Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Unaichukuliaje iran?!
Iran sio tishio Akiwa nje ya Urusi.
Hana tofauti na nchi zingine za middle East.
Ni middle weight
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaichukuliaje iran?!
Unajidanganya mkuu!! Trump anaijua IranIran sio tishio Akiwa nje ya Urusi.
Hana tofauti na nchi zingine za middle East.
Ni middle weight
Unajidanganya mkuu!! Trump anaijua Iran
Nchi 100, duh..Siyo kwamba walitumia busara? Maana wangejiendea kichwa kichwa, wangemwagiwa tindikali ya Mrusi na kuguyuguzwa kwenye makombora yasiyo na majina.
Mkuu, usimdharau Mrusi hata kidogo. Jamaa ameweza kuikabili NATO yote (nchi karibu 100 kwa pamoja) bila mwenyewe kutikisika! Hilo huoni?
Hata Marekani yenyewe inashangaa jinsi Russia ilivyo imara mpaka sasa, na tena uchumi wake ukistawi kuliko kabla ya vita, na zaidi ya kiwango cha ukuaji wa uchumi wa Ulaya na Marekani kwa pamoja.
Unasemaje sasa kwamba angemalizwa kitambo - wakati awali ndipo alikuwa bado hajachomoa hata silaha moja?
Unachotakiwa kutambua ni kwamba Marekani na NATO safari hii wameshikwa pabaya, na aibu hii wataisimulia karne na karne. Heri mara mia hata ile ya Vietnam, Kyuba, na juzijuzi hapa kule Afghanistani.
Kubalini kwamba supapawa wenu ndiye wa mchongo!
Umesema, Ilikuwa ni makosa makubwa kusikiliza vitisho vya Putin mwanzo wa vita, kwa hiyo unamaanisha supapawa wenu anamwogopa nani sasa? Mbona?!
ina maana huwajui makobazi? Ni watoto wa mama mdogoMakobazi ndo wakina nani mkuu?
Huyu kavurugwa kweliMzee kavurugwa huyu hataki kusikia mambo ya vita
Ndio wanapendelea ivo viatu cjui miguu yao ina joto sanaMakobazi ni kutokana na wanavyovyaa?
Anaonekana kuwa mtu wa matamko sanaMzee nilikuwa namkubali ila kadri muda unavyoenda naona anazingua
Bado utawala wa magaidi wa Iran nao udondoshweWakuu,
Muda mfupi baada ya kuwepo kwa taarfa kuwa Bashar Al Assad amekimbia nchi na kwenda kusikojulikana, Rais mteule wa Marekani Donald Trump ametoa tamko
Trump amesema kuwa moja ya sabu ya Assad kuanguka ni kwa sababu hakupata msaada kutoka kwa Urusi na kuongeza kuwa ni muda muafaka sasa kwa Putin na Zelensky kukaa chini kumaliza tofauti zao
======================================================
Assad is gone. He has fled his country.His protector, Russia, Russia, Russia, led by Vladimir Putin, was not interested in protecting him any longer.
There was no reason for Russia to be there in the first place .They lost all interest in Syria because of Ukraine, where close to 600,000 Russian soldiers lay wounded or dead, in a war that should never have started, and could go on forever.
Russia and Iran are in a weakened state right now, one because of Ukraine and a bad economy, the other because of Israel and its fighting success.
Likewise, Zelenskyy and Ukraine would like to make a deal and stop the madness. They have ridiculously lost 400,000 soldiers, and many more civilians.
There should be an immediate ceasefire and negotiations should begin.
Too many lives are being so needlessly wasted, too many families destroyed, and if it keeps going, it can turn into something much bigger, and far worse.I know Vladimir well.
This is his time to act. China can help. The World is waiting!”
Wewe na we ni wale wajinga tu, ni lini pia Russia aliipiga USA?Mkuu, wewe ungeweza kupambana na ukuta wa zege la Mjerumani? Anachoweza kufanya Marekani ni kumbwekea tu kama mbwakoko.
Suala la kumbutua, hilo sahau kabisa. Kama ingewekana, JB na utawala wake wangeshafanya miaka 3 iliyopita. Lakini wanajua matokeo yake ni mabaya kuliko kumwacha ajiendee atakavyo.
Kwa bahati nzuri Putin anakuwaga na hesabu nzuri mno - anamwona Mmarekani anakoelekea kabla hata Beberu hajaanza kufanya maandalizi ya kuondoka.
Ni suala la muda tu, Ukreni inaenda kuwa chakula cha jioni cha Urusi - ama kwa maridhiano au makabiliano.
Marekani ni Taifa la kinafiki sana. Yeye na mdogo wake Israel wameshiriki kumuondoa Assad ili tu kuwakomoa Iran na Urusi!! Na wakati huo huo wamesahau huyo kibaraka wao waliymuunga mkono, aliwahi kuwa mwanachama mtiifu wa mtandao maarufu wa kigaidi, wa Al Qaida.
Kwa mawazo yako mgando unajua Bashar al Assad ni muislam..hebu acha uvivu wa kusoma..waraka wa Papa Francis tuu mpk sahv hujausomaKakimbia nchi!! Bora uzima
Makubazi oyeeeee
All the best