Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

Kwa waliomaliza advance wanaeza pata scholarships za ndani ama nje
Na kama zipo tujuzane
 
Hii kitu inahitaji usiwe mvivu..
1.km unahitaji kusoma ulaya and US ...hakikisha umemaliza English test zile na unacheti kabisa.
2.za Asia hakikisha unavyeti vyako ume certified kwa wakili. ..then kaa chini tafuta. .China, Korea and India zipo sana.
NB
Ulaya kuna ambazo hazihitaji English test ila nichache sana
Na nikiwa na pesa zangu afu nataka kusoma ulaya?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Na nikiwa na pesa zangu afu nataka kusoma ulaya?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
1...apply chuo unacho taka..lipia application fee.
2..kuna vinavyofanya usaili kabla ya kwenda...km hakuna hii watakutumia majibu kua umepita kwenye selection yao au la. Watakutumia form ya selection.
3..ukikubaliwa utaenda ubalozi wa nchi uliopata chuo nakuomba Visa
4.chuo kitakutumia mchanganuo wote wa ada na namahitaji yote kwa mwaka. ..hii unaweza lipa kabla hujaondoka or ukaenda lipa ukifika kwakua hutakubaliwa registration za campus km hujalipia ada.
5.ukipata visa unakata ticket nakusepa.
NB
Kuna vyuo vinatoa degree/masters online. .hunahaja ya kwenda nje ya nchi kikubwa unatakiwa kua na mtandao home ww kuingia class ukiwa na laptop yake from home...virtual learning udsm ni mojawapo
 
wadau kuna mdogo wangu aliomba scholarship chuo Xavier kipo Ohio, wamempa tution fees na storebooks Ila wanamwambia ajitegemee meals and accomodation na form ya F1 to 20 form hawajampa kwasababu account yake ina inasufficient balance angalau ya kumtosha mwaka mmoja. Naomba ushauri wenu anaweza kufanya nini kutimiza ndoto zake
 
wadau kuna mdogo wangu aliomba scholarship chuo Xavier kipo Ohio, wamempa tution fees na storebooks Ila wanamwambia ajitegemee meals and accomodation na form ya F1 to 20 form hawajampa kwasababu account yake ina inasufficient balance angalau ya kumtosha mwaka mmoja. Naomba ushauri wenu anaweza kufanya nini kutimiza ndoto zake
Km amepata chuo...aambatanishe ile invitation letter iliaombe ufadhili...zipo nyingi sn online
 
wadau kuna mdogo wangu aliomba scholarship chuo Xavier kipo Ohio, wamempa tution fees na storebooks Ila wanamwambia ajitegemee meals and accomodation na form ya F1 to 20 form hawajampa kwasababu account yake ina inasufficient balance angalau ya kumtosha mwaka mmoja. Naomba ushauri wenu anaweza kufanya nini kutimiza ndoto zake

Angalie chuo kipo accredited asilimia ngapi?
Kisha ndo upambane, maana ada ndo issue mengine madogo sana
 
1683883992862.png

Wakuu mwenye kujua hizi scholarship atuelezee maana sioni haya course wala universities zinazo offer
 
Habarini Ndg ZANGU , baada ya kuona uzi huu nmefarijika sana kwa maana hata Mimi ninashauk ya kwenda kusoma masters lkn nataman ingekua ni nje ya nchi ...ningeomba kuungana na Ndg yng hapo juu mnipatie maelekezo ya namna ya kupata ufadhil ... Mimi ni mwajiriwa serkalin kama mwl wa shule ya SEKONDARI, asnt nawasilisha
 
Habarini Ndg ZANGU , baada ya kuona uzi huu nmefarijika sana kwa maana hata Mimi ninashauk ya kwenda kusoma masters lkn nataman ingekua ni nje ya nchi ...ningeomba kuungana na Ndg yng hapo juu mnipatie maelekezo ya namna ya kupata ufadhil ... Mimi ni mwajiriwa serkalin kama mwl wa shule ya SEKONDARI, asnt nawasilisha
Kama unataka scholarship unapaswa usichoke ki-search online.

Muda mwingi uutumie kutafuta scholarship.

Mimi niliambiwa hivyo na lecturer wangu wa undergraduate na baada ya kuyazingatia mwaka 2015 nilinufaika na scholarship nchini USA na mwaka huu pia Mungu akipenda ntanufaika na scholarship nyingine tena nchini China.

Never Ever Give Up
 
Nna shauku ya kusoma Masters lakini hiwe ni Scholarship ya ndani ya nchi au nje... Tafadhali wakuu mkiwa na link mtusaidie humu tufanye maombi
 
Back
Top Bottom