo kutoka Texas, nikaisikiliza coward of the county kisha Luccile halafu we have got tonight, nikamalizia na lady. Kila kitu kilikuwa sawa sawa yaani very perfect.

Hawa jamaa wawili wana mchango mkubwa katika muziki wa country ila nimeshindwa kujua nani nimpe taji la ufalme wa muziki huu maridadi. Haya wakongwa niambieni nani funsi zaidi ya mwenzake baina ya hawa manguli wawili.

Kama ulikuwa hujui; Wimbo maarufu wa I will always love you kwa mara ya kwanza ulitungwa na kuimbwa na mwanamama Dolly Parton ukiwa katika mahadhi ya country mwaka 1974 ndipo ukaja kurudiwa na mwanamama Witney Houston mwaka 1992. najua Witney aliweka nguvu kubwa sana katika matumizi ya sauti ila ukitaka kuona hisia zinazopaswa kuwekwa kwenye huo wimbo msikilize Dolly Parton.

CC
Copenhagen DN Heci Consigliere mng'ato elmagnifico Mr Miller Nahirat
MBITIYAZA ArD67 Inanambo kilambimkwidu kiumbe kipya bombei_safaya Shepherd kidadari Kyalow
Yupo mwingine nampenda kinoma. Anaitwa Allan Jackson. Anachangia ya Country na Gospel. Yuko Vizuri naye mno. Hawa watu kwakweli wanajua kuimba.
 
Kenny Rogers aiseeee... Why? Because ever since I was a kid. Someone really close to me, who paid my fees, kanilisha and even kanipeleka nje kula bata tu, used to play only Kenny Roger's songs in his Land Cruiser 🤣[emoji23]

This is what made me love Kenny Rogers. Unajua sometimes hata kama hupendi singeli, ila mama yako akiwa anapiga nyimbo za msagasumu daily. Itakuja miaka utazipenda tu. Because it reminds you of your mom.

Don Williams is a great singer, but Kenny Rogers gets my vote here. Hivi kwanza mmeusikia 'Buy me a rose'??? I wish all women were like this. Au 'Loving arms'??? And the famous 'Gambler'? All songs touch my life and am sure yours too-whoever is reading this.

-callmeGhost
Yaani maisha yako ndo yawe standard ya kipimo ,what a selfish pig
 
So true hata mimi nimekwama hapa

Don Williams-I believe in you,Listen to the radio,your my best friend,Some broken hearts never mend,senorita....and the list goes on

Kenny Rogers-The Coward of the County,Day time Friends,Gambler,Lucile and the list goes on
Don williams ni habari ingine,kenny rogers anasubiri sema don alifariki mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beti tesha karibu kwa kura yako nisipo mpa kura yangu Don willium sijisikii
 
Back
Top Bottom