Donald Trump ataingia White House 2025

Donald Trump ataingia White House 2025

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Uebert Angel ameshamtabiria ushindi.

Kwa wanaomfahamu Uebert Angel, amekuwa na Historia ya tabiri zake kutimia. Baadhi ya mambo aliyotabiri na yakatimia ni pamoja na:
1. Kifo cha Malkia Elizabeth

2. Uchaguzi wa Kenya uliompa Ruto ushindi

3. Machafuko nchini Kenya

4. Uchaguzi nchini Nigeria

Na mengine mengi!

Kuhusu Trump, amesema kuwa kuna watu waliopanga kumkwamisha lakini hawatafanikiwa kwa sababu Mungu ameshampa Trump ushindi. Kwa lugha nyingine, Joe Biden ni msindikizaji tu. Rais wa Marekani ni Donald Trump.

Asiyeamini asubirie uchaguzi ufanyike halafu aurejee tena huu uzi!

Trump ni Rais wa Marekani 2025 - 2028.

 
Kwa nini unamuanini GoldMafia?
Hilo la GoldMafia silifahamu!

Ila najua kuna tabiri nyingi za matukio mbalimbali alishawahi kuyatoa na yakatimia. Wewe utaacha kuamini kisemwacho na mtu kama huyo?

Rais ajaye wa Marekani ni Donald Trump!
 
1720935716772.png

... Kennedy yeye ilipigangwa risasi vile yeye alichokozanga Papa Doc kwa ndani ya Haiti ... vile Ruto naye kayakoroganga Haiti mwaka huu!
... chezea Baron Samedi ulambwe na VOODOO!
😅
 
Uebert Angel ameshamtabiria ushindi.

Kwa wanaomfahamu Uebert Angel, amekuwa na Historia ya tabiri zake kutimia. Baadhi ya mambo aliyotabiri na yakatimia ni pamoja na:
1. Kifo cha Malkia Elizabeth

2. Uchaguzi wa Kenya uliompa Ruto ushindi

3. Machafuko nchini Kenya

4. Uchaguzi nchini Nigeria

Na mengine mengi!

Kuhusu Trump, amesema kuwa kuna watu waliopanga kumkwamisha lakini hawatafanikiwa kwa sababu Mungu ameshampa Trump ushindi. Kwa lugha nyingine, Joe Biden ni msindikizaji tu. Rais wa Marekani ni Donald Trump.

Asiyeamini asubirie uchaguzi ufanyike halafu aurejee tena huu uzi!

Trump ni Rais wa Marekani 2025 - 2028.

View attachment 3041965
Tutarejea huu uzi Novemba
 
Back
Top Bottom