Donald Trump ni Rafiki wa kweli wa Afrika, wajinga na wanufaika wa misaada pekee watalaumu maamuzi yake

Tunaotumia tupo tayari kusacrifice maisha yetu kwa ajili ya wengi watakaobaki bora sisi tulionao tuondoke tuwaache wazima waendelee kuijenga nchi africa ina population over 1.5 billion na tunaoumwa aproximately kama 30 million sasa ni bora tuishe tuiache Africa ikiwa safi

Over
 
Balozi wa Marekani alipoonya kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na serikali ya CCM Samia alitoa majibu ya kifedhuli sana,sasa Trump naye amechoka kuwasaidia watu wasiokuwa na utu hata kwa Raia wao kama ifanyavyo serikali ya CCM kwa wapinzani.
 
Hapa aliingilia uhuru wetu
 
Mwamba Magufuli alikuwa anayasema hayahaya mkamlaumu hadi kumuapia kwa Mama zenu. Sasa anaongea Trump kwakuwa ni mzungu mnamsifia. Kwakweli Miafrika ndivyo tulivyo!!!
 
Mtu ambae analaumu sera za kuajiri watu kama mbilikimo kwake ni shida; na kusema ndio chanzo cha ajali ya ndege Washington kwako ni shujaa huyo.
 
Hakuna fair trade,walishatuibia sana, hawatupagi misaada Bure huwa wanatuzidi kimagendo nahilo halitokoma kwakuwa trumpet ni Rais uchwara!
Dunia hii UKIFANIKIWA ni wajibu kusaodia wenzio wainuke hiyo siyo ombi...
kitachotokea Marekani itapoteza usupa pawa na ushawishi duniani na nchi kama china,Japan zitaibuka na kuipiku.
Trump ninamsifu Kwa kukataa ufirauni tuu lkn maneno mengine yooote huyu ni mbaguzi,mropokaji,kabaila lenyeroho mbaya mnaosifu hamjui mnachosifu hasa nikitu gani
 
Mwamba Magufuli alikuwa anayasema hayahaya mkamlaumu hadi kumuapia kwa Mama zenu. Sasa anaongea Trump kwakuwa ni mzungu mnamsifia. Kwakweli Miafrika ndivyo tulivyo!!!
Jiwe alikuwa kichaa, hata yeye aliwahi kujiita hivyo
 
Walichotuzidi wazungu wanao ongoza nchi zao upande wa (civil services) those candidates paid attention at school.

Sio kila mwenye shahada; yeyote (Bachelor, Masters or Doctorate/Phd is clever). It’s easier to gain these qualifications but it takes a lot of independent reading to acquire expertise knowledge.

Wazungu wanajua hilo ndio maana wanamtindo wao wa kuandaa civil servants; watu muhimu kwenye administration zao za serikali (they don’t jock on that front).

Tanzania bado sana, to be clever kwa level za wazungu you have to read a lot and be able to remember a lot to formulate a logical stance/expertise on the subject.

Wazungu wanasoma bwana sio mzaha; kama unaelewa ugumu wa kuwa eclectic kama wataalamu wao
wanapodadavua (your just left with awe).

It’s not easy at all, jamaa wanasoma sio mzaha.
 
Wakati mnaibiwa nyie mlikuwa wapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…