Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Bora kashinda trump
 
Sema wewe hutamchagua. Mimi nitamchagua Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan. Kwa nini? Kazi alizofanya ni uthibitisho kujadili jinsia ktk uongozi ni primitive nonsense. Muhimu ni merits na Mhe. Samia anazo za juu.🙏🙏🙏
 
Taifa kubwa kama Marekani si rahisi kuongozwa na mwanamama ni nchi zetu hizi tu ndo zinaongozwa na akina mama sababu hazina impact yoyote ulimwenguni.
 
Tunaishukuru sana serikali ya mama kwa kufanikisha hili la nchi kubwa kukataa kuongozwa na mwanamke!
 
Urafiki lazima kuna tabia zinafanan Trump hapendi upumbavu lazima atamwambia mshikaji wake Putin rudisha majimbo ya Ukrein vita inaisha
Yale majimbo kurudi ni ndoto za Alinacha, mkuu. Labda mrudishe gharama zooote ambazo Russia imetumia tangu kuanza kwa SMO, jumlisha vikwazo, jumlisha vilema na vifo, pamoja na hasara za kibiashara na kiuchumi na kashfa mbaya dhidi yake.

Hapo bado sijataja ile Nord Stream II ambayo Marekani aliilipua kisha akamsakazia Putin. Bado hasara za wabia wa Urusi kama bosi wa Chelsea na klabu yake. Mabenki? Makampuni?

Kifupi, kama Google tu imetozwa faini ya dola desilioni 20 (sifuri 33!), unadhani Marekani inaweza kutozwa fidia kiasi gani kwenye hili?
 
Huyo amekurupuka usingizini, arudi kulala.

Trump atamwambia Putin abaki na alichomega, huku kichaa Zele akae kwa kutulia vita isitishwe (Isitishwe kwa maana Putin lazima atakuja kuiendeleza au vizazi vijavyo hadi lengo lao litimie)
 
Tunazingatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…