Donald Trump: I Will Lock Mugabe, Museveni in Prison

Donald Trump: I Will Lock Mugabe, Museveni in Prison

Status
Not open for further replies.
ha haha mugabe kifo ndiyo kitamtenganisha............. tabasamu la trump me hoi
 
Huyu jamaa ana kauli za kusisimua sana ,

Hasa kwa watu waliotamauka na hali ya mambo kwenye nchi zao.
 
1478720159614.jpg
 
Kuna ukweli!

Ila jamaa mchokozi ....

Hivi anajua kwamba kichaa kakabidhiwa remote ya mochwari!

Atatabonyeza ....
 
Wana JF,
Jana nilitupia uzi hapa nikielezea kuwa Donald Trump kuzishughukiavUganda na Zimbabwe akiwabRais. Lskini nadikitika MOD 4 aliiondoa thread hiyo kuwa ni ya uongo. Nimesikitika sana kwasababu ni habari iko kwenye mtandao wa Uganga and Zimbabwe news.

Nimeamua kuileta habari hii tena kama ilivyo nikiambatanisha na mtandao wa zimeye.net habari za Kimataifa. Twende kazi!

International | ZimEye

Hii habari unaweza kuipata kwenye ZimEye ikiwa na kichwa cha habari: US: I Will Lock Mugabe,Museveni in Prison-Donald Trump I ZimEye.

Katika thread hiyo jana nilijaribu kuoanisha mawazo ya Trump kuwatimua kina Mugabe, Museveni na Serikali zao na Vyama kongwe barani Africa ambavyo havitaki kubadilisha tawala kama ilivyo kwa CCM(TANU/ASP) kwa kung'ang'ania madarakani! Kwamba kama Trump atawatimua Mugabe na Museveni kwa utawala wa miaka mingi usio wa Kidemokrasia basi hata CCM nao watimuliwe maana hawana tofauti na Mugabe na Museveni.
 
mkuu unaharaka ya wapi hebu edit maneno vizur

sababu mod hawawez utoa huu uzi tena
 
Uzushi mtupu.

We Nyani,
Unadhihirisha unyani wako! Unajua maana ya Uzushi? Hizi habari ni za kweli na wavuti iko hapo kuonyesha matamko ya Trump.
Najua wewe ni CCM kindakindaki! Safari hii kwa Trump CCM mtakaa tu hakuna jinsi!
 
Wana JF,
Jana nilitupia uzi hapa nikielezea kuwa Donald Trump kuzishughukiavUganda na Zimbabwe akiwabRais. Lskini nadikitika MOD 4 aliiondoa thread hiyo kuwa ni ya uongo. Nimesikitika sana kwasababu ni habari iko kwenye mtandao wa Uganga and Zimbabwe news.

Nimeamua kuileta habari hii tena kama ilivyo nikiambatanisha na mtandao wa zimeye.net habari za Kimataifa. Twende kazi!

International | ZimEye

Hii habari unaweza kuipata kwenye ZimEye ikiwa na kichwa cha habari: US: I Will Lock Mugabe,Museveni in Prison-Donald Trump I ZimEye.

Katika thread hiyo jana nilijaribu kuoanisha mawazo ya Trump kuwatimua kina Mugabe, Museveni na Serikali zao na Vyama kongwe barani Africa ambavyo havitaki kubadilisha tawala kama ilivyo kwa CCM(TANU/ASP) kwa kung'ang'ania madarakani! Kwamba kama Trump atawatimua Mugabe na Museveni kwa utawala wa miaka mingi usio wa Kidemokrasia basi hata CCM nao watimuliwe maana hawana tofauti na Mugabe na Museveni.
Usiendeshwe na matamanio ya nafsi,yakiwa kinyume unaweza kupata msongo wa mawazo mwishowe utapata shambulio la moyo
 
Usiendeshwe na matamanio ya nafsi,yakiwa kinyume unaweza kupata msongo wa mawazo mwishowe utapata shambulio la moyo

kabombe, utanifanya nikuite Kapombe Magufuli!!!
Unajua maana ya matamanio??? Hii habari ni kweli na mimi nakubaliana na Trump kuwa sasa ni wakti wa Serikali za Kiafrika na vyama vyao KUHESHIMU UTAWALA WA KIDEMOKRASIA! Haiwezekani tangu tupate UHURU chama Twawala ni hichohicho na viongozi ni walewale wanafanya kupokezana vijiti kana kwamba nchi hii ni mali yao!

Trump anataka kupeleka ujumbe kwa Tawala za Kiafrika kuwa Utawala bora na Demokrasia ya kweli ni kupokezana Utawala Kivyama kama ilivyo Marekani! DEMOCRATIC wameongoza 8 years imetosha. Sasa ni zamu ya REPUBLICANS kuongoza kwa miaka 4, wakichemka baada ya 4 years watatolewa White House kwa KURA kiulaini tu hakuna KUIBA KURA, KUCHAKACHUA wala kutumia POLISI NA MAJESHI kubakia Ikulu kama CCM!
 
Huku mtaani nacheka sana kukutana na wabongo wasisitiavyo jambo kuhusu Trump kama kweli vile, nchi hii ina safari ndefu sana kupiga hatua.
 
We Nyani,
Unadhihirisha unyani wako! Unajua maana ya Uzushi? Hizi habari ni za kweli na wavuti iko hapo kuonyesha matamko ya Trump.
Najua wewe ni CCM kindakindaki! Safari hii kwa Trump CCM mtakaa tu hakuna jinsi!

Huo ni uzushi, uongo mtupu.

Donald Trump hajawahi kusema hayo maneno.
 
Kwahiyo hata kama chama hakijashinda kipewe tu ushindi kisa et kubadilisha chama? Au unamaanisha nn MKUU
 
Huo ni uzushi, uongo mtupu.

Donald Trump hajawahi kusema hayo maneno.

Kweli nimeamini wewe ni nyani!
Tangu lini nyani akaelewa lugha za binadamu???
Pole sana bwana nyani, nafikiri wakti wa kuhamia porini umewadia!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom