Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Mzee unavunjikaje moyo sasa kwa vitu vya aina hiyo?
Mimi nimepata Scholarship ambayo wanufaika ni 10 tuu..!! Na Mimi ni wa kawaida sana mzee.
Hapo sawa wanufaika ni 12, lakini mind u kwanza wameweka restriction ya nchi; there is only a couple of countries ambazo watu wanaweza Ku apply (including Tanzania), na pia kuna kitu ambacho huwa hawakisemi ni Kwamba kuna a minimum namba ya applicants they will have to select from Tz provided Kwamba kuna good quality applicants from Tz.
Shida yetu Watanzania ni watu wa kukata tamaa sana, yaani sio wapambanaji kabisa hii huwa inatucost mno!
Wewe apply kijana kwa hii kitu, if u need assistance Mimi naweza kukushika mkono through the application process, kuku guide nini cha kuandika in ur essays, how to write it and even reviewing ur essays to make sure they are competitive, free of charge!! (SITAKUOMBA HATA SHILINGI MIA YAKO).
What do u have to lose?
Maxmax72
Mkuu zikipatikana Masters za Marine utanipa taarifa. Kama za UK naona hawaweki kabisa za Marine na wao ndio best Kwa tasnia ya marine.
Uholanzi nao hawatoi,Malta na World Maritime University-Sweden wao kupata Schoralship mpaka upelekwe na serikali yako au mwajiri au taasisi.
 
Kuna scholarship kutoka ubalozi wa Ufaransa pia, Ni mpya flani hivi so watu wengi hawajazigundua unaweza jaribu bahati yako kama unakidhi vigezo.
Mzee tupeane connection!! Link naiomba
 
Mbona kuna jamaa aliweka hizi nyingi tu au madhani kuna za konektion kibongobongo
pambaneni hizi hapa kama mna vigezo


Na nyinyi jaribuni bahati zenu kwa kuomba scholarships nje..

Tanzania (Chevening Scholarship) | Chevening
Tanzania - University of Liverpool
Tanzania | University of South Wales
Your country
International Scholarships for Students from Developing Countries
Tanzania Embassy Site | EDUCATION, SCHOLARSHIPS AND EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
Tanzania | University of Westminster, London
Tanzania - The University of Nottingham
Scholarships
Funding | Tanzania | In My Country | Study Here | The University of Aberdeen
BG Group Scholarships for Tanzanian Students to Study in UK Universities
Tanzania | International students | University of Bristol
Tuition, Living Costs and Scholarships for International Students studying in Ireland - Education in Ireland
International students from Tanzania
Tanzania
International scholarships for tanzanians 2021-2022 - Part 2
Scholarship Positions | The World’s #1 Scholarship Website
5+ Diploma Scholarships in Tanzania 2021-22 [Updated] | WeMakeScholars
https://www.ed.ac.uk/student-funding/postgraduate/international/region/africa/nyerere
241+ China Scholarships for Tanzanian students 2021-22 [Updated] | WeMakeScholars
Information for students from Tanzania - University of Kent
Commonwealth Scholarship Opportunities for the year 2018
https://www.mastersportal.com/artic...dents-should-apply-for-in-the-uk-in-2018.html
https://www.afterschoolafrica.com/scholarship/by-country/africa/tanzania/
https://www.afterschoolafrica.com/2972/top-study-abroad-scholarships-africa-developing/
https://www.dundee.ac.uk/study/international/country/tanzania/
http://www.unistoretz.com/magazine/fully-funded-scholarships-for-tanzania-students-2017/
 
wakuu hivi motivation letter ndo maana yake nn wakuu..nimekuta mahala kama kigezo cha kuambatanisha unapo omba chuo ..msaada jamani
Letter ya kuwaonesha kwanini umekuwa motivated kusoma hicho chuo ..au kwa maana nyingine wanaitaga statement of purpose, mara nyingi huwa ni words 500 kuendelea.
 
Msaada jaman,mm uv kwa wale ambao tumemaliza diploma ya nursing and midwifery,ufadhili wa kusoma nje upo
 
Mzee unavunjikaje moyo sasa kwa vitu vya aina hiyo?
Mimi nimepata Scholarship ambayo wanufaika ni 10 tuu..!! Na Mimi ni wa kawaida sana mzee.
Hapo sawa wanufaika ni 12, lakini mind u kwanza wameweka restriction ya nchi; there is only a couple of countries ambazo watu wanaweza Ku apply (including Tanzania), na pia kuna kitu ambacho huwa hawakisemi ni Kwamba kuna a minimum namba ya applicants they will have to select from Tz provided Kwamba kuna good quality applicants from Tz.
Shida yetu Watanzania ni watu wa kukata tamaa sana, yaani sio wapambanaji kabisa hii huwa inatucost mno!
Wewe apply kijana kwa hii kitu, if u need assistance Mimi naweza kukushika mkono through the application process, kuku guide nini cha kuandika in ur essays, how to write it and even reviewing ur essays to make sure they are competitive, free of charge!! (SITAKUOMBA HATA SHILINGI MIA YAKO).
What do u have to lose?
Maxmax72
Habari
 
Wakuu naomba mnisaidie kuhusu equity and merit scholarships, interview zao zikoje.. zinacover nini na nini?
Interview zao ni rafiki mno, but inahitaji uwe umejiandaa. I am a proud beneficiary of the scholarship, check me nikupe madini yatakayokusaidia.
Hongera kwa kuwa shortlisted for the interview, japo muda wa kujiandaa ni mdogo, i believe you will be fine Vee94
 
Back
Top Bottom