Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Hakuna urafiki wala nini.

Hayo mambo ya urafiki yako overblown na ni copium ya walioshindwa.

Putin hana influence yotote ile kwa Marekani.

Wanadikiri urais wa marekan kamamhuku kwetu rais ndio anaamua kila akitakalo... kuna mambo yanaangukia kwenyw national security hayawezi kuwa comprimised .

Ndio putin na trump wanaweza kucheza dili za chini ya kapeti ku undeemine upande pro ukraine, after all, they are simply human beings. Ila Haitakuwa kama Africa rais kuja na maelekezo
 
Wanadikiri urais wa marekan kamamhuku kwetu rais ndio anaamua kila akitakalo... kuna mambo yanaangukia kwenyw national security hayawezi kuwa comprimised .

Ndio putin na trump wanaweza kucheza dili za chini ya kapeti ku undeemine upande pro ukraine, after all, they are simply human beings. Ila Haitakuwa kama Africa rais kuja na maelekezo
A cordial relationship is not a friendship.

Trump and Putin are cordial with each other.
 
Zelensky alishasema hatakubali cease fire yoyote itakayoachwa majimbo yake kwa urusi sasa hapo sijui Trump anamaliza vipi mzozo
Ungewajua wanaomsaidia Zelensky toka vita vianze wala usingeuliza hili swali.

Akikatiwa misaada tu kwisha habari yake,Russia anapigana na NATO na sio Ukraine peke yake tambua hilo.
 
Zelensky alishasema hatakubali cease fire yoyote itakayoachwa majimbo yake kwa urusi sasa hapo sijui Trump anamaliza vipi mzozo
Sidhanii kama trumpet anania ya kumaliza vita ila kama anania kweli ni jambo jepesi sana marekani kama akikata msaada kwa ukraine sidhanii kama kuna taifa hapa duniani linaweza kuziba hilo gape ataloliacha americant ila ngoja tuone sina Imani na rahisi yeyote awaye wa us hasa kwenye suala la vita
 
Imetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya Habari

=====

Rais wa zamani Donald Trump kutoka chama cha Republican, ameshinda Uchaguzi wa Marekani.
View attachment 3144969
Chanzo: Spectator Index

Donald Trump ameoa mara tatu, Ivana na Marla Maples, mke wa kwanza na wa pili mtawalia ambao wote ametalikiana nao. Mke wake wa sasa ni Bi Melania.

Bwana Trump ana watoto watoto watano, watatu wa kiume Donald Trump Jr, Eric, Barron na watoto wawili wa kike Ivanka na Tiffany.

Rais huyo wa Zamani wa Marekani alizaliwa Juni 14 mwaka wa 1946, mjini New York, akiwa mtoto wa tano kati ya watoto sita.

Babake Fred alikuwa tajiri aliyemilki majumba na babu zake Trump walikua wahamiaji kutoka Ujerumani.

Mamake Mary alikuwa mzaliwa wa Scotland.
View attachment 3144983
Tangu utotoni, Trump alikuwa mtundu na wazazi wake walimpeleka shule ya msingi iliyofadhiliwa na jeshi mjini New York.

Baadaye alifuzu kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania, kitivo cha elimu ya biashara mwaka wa 1968.

Alifanya kazi katika kampuni ya babake ambaye aliendesha biashara ya kuuza nyumba kwa raia wa kipato cha kadiri, viungani mwa New York.

Hata hivyo Donald Trump alikuwa na ndoto ya kufanya biashara nje ya makaazi ya Queens na Brooklyn.

Aliwekeza katika biashara kubwa ya ujenzi na kuweza kujenga mojawapo ya mijengo ya kifahari zaidi nchini Marekani. Alifanikiwa kutokana na sera ya kiuchumi iliyowekwa na utawala wa Reagan miaka wa 1980.

Yapo mahoteli, viwanja vya mchezo wa gofu, makazi ya kifahari, majumba ya kamari kutoka Carlifonia hadi Mumbai nembo yake ikiwa ni Trump.

Ameandika Riwaya kadhaa kuhusu biashara, huku umaarufu wake uking'aa zaidi katika makala yanayoelezea maisha halisi, "The Apprentice," katika runinga ya NBC. Hata hivyo alitupwa nje ya makala hayo baada ya kutoa kauli zilizowakera raia wa Mexico.

Leo safi sana, babu mawigi kashinda!!!!! Mama kakimbilia kujificha ata makao makuu ya chama hajaonekana. Pengine ataenda baadaye....
 
Sio kwamba natabiri
Ndio ameshashinda ivyo
We unalala tu unasubiria BBC na CNN wakutangazie

Haiya
Looking forward kwa miaka 4 ijayo na mwamba Trump


 
Chombo gani wewe hapo BBC,CNN na aljazeera wanasema ameshinda majimbo mawili makubwa bado mengine wewe jamaa muongo sana

USSR
Majimbo yaliyobaki ni vigumu sana Mpinzani wake kushinda. Kwa Trump ni mserereko. Ni sawa na kusema Yanga kesho itapoteza mechi kati yake na Nyuki Fc.
 
Back
Top Bottom